Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
_DSC0924.JPG
 
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36636&amp;stc=1" attachmentid="36636" alt="" id="vbattach_36636" class="previewthumb" />sijui anawaza nini maskini ya mungu
<br />
<br />
kama vile anapiga chabo.! Wala ha-concentrate na kikao.!
 
Kwenye kuhamasishana mahodari sana, tatizo kwenye kupiga kura,
wanaishia kulalamika tu kwa lafudhi yao ya Kipemba "twaibiwa!"
 
Du, mkibunga hayo masuburi kwenye avatar yako noma kweli kweli, utadhani yanabebwa na toroli! Kwi kwi kwi
 
cuf_al_ islam in igunga,.............................
 
Kuna ujumbe mzito sana kwenye hyo picha Mkuu.Hilo li dume lililovaa gwande(lenye rangi ya gwanda) Kwanza linawabeba(japo hawabebeki) hao wanandoa wawili,lakini kwa upande mwingine ni ushahidi tosha kwamba CHADEMA ina kazi kubwa mbele ya safari.

Ni sawa na stori flani inayoeleza kuwa ukioa mwanamke anayetokea kwenye nchi flani ya jirani, anamleta mwanaume wa kikwao aje kuzaa naye ,huku akijifanya ni nduguye na ww kazi yako ni kutunza familia isiyo damu yako-CCM+CUF=NO USTAWI WA KWELI
 
Kama hii picha ni ya ukweli .
hivi igunga imeendelea hivyo?, naona magorofa na taa za barabarani!...... basi rostam anastahili pongezi
 
hiyo picha siyo ya igunga, ukweli ni kwamba igunga kuna jengo moja tu lanye ghorofa 2, na ndipo benki ya nmb ilipo. Hiyo picha si ya igunga.
 
Kumbe Igunga kuna mtaa wa Michenzani? (Ni habari katika picha hiyo)
 
Hata picha kwenye kofia hiyo ni ya Dr. Shein
 
Wameshika kanga ikiwa na maana ya wakike na wamemvisha ng'ombe kofia ya kiume. Maana yake sasa ni kuwa CUF dem CCM Dume kwenye ndoa yao. Hahahahaha
 
Pichya Zanzibar maelezo Igunga CUF wanachakachua taarifa wamejifunza kwa ndugu zao CCM kazi moja tu KUCHAKACHUA chochote kilicho mbele
 
Kuna ujumbe mzito sana kwenye hyo picha Mkuu.Hilo li dume lililovaa gwande(lenye rangi ya gwanda) Kwanza linawabeba(japo hawabebeki) hao wanandoa wawili,lakini kwa upande mwingine ni ushahidi tosha kwamba CHADEMA ina kazi kubwa mbele ya safari.Ni sawa na stori flani inayoeleza kuwa ukioa mwanamke anayetokea kwenye nchi flani ya jirani, anamleta mwanaume wa kikwao aje kuzaa naye ,huku akijifanya ni nduguye na ww kazi yako ni kutunza familia isiyo damu yako-CCM+CUF=NO USTAWI WA KWELI
Picha hii inazungumza mengi maana naona kijana kavaa T shirt ya CCM, dume la ng'ombe kavikwa kofia ya CCM yenye picha ya Shein, hali bendera ya CUF ikibebwa juu ya Mkokoteni kuwapa kivuli, mchuuzi akiuza khanga za CCM - ama kweli sherehe za harusi zilifana..
 
<b><span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><font color="#0000CD">CCM , ni mbwa mtu. wanajifanya kondoo kumbe ndani kwao dog tu. <br />
<br />
Igunga haikuwahi kuwa na gari la maji ya kuwasha, lakini kwa vile CCM wanataka ushindi si kwa sera bali kwa vitisho na dhuluma. Tayari wamepeleka gari la maji ya kuwasha huko igunga, na limekuwa likipitishwa mitaani ili kuwaogofya wananchi wasisimame katika haki. hali hii inatisha kabisa.<br />
<br />
Ninachowaasa wananchi wa Igunga, wasiwe na shaka, wapige kura kwa utulivu ili CCM wakose sababu.<br />
<br />
NAWACHUKIA CCM</font></font></span></b>
<br />wewe una lako jambo.tunashukuru kuichukia ccm.kwetu cc an enemy is a motive force.we nid as many as pocble enemies ili wawe dira yetu.chek sahv tunavua gamba coz of u hu hates us.keep on put us at th top!
<br />
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom