Kumbe Malaria Sugu anatafuna kale ka mtandao hapa chini kwenye matangazo (Yaani T...........go). Du! wabongo mna mambo nyie.!Kumbe mtoa habari ni ritz, mke wa malaria sugu hahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Malaria Sugu anatafuna kale ka mtandao hapa chini kwenye matangazo (Yaani T...........go). Du! wabongo mna mambo nyie.!Kumbe mtoa habari ni ritz, mke wa malaria sugu hahahaha
picha?hiyo ni uniform mpya ya CUF .....watakuja kuitangaza soon ..
Kama shehe Yahaya.......... WOte watabiri tuuuuuuuu................ Tena mwenzao alikwenda mbali zaidi kwa kusema raisi atakuwa mwanamkeGazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Aziz limetoa matokeo ya kura ya maoni iliyofanywa na gazeti hilo huko Igunga.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo mgombea wa ccm peter kafumu anatarajiwa kushinda kwa asilimia 44, mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye atakuwa wa pili kwa asilimia 36, mgombea wa CUF Leopold mahona atakuwa wa 3 kwa asilimia 11 huku asilimia 9 kati ya waliohojiwa wakiwa hawajaamua.
Utafiti huo unadai matokeo ya mwisho hayatatofautiana sana na hayo.
Kwa hiyo Mkuu wenyeji hamna mkutanoni?kwa kweli mkuu Leo wamechemsha naona wachagga wengi hapa mkutanoni sijui ndio walioletwa kutoka Arusha?
Labda picha za harusi watu hamna kabisa unadhani na yeye ataki kuleta picha? Anataka sana labda ukuletee picha za Mafuso ya CDMpicha?
Natamani ungekua umefanikiwa kupata picha ili tukajionea na sisi.... hiyo ni "trela" tu, movie kamili 2015Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
tupatie picha ya mkulu ndani ya zile sutiLabda picha za harusi watu hamna kabisa unadhani na yeye ataki kuleta picha? Anataka sana labda ukuletee picha za Mafuso ya CDM
Hawa ndio vijana wa BAVICHA utawajua tu kwa maneno yaoKumbe Malaria Sugu anatafuna kale ka mtandao hapa chini kwenye matangazo (Yaani T...........go). Du! wabongo mna mambo nyie.!
<br />Ukiona hivyo basi ujue CUF wamekaribia kujifungua mimba ya CCM. endelea kutujuza mkuu.
makanisa ni machache ndio maana cdm hatushindi!
Kwa hiyo wewe kwako watu wa Tandale wote ni wahuni?
<br />makanisa ni machache ndio maana cdm hatushindi!
Riz1 na uzaifu wake wote lakini hawezi kuwa Bogus kama huyu mtoa mada, by the way Riz1 atafute nini kwenye mitandao wakati mihela kedekede wanahongwa hadi suti.HATA WASIOMJUA Ritz lazma watajua imekaa karibu na Rizi1