Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona na wewe umeamua kudandia gari kwa mbele, kipi mwita alichopatia hasa? au unataka tutoke kwa mwita tuhamie kwako?umepatia kaka. Huyo mwandishi ni mnafiki kama Kubenea alivyo mnafiki.
<br /><br />Akiongea na TBC taifa msimamizi wa uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Igunga amesema vyama vya chadema na ccm vimechukua form za pingamizi,ameeleza kwamba hajajua watakuwa wanapinga wagombea wa chama gani kwani bado hawajarudisha form hizo na mwisho wa kurudisha ni sa' 12 jioni leo hii. <br /><br />
<br /><br />
Tusubiri tuone, wasiwasi wangu isije ikawa zile tetesi za mgombea wa chadema kuwekewa pingamizi zina ukweli!
Pale nyumbani kuna msemo unasema 'akamulimu kamanywa nyina' sasa ww Mwita demage ndani ya brain yako hakuna mwingine wa kuweza kuelezea ila ni mzazi wako tu...nahisi broca yako imekuwa demaged,nakushauri uwaone ma neuropsycologists.
Naona na wewe umeamua kudandia gari kwa mbele, kipi mwita alichopatia hasa? au unataka tutoke kwa mwita tuhamie kwako?
umesema vema kwa vile tayari upo kwenye bajeti hii ya mil 35
Safi sana! Inaonyesha hivyo vyama viwili vina kamati makini sana za ufundi!!Cdm ni chama makini. Wataweka pingamizi kama la Wenje, mwisho wa siku tunashinda pingamizi na ubunge tunachukua!
<br /><b>Yani CCM tegemeo lao ni Wassira....lol!! Kweli chama kinaelekea pabaya,ila tunashukuru maana wanatuongezea mtaji CDM...naomba na hawa waende jamani...</b><ol class="decimal"><li><b>Yusuf Makamba<br />
</b></li><li><b>Chiligati<br />
</b></li><li><b>Mkuchika<br />
</b></li><li><b>Hawa Ghasia<br />
</b></li><li><b>Celine Kombani<br />
</b></li><li><b>Ngeleja<br />
</b></li><li><b>Tambwe Hizza<br />
</b></li><li><b>......................</b></li></ol>
Julius nitasema ukweli daima hata kama utasema nakuandama,vitendo vyenu vya kuiandama chadema vitawaondoa katika historia ya kisiasa hapa bara.Vyombo vote vya habari hasa magazeti asubuhi hii vimeandika jinsi Cuf walivyojipanga jana kuifanyia fujo chadema.
Nikuulize swali dogo kwanini katibu wa CUF wilaya ya Igunga bw. Maganga alipeleka vijana wa cuf ukumbi wa silver C kukutana na nape wa ccm? Mna agenda gani?
Laiti chadema wangekuwa ni watu wa fujo ule umati mkubwa wa wafuasi jana wangewafanya nini cuf? Julius fahamu kwamba mbinu zote za siri mnazofanya kati ya cuf na ccm dhidi ya chadema zinajulikana vema.
Mwanahalisi ni moja ya magazeti ya udaku yanayoongoza kwa kupendwa hapa Tanzania.
Narudia tena, ningekuwa punguani ningewezaje kupata GPA ya 4.0?mbona mmeacha kujadili hoja mnamjadili huyu punguani?