Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Wasikubali kurubuniwa na kuhusu mwanahalisi ndio gazeti no.moja kwa kuandika habari za uhakika nalinauza vibaya mno,kwa nini wasitumie redio uhuru,clouds fm,gazeti la uhuru,mzalendo na jamba leo
 
Akiongea na TBC taifa msimamizi wa uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Igunga amesema vyama vya chadema na ccm vimechukua form za pingamizi,ameeleza kwamba hajajua watakuwa wanapinga wagombea wa chama gani kwani bado hawajarudisha form hizo na mwisho wa kurudisha ni sa' 12 jioni leo hii. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Tusubiri tuone, wasiwasi wangu isije ikawa zile tetesi za mgombea wa chadema kuwekewa pingamizi zina ukweli!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hivyo vyama vipo very intellectual, wamechukua forms kila moja anajihami na mwenzake
 
Tunawaasa waandishi wa habari wafuate misingi ya taaluma ya uandishi wa habari, bila ku biase upande wowote. Kitendo cha mwandishi wa habari kuandika habari za uwongo kwa kumchafua fulani na kumpendelea fulani mwisho wa siku kunampunguzia au kumwondolea credibility mbele ya jamii.
 
nimeshanusa pingamizi la chama gani litakubaliwa na lipi litakataliwa
 
Pale nyumbani kuna msemo unasema 'akamulimu kamanywa nyina' sasa ww Mwita demage ndani ya brain yako hakuna mwingine wa kuweza kuelezea ila ni mzazi wako tu...nahisi broca yako imekuwa demaged,nakushauri uwaone ma neuropsycologists.
 
Pale nyumbani kuna msemo unasema 'akamulimu kamanywa nyina' sasa ww Mwita demage ndani ya brain yako hakuna mwingine wa kuweza kuelezea ila ni mzazi wako tu...nahisi broca yako imekuwa demaged,nakushauri uwaone ma neuropsycologists.

Ningekuwa sina akili ningepata GPA ya 4.0?
 
Naona na wewe umeamua kudandia gari kwa mbele, kipi mwita alichopatia hasa? au unataka tutoke kwa mwita tuhamie kwako?

Mkuu huyo jamaa na Mwita wapo pamoja, hiyo ni team ya Nape. Kazi yao humu nikupinga kila kitu chema.
 
Cdm ni chama makini. Wataweka pingamizi kama la Wenje, mwisho wa siku tunashinda pingamizi na ubunge tunachukua!
 
umesema vema kwa vile tayari upo kwenye bajeti hii ya mil 35

Mkuu usisahau kwenye hiyo bajeti na Ngongo yumo. Hatakosekana kwasababu Lema ndiye atakayeongoza makamanda kule. Si unajua yeye na Lema ni panya na paka
 
Cdm ni chama makini. Wataweka pingamizi kama la Wenje, mwisho wa siku tunashinda pingamizi na ubunge tunachukua!
Safi sana! Inaonyesha hivyo vyama viwili vina kamati makini sana za ufundi!!
Lets wait and see what will happen!!
 
Mwita, onea huruma watanzania wenzio waliodhulumiwa na kuibiwa na hawa magamba kw mda mrefu, daima tambua kuwa wasaliti njia yao ni fupi.
Mwanahalisi ni gazeti teule kwa ajili ya ukombozi wa taifa hili, KUBENEA MOLA AWATANGULIE HABARI ZENU NI ZA UKWELI MTUPU.

KAMA NI UONGO MNGESHAFUNGIWA AU TUNGEWAONA MAHAKAMANI NA MAGAMBA YAO.
 
Mwenye kujua mapungufu ya hawa wagombea atumwagie hapa ili tuyapime na kuona kama ni ya msingi lengo likiwa katika kujiridhisha na maamuzi atakayoyatoa msimamizi wa uchaguzi
 
<b>Yani CCM tegemeo lao ni Wassira....lol!! Kweli chama kinaelekea pabaya,ila tunashukuru maana wanatuongezea mtaji CDM...naomba na hawa waende jamani...</b><ol class="decimal"><li><b>Yusuf Makamba<br />
</b></li><li><b>Chiligati<br />
</b></li><li><b>Mkuchika<br />
</b></li><li><b>Hawa Ghasia<br />
</b></li><li><b>Celine Kombani<br />
</b></li><li><b>Ngeleja<br />
</b></li><li><b>Tambwe Hizza<br />
</b></li><li><b>......................</b></li></ol>
<br />
<br />aende na masaburi
 
Julius nitasema ukweli daima hata kama utasema nakuandama,vitendo vyenu vya kuiandama chadema vitawaondoa katika historia ya kisiasa hapa bara.Vyombo vote vya habari hasa magazeti asubuhi hii vimeandika jinsi Cuf walivyojipanga jana kuifanyia fujo chadema.

Nikuulize swali dogo kwanini katibu wa CUF wilaya ya Igunga bw. Maganga alipeleka vijana wa cuf ukumbi wa silver C kukutana na nape wa ccm? Mna agenda gani?

Laiti chadema wangekuwa ni watu wa fujo ule umati mkubwa wa wafuasi jana wangewafanya nini cuf? Julius fahamu kwamba mbinu zote za siri mnazofanya kati ya cuf na ccm dhidi ya chadema zinajulikana vema.

Na picha za magazeti na blog mbalimbali zinaonesha wazi gari la cuf likiwa limetanda kukrosi barabara kulizuia gari la msafara wa chadema ambalo lilikuwa linakuja. Sasa Mtatiro atuambie inakuwaje gari lao limekrosi sehemu ambayo wala si njia panda.

Picha zile hazihitaji hata elimu ya darasa la kwanza kujua kuwa Cuf wamewafanyia fujo CHADEMA. Na hii ni hulka ya cuf, kwani imekuwa pia ikitoa mara kadhaa kauli za mashambulizi dhidi ya chadema tena mara nyingi kupitia kwa huyo huyo Mtatiro.
 
Msimamizi amesema kama mpaka sa'12 hakuna form itakayokuwa imerudishwa basi hakuna pingamizi litakalokubaliwa! Me nadhani hivi vyama viwili vinategeana, mmoja akipeleka basi na kingine kinapeleka!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom