Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Ukishaanza kuongea kikristu najua tayari umepanic. Vuta tumbaku za kusokota ni nzuri sana kwa kupunguza stress.
 
<br />
<br />
Kiingereza chenyewe unajua au umeishia kuona nyotanyota tu hapo? Mwambie Mbowe akulipie English course ili uelewe ninachoongelea hapo.
Hatushindani kuongea au kuandika kingereza tunashindana hoja, umekuja kwenye jamii forum uongeee na wasio CCM kwa hiyo ni wajibu wako kuwaelimisha kwa busara ili wakuelewe na kukuunga mkono. Kama unawandikia CCM hapa si mahal;a pake nenda kwenye matawi yenu utawakuta. Wenzako wengine jana walihamia airtel bado wewe unang'ang'ania huko TIGO MPAKA UZAME
 

Haya ndo matatizo ya kujifunza english ukubwani.......hapa sio facebook nyambaaaafu
 
<br />
<br />
you are cheating yourself and not nape, never lie again that you are neither left nor right.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kitendo chako cha kunijibu ni dalili tosha kuwa nimefanikiwa kukuteka. Labda hujui kazi ya kitengo cha propaganda katika chama ndiyo maana huoni umuhimu wangu. Lakini hapo tutakapoanza kuingia kwa ID za ukweli ndiyo utaheshimu mchango wangu kwa Chama, Taifa na Dunia kwa ujumla.
 


mkuu nakuomba urejee mazungumzo yetu ya awali,,,vipi kuhusu ile issue,unaweza onyesha watu hapa jamvini kuwa wajua sana lakini tumwage yote hapa??
 

The issue is WAMEZINDUA KAMPENI. Msaburi wee???
 
You probably have a point!!
 
<br />
<br />
Mkuu usipoteze muda wako kubishana na hawa Endelea na kazi mimi nawatosha tu mkuu.

umtoshe nani wewe gamba hata hoja huwezi kujenga kazi kuandika misamiati ya kizungu tu hapa, nepi hana ishu yoyote amebaki majungu tu
 
Sikubahatika kuangalia wala kusikiliza vyombo vya habari leao jion ni hii ni kutokana na maisha bora kwa kila mtanzania kma kauli ya wenzetu wa ndioooooooo!hasa pale mweshimiwa supika anapouliza wakati wa kupiga kura mjengoni,je hizi habari nikweli?wamegwaya kuzindua kampeni?au fuso hazikuwa na mafuta maana nayo ni tatizo,anyway kama kweli wamepanga kwenda Choma cha Nkola ni kijiji ambacho ni trading center kiko karibu na mto Manonga,na ni jirani na Nzega na ni karibu na mgodi wa dhahabu huu wa Resolute,lakin pia unapkana na wilaya ya Shinyanga,pale kuna watanzania wenye asili ya kiarabu,nadhani hao watatoa fuso zao kusomba watu,wana-Igunga na wana CDM wote fumbueni macho,zaidi zaidi mumulize mzee mstaafu juu ya Kiwirw iko wapi,Ndege ya raisi tuloambiwa lazima inunuliwe hata kama waTZwakila Nyasi,Rada ya mzee vijisenti,IPTL na Aneben na yote yanayofanana na hayo,lakini pia Rostam kama atatumika bebeni mabango mkiuliza siasa Uchwara zimeisha kiasi kwamba leo anamkampenia Dr Kafumu?
Hakuna kulala mpaka kieleweke
 
KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you

Tujulishe kama uzinduzi umefanyika usipanic; wewe ni mtu mkubwa sana. Jibu lako litasuta uongo. Tafadhali tupe taarifa sahihi.
 

huna lolote na wewe ndo wale wale tu, unalipwa shs ngapi? au na wewe umehongwa suti
 
umtoshe nani wewe gamba hata hoja huwezi kujenga kazi kuandika misamiati ya kizungu tu hapa, nepi hana ishu yoyote amebaki majungu tu

kuna member anajua habari zako hapa kuanzia ulikotoka,atatujuza,tunasikia familia yako ni mambo ya ajabu,utakimbia mwenyewe
 
Yaani nyie Magwanda subirini maumivu tu. Nyie jifarijini na idadi ya watu wanaojaza mikutano yenu ila siku ya uchaguzi ndiyo mtaona tamu na chungu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…