Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Kweli nimeamini hali ni mbaya sana kwa CUF wanpaste picha za Pemba na kutuambia hapo ni Igunga acheni hizo
 
SWALI LA LEO LA KIPIMA UPEPO LINAULIZA HIVI:-
Unakipa nafasi chama kipi cha siasa kuibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga unaotarajiwa kufanyika tarehe 02 mwezi ujao?
A) CCM!
B) CHADEMA!
C) CUF!
Piga kura kwa kuandika herufi ya jibu unalodhani ni sahihi sehemu ya kuandika comment! Kumbuka unaruhusiwa kupiga kura moja tu
 
hao wanyama kwa mateso wanayoyapata kwa kamba zilizopitishwa puani ni taswira ya mateso ya Watanzania hata baada ya miaka hamsini ya Uhuru.Sina shaka masabuli yako tayari yamechanwa na magamba.
 
Kuna JAIRO junior yuko kule anasaidiwa na Takukuru pamoja na polisi kusambaza bahasha, Lakini wajuwe kwamba nguvu ya umma ni mwisho wa matatizo.
<br />
<br />

Inabidi cdm wafanye kampeni kama za Arusha. Wawahamasishe watu wachukue hela wakihongwa na hata sukari, chumvi na vinginevyo.

Ila watumie akili kwenye chumba cha kupiga kura kwa kuwa utakuwa pekeyako na unachagua maendeleo yako mwenyewe!

Kwahiyo ukipewa chukua, kwenye kura amua mwenyewe!
 
Akumbuke kubeba pampers za akiba maana Igunga hakuna.
<br />
<br />

Tumia ubongo kidogo. Acha kutumia masaburi. Huku ni kuwadhalilisha wanaigunga. Sidhani kama wanahitaji hivyo vitu. Au huwa unazitumia ukiwa safarini!?
 
ZZM NASIKIA WATAZINDUA JUMA MOSI MKAPA ATAUNGURUMA. Habari zaidi zinasema wameandaa magari kibao ya kusomba watu, haya sasa wanaopenda lift Igunga hizo za buree.
 
CUF - "Akishinda CCM sote tumekuwa tumeshinda."
 
hatakama ni uongo siyo hivi haya tumeone mlivyo funika huko igunga
 
Kufunika kama ndio kwa mtindo huu wa upigaji picha yangu macho na "hongeleni" CUF
 
Wanajanvi, kunataarifa naipata kupitia radio WAPO kuwa cuf wamewafanyia vurugu wafuasi wa cdm walipokuwa wakimsindikhza mgombea wao kurejesha fomu ya uchaguzi. Ila kwa mujibu wa ripota wa tukio hilo, wafuasi wa cuf walianza kuuzuia msafara wa cdm na hivyo kuzusha tafrani kabla ya kiongozi wa cdm ndugu WAITARA kutumia busara kuwasihi cuf wapishe msafara.

Hata hivyo cuf waliruhusu lakini wakaenda mbele tena kuuzuia. Cdm walivuka kizingiti hicho lakini baada ya kuwasilisha fomu wana-cuf wakawazuia tena cdm wakiwa wanarejea. Idadi ya wafuasi wa cdm ilifunika kwa mbali ile ya cuf na ccm kama ilivyoripotiwa. Mliopo Igunga tupeni taarifa rasmi hapa.

Source: WAPO FM, MATUKIO
 
_DSC0924.JPG

PEOPLES NA WANAMAGEUZI WA KWELI...KUWENI WAKWELI NA MUNGU ATAWAPA NJIA YA KWELI..... IGUNGA HAKUNA MAJENGO YA MICHENZANIIIII...HII PICHA SI UPDATED..MSIDANGANYIKE NA PICHA...HAPO NI MICHENZANI AU CHAKE PEMBAAAAAAA... I KNOW VERY WELL..WE NEED UPDATED PICTURESS PLEASE...peoples power
 
CHADEMA wamefungua radio inaitwa WAPO? Inawezekanaje watu twice as many wazuiliwe na watu wachache? Tena wanamagwanda wapiganaji? Hapa kuna walakini!
 
CHADEMA wamefungua radio inaitwa WAPO? Inawezekanaje watu twice as much wazuiliwe na watu wachache? Hapa kuna walakini!
Inategemea una silaha gani nikiwa na AK 47 naweza kuzuia watu mia wasipite.
 
hao wanyama kwa mateso wanayoyapata kwa kamba zilizopitishwa puani ni taswira ya mateso ya Watanzania hata baada ya miaka hamsini ya Uhuru.Sina shaka masabuli yako tayari yamechanwa na magamba.
<br />
<br />
kazi kweli kweli hapa mkuu?
 
hivi miaka hamsini ya uhuru bado kuna WATU MABARADHURI ,WAONGO, na MATAPELI namna hii hivi huyu mwenye babari anatuonaje kwa kutaka kurubuni namna hii wakati wa CDM ndio waliofunika mpaka CUF wakazuia msafara kwa kuona gere
 
wakiongozwa na katibu mkuu wa chama hicho Seif Sharif Hamad wakiwa na magari zaidi ya 30 na pikipiki zaidi 100 na umati wa watu waliotembea kwa miguu, huu ni mwanzo wa kuashiria kuanza kwa kampeni hapo kesho.<br />
<br />
Leo igunga imezizima japo police walimwagwa kila kona lakini wanainchi wamejitokeza, kweli wanainchi wanataka mabadiliko, macho na masikio yetu tunasubiri hapo tarehe 2/10/2011 tuone ni nana atakaye nyakua kiti hicho.<br />
<br />
hongereni magari na pikipiki kwa idadi hiyo nazo vitapiga picha?
Mtoaji wa habari ni mgeni ambaye nipo hapa igunga kwa shughuli ya kikazi
<br />
<br />
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom