Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
attachment.php
Wale wenye wivu, hasa wana Ndoa, mwaweza kujinyonga.....

Halafu wengine mlisema kuwa Wanyamwezi ni Chambio la Mafisadi...... Aibu Aibu hizoooo...... Hawakuletwa na Maroli Wanyamwezi.
Nimekubali...hapo bado makamanda hawaja tia timu wote....
 
Kwangu posts sio issue, angalia nimejiunga JF, lini na wastani wa posts zangu.
Kuna watu wana miezi mitatu JF, saizi wana posts 5000. ningekuwa kama wewe kila siku nimo humu JF, ningekuwa na posts 20.000. Turudi kwenye hoja ya msingi ebu jaribu na wewe kupiga simu Makao Makuu waulize ni kweli CDM wamekorofishana sawa mkuu wangu!

Hapo kwenye rangi ya gamba..kumbe hii nayo ni hoja ya msingi?? uwiiiii
 
wakati wakendelea na kugombana , lakini bado wanagusa nyoyo za wanaIgunga
attachment.php
 
[QUOTE=Plato;2467418]Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.[/QUOTE]
akili fupi kama kaptula za wakoloni,kwani mtu kuvaa hivyo ndo kuchanganyikiwa? au kiwewe cha kushindwa pamoja na kuwakusanya wauza bangi wote wa igunga kujaa kwenye mkutano wa slaa??
 
kwa nilichokiona kwenye taarifa ya I.T.V ya saa 2 usiku,chadema mmetisha Igunga
 
waite FF na MS wakusaidie maana hata mmja wa kukusaport hayupo? wasipo kuja watakuwa wanaukweli kuhusu hili na wameona hali ya IGUNGA!
 
Siasa za bongo bana hivi kuvaa kaptula ni kosa! Huwa namuona kwenye tv rais wa ufaransa Nicolasa Sarkozy anakimbia ufukweni kavaa kikaptula kifupi sana, angekuwa bongo sijui ataitwaje
 
Ni sawa na kujisifia Eti! umejifunika blanket zito lisilopitisha baridi wakati lina kinyesi chenye harufu mbaya. Kipi nafuu kupigwa baridi ama kuogelea kinyesi na harufu. think outside the box. Hata Mkapa si msafi kwa tuhuma za ufisadi
jichunguze na wewe mwenyewe kama ni msafi
 
Zimewabana, kimya! Wameenda kumuuliza nauyo et waanze kuleta uongo gani mwingine utakaovuta atenshen ya wanajanvi.<br />
Tusubiri na tuone kitakacho tokea jmosi pindi dk. pimbi atakapohutubu.
<br />
<br />
Mkuu watafunika hawa MAGAMBA wateenda kuchukua watu Nzega na vijijini kuawsafirisha na kuwalipa watagawa nguo,kama kawaida yao lakini kura ni kwa CHADEMA kwa mbwembwe watashinda ila kura ni kwetu hivyo tutatinga Bungeni Mkuu. Umati wa Jumamosi utakuwa wa kuchakua huu ni umati wa kweli wa watu waliojitoa ili kuleta mabadiliko.
 
Leo nimeamini kuwa CUF ndio chama chenye nguvu hapa Igunga kwani toka mwanzo wa mkutano wa cdm leo hapa igunga hotuba za viongozi wa chadema Leo ni kuishambulia CUF hadi wananchi wengi waliudhika kwa kuisema CUF kwa kuwa ni chama chao wanachokipenda na watu nilipowauliza kuwa watampigia kura nani walisema bila kusita MAHONA huyu ni kijana wetu tunaishi nae hapa tunamjua, waliongea kwa bashasha wakazi hao wa Igunga.
 
toa uthibitisho pse!!!any way,2me,ni bora kwa kiongoz anayevaa kaptula kuliko fisadi aliyepiga suti.inategemea perception tu ya jamii..hata nyerere alivaa sana kaptula..to b honest,japo sina ukereketwa kwa cuf,namheshimu sana mtatiro.kwa muda mfupi jamaa amebadilisha kidogo chama.angalau sasa tunasoma kwenye media habari za cuf kutoka bara ambazo zinaonyesha stratejia za kichama.ukienda kwenye status yake ya facebook,utagundua kwamba wa2 wengi wanamheshimu yeye mwenyewe japo hawana mapenzi na cuf.hata katika kongamano la katiba la udasa,mtatiro alikonga nyoyo za wa2..uko ushahid pia hata mbowe aliona dogo ni jembe toka mapema na kujaribu kumshawishi ajiunge na pps power!!!
 
alikuwa anatafuta place ambapo helicopta yao itatua. Si unajua ndio 1st time kwa CUF kutumia hiyo kitu?
 
