Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Alipata ajali, naona ana brain damageNipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Kwa hiyo wewe kwako watu wa Tandale wote ni wahuni?Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Kwa sababu Watanzania wengi ni washamba (80%) na hawana exposure. Helicopter ni kivutio kikubwa cha washamba kujazana kuitazama na kampeni ni kupata watu utakaowaeleza sera zako na kuwakinaisha, kila unapopata wengi kukusikiliza unakuwa na chance kubwa ya kuwarubuni wakuchague.
kwa kweli mkuu Leo wamechemsha naona wachagga wengi hapa mkutanoni sijui ndio walioletwa kutoka Arusha?Mkuu, vipi zile Fuso za CDM zimeishafika kutoka Moshi zilikwenda kusomba watu?
Mkuu, kama una namba ya simu ya Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, muulize kwa nini alilazimika kuliondoa jina lake dakika za mwisho?
mpewa sutinani huyo tena mkuu..
Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.
Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"
Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.
Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.
wewe ulitegemea sauti gani kama ya ffNimejaribu kupiga simu Makao Makuu ya CDM, imepokelewa na sauti ya kiume nimeuliza kuhusu hizo habari za kukorofishana, hakuna aliyekuwa tayari kuweka wazi hilo suala kwa kuhofia kuchukuliwa hatua na viongozi wa juu wa CDM, na Mwenyekiti Mbowe, au Katibu Mkuu, Dr Slaa
Nakushauri tulizana nyumbani endelea na Maternity leave usiende Igunga mtaumbuka wote bora umuache Dr Slaa, peke yake apambane kama GaddafiNilipoona identity tu nilipuuza,lakini nikaona nisikatishe njia nipite tu.umejitahidi.
Hivi kwa nini mtu anaweza akasema kitu ambacho yeye mwenyewe anaamini kabisa hakiwezekani kufanyika.Cufu unganisheni kura na CDM. Mtawashida hawa jamaa. Lakini kama mkiendelea hivyo, hakuna cha maana mtakachopata hapo.
Mimi nimekuambia nimeongea na Makao Makuu ya CDM sio Erasto Tumbo, umenielewa kijana? Chukuwa hii namba upige na wewe.Kama uliyoyaandika yana ukweli na wala sio unafiki tafadhali weka namba ya Erasto Tumbo watu wampigie ili Ku-confirm habari yako. Wewe si umesema umempigia Erasto Tumbo, sasa mbona unawauliza watu namba ya bwana Tumbo