Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Siyo kuokoa jahazi ila anawajibika, kama kada wa CCM, kufanya lolote linalowezekana kuhakikisha magwanda hawapati madaraka.
 
Wasira si anaumwa na mafua? Wanamtesa Mzee wa watu. Wamwache asinzie nyumbani kwake salama.
 
<br />
<br />
wewe ndo umekurupuka. Unaendeshwa na tumbo kufikiri.

Kana huyo anatumia Masaburi, yawezekana hata hajasikia WAPO-MATUKIO walichosema. Ni kweli hawa CCM B wamefanya fujo, waliweka gari tenge eti ili cdm wasipite, hii mijitu ya CUF huwa ni mishali sana, na mingi haina busara kama ndugu yao Seif alivyowasaliti na akabakia kuchonga tu Timberland ikulu 'Mwingulu'
 
wasira si anaumwa ugonjwa wa kusinzia amepona,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!

Mkuu kwenye chama hakuna kusinzia utamuona active lakini naona wamechelewa !
 
Anapeleka utaalamu wa kuiba na kuhonga wapiga kura kwani yeye mwenyewe jimboni kwakwe alichakachua matokeo hali ilikuwa mbaya. Inambidi awe makini asije dondosha pua.
 
Kweli la kuvunda halina ubani... wanampeleka LA KUSINZI uwanjani???

Aiseeeee
 
Wasira alipojitoa CCM alisema hatorudi tena CCM labda atarudishwa akiwa maiti,sasa yuko tena CCM na ndiye muokoa jahazi swali langu Wasira amerudiswha CCM maiti?So maiti inawezaje kuokoa jahazi?
 
Siyo kuokoa jahazi ila anawajibika, kama kada wa CCM, kufanya lolote linalowezekana kuhakikisha magwanda hawapati madaraka.
Hapo kwenye red naamini hata kusinzia stejini pia ni lolote. Ila hizi sio enzi za TANU msidhani mnaweza kufanya lolote mkafanikiwa.
 
propaganda chafu dhidi ya CUF, wameshindwa ccm wataweza wapi chadema!
 
Mtatiro hebu kuwa mkweli. Picha za kwenye vyombo vya habari leo zimeonesha ukorofi wenu, gari yenu imeblock msafara wa CHADEMA kwa mbele, bado unatuaminisha kuwa eti 'iliingiliana' na 'kwa bahati mbaya'? Kweli mnayoyafanya ndio yanayothibitisha kuwa ninyi ni vipandikizi wa ccm na inawezekana mko kutimiliza mishen ya kukwamisha upinzani nchini.

Kuhusu kuwa kwenu wachache, si hoja ya msingi kujibu, kinachotusikitisha ni jinsi mnavyotumia nguvu dhidi ya CHADEMA. Usitupotezee imani tuliyokuwanayo vijana kwako, kwamba wewe ni kijana mwenye uchungu wa kweli wa nchi hii. Kataa kutumika bwana.
 

Yani CCM tegemeo lao ni Wassira....lol!! Kweli chama kinaelekea pabaya,ila tunashukuru maana wanatuongezea mtaji CDM...naomba na hawa waende jamani...
  1. Yusuf Makamba
  2. Chiligati
  3. Mkuchika
  4. Hawa Ghasia
  5. Celine Kombani
  6. Ngeleja
  7. Tambwe Hizza
  8. ......................
 
Siyo kuokoa jahazi ila anawajibika, kama kada wa CCM, kufanya lolote linalowezekana kuhakikisha magwanda hawapati madaraka.
Angalia hiyo ilikuwa post yako ya ngapi ili ujue mawazo yako yanahusianaje na hiyo namba ya post 666
 
<br />
<br />
Ukibeba mayai akatokea mkorofi akaonye dalili za kufanyia fujo, inabidi uwe mpole uyalinde mayai. ile form ndiyo mbunge mtarajiwa, cuf inawezekana walikuwa wanaiwinda. wameliwa!!!

Great thinker!
Yaani umefikiria kitu ambacho mi najishawishi kuwa ni sahihi kabisa.
 
Kusema kuwa vijana wa CDM walikuwa na bisibisi,visu na viwembe ni uongo wa mchana, chama chenye kawaida ya kutembea na silaha ni CUF, hata IGP mstaafu Ustaadh Omari Mahita aliwahi kuonyesha visu na majambia ya CUF wakati wa uchaguzi, hivyo wewe Mtatiro usituoongopee, hizo ni mbinu zenu na wenzenu CCM, au umeingia CUF bila kujua kuwa hao ni wauaji, kumbuka hata kule Pemba walichinja askari polisi kama kuku, hao ndiyo CUF.
 

Mtatiro hizi siasa zako za maji ya chooni zinakimaliza chama chako na wewe ushapoteza mvuto wa kisiasa kitambo sana.
 
Mtatiro naona unaongoza chama ambocho hukijui au naweza sema huna historia ya chama chako sasa umechokoza na umeipata historia kamili ya cuf sasa endelea na uongo wako kama hujaumbuka hapa
 
Asante kwa taarifa mliopo igunga tunawategemea nyinyi mtupe taarifa kamili na zaukweli bila upendeleo.chadema kuweni macho kwani hao cuf wametumwa kuvuruga chadema kwa sababu kama kushinda hawana jeuri hiyo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…