Haina haja ya kuweka hapa picha, ni kweli kuwa jana Mhe. Mtatiro alihudhuria mkutano wa uzinduzi wa CHADEMA na kuacha gari hotelini. Lakini alikuwa na walinzi na watu wengine japo mtoa mada hii aliweza kudhani anatembea peke yake. Mi mwenyewe nilikuwa mita kadhaa kutoka alipokuwa akitembea.

Mkutanoni alikaa nyuma sana na kufuatilia mkutano, na kuna wakati Waitara alimuona na akaja kumsalimia, suala la kuwa ati ni kosa kiprotocol kuvaa kaptula siyo kweli. Mtatiro huvaa kaptula ndefu inayovuka magoti mara nyingi sana hasa anapokuwa in private business(the yesterday thing) was a private thing. Kama ungemkuta jukwaani anahutubia amevaa kaptula sawa, lakini kama ni mtaa tu siyo ishu.

Vijana wa Igunga wamemzoea hivyo katika kipindi kifupi alichokaa hapa. Na mara nyingi anapokuwa na vijana mtaani baada ya kazi huvaa kikawaida kama ambavyo watu wengi wamekuwa wakimzoea anapokuwa in Private time Dar es salaam.

Lengo la kuhudhuria mkutano ule ilikuwa ni kujua na kujifunza namna CHADEMA walivyojipanga ili naye aimarishe majeshi yake si kwa kuambiwa - bali kwa kujionea mwenyewe.
Mohamed Mtutuma,
Msaidizi maalum wa Naibu Katibu Mkuu CUF,
Tanzania Bara.
 
Unaham yakumwona akiwa amesinzia hee! Anaeza kusinzia jukwaani
<br />
<br />
Huyu anaenda kuuchapa huko Igunga itabidi awepo baunsa kwa nyuma ili amdake coz huwa achelewi huyu.
 
Gwanda WAPI LILE ACHA KUTUYEYUSHA BWANA AMEVAA KOTI TU LA SUTI LA RANGI YA MAGWANDA BWANA SIO GWANDA LILE NDUGU YANGU
 
Wakaazi wa Igunga na wale waliokwenda kwa ajili ya kupigia debe vyama vyao naomba mtujulishe hali ya umeme jimboni Igunga.

Kwani mara nyingi serikali yetu tukufu huwa inatoa upendeleo fulani au urahisi wa maisha wakati wa kampeni za uchaguzi kwenye majimbo yenye uchaguzi. Lakini uchaguzi ukiisha pini zinarudi pale pale.

Huku kwetu Ar mgao ni wa hatari asikwambie mtu na wakati tuliambiwa kuwa Symbion watawasha mtambo na hali ingekuwa nzuri wiki hii. Je Igunga mna mgao kama huku?

Watz tumezoea kudanganjwa wakati wa kampeni na kudanganyika lakini nafikiri mambo yamebadilika na watz sasa wana ufahamu wa kutosha wa kutambua mbivu na mbichi.
 
Hii bado haitoi taswira ya ushindi kwa CDM, kazi bado tunayo ingawa tuna nafasi kubwa sana ya ushindi. Tukifanya hivyo, basi hata gazeti la RAI litakua sahihi.

nachotaka kusema mimi ni ccm wasiendelee kujidanganya waTZ matatizo tunayopata kutoka CCM na serikali yake yanfanana kwa sehemu zote za nchi hii, ni ufisadi uliozidi kiwango.

kwa hiyo kama Shinyanga au mwanza na mpanda hawaitaki CCM kwa nini Igunga waikumbatie wakata matatizo yao yanafanana?
 
Hivi waliopiga kura online toka igunga kwenye hiyo poll ni wangapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom