Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Me nnawaomba wananchi waliopo Igunga wafanye maamuzi sahihi,sio bora maamuzi.Waziache zile tabia walizoziobyesha wakati Rostam alipokuwa akitangaza kujiuzulu.Mkapa kasifia maendeleo ya lami,nnatamani ningekuwa karibu nae nimkong'ote bonge la konzi ktk upara wake.
 
Niko igunga jana nimelala igurubi baada ya kusikiliza hotuba ya mbwemwe nyingi ya slaa na jamaa zake ambayo haikuwa na mvuto,kimsingi watu wameanza kuwachoka, hawana jipya lolote,hawazungumzi hoja yoyote wanapiga makelele tu jukwaani.mfano wanatumia nguvu nyingi kumtukana mkapa ambaye watu wa igunga wote wanamsubili kwa hamu kumwona baada ya kum miss kwa long time, kinachoshangaza zaidi hawasemi wanataka ubunge wawafanyie nini watu wa igunga maana hata huko watokako hawajafanya chochote! Jana tu wameanza kuhamasisha watu kujiandaa kutumia nguvu kupata ushindi.
 
<br />
<br />
Picha na 1 ni WANAMAGAMBA hao wanamsubiri kumpokea MKAPA ambaye amewasili leo kwa mapokezi hafifu, kuhusu Jukwaa ni kupenda au kutopenda ni uamuzi wako, kuhusu Vijana c kweli kuwa Vijana hawapigi kura kwani ukifuatilia mwaka jana Vijana wengi walijitokeza kupiga kura jua moja hii inajulisha kuwa ZAMA CCM NDIO KWANZA NDIO ZINAZAMAkwa kuwa na wazee kama ulivyona ili hali ZAMA ZA CHADEMA KUSHIKS HATAMU ZIMEKARIBIA kwa kuwa na vijana kama ulivyoona.

Cha muhimu nikuhakikisha kila mtu mzima aliyehudhuria kampeni anapiga kura na kuongeza wengine 10 au zaidi lakini sio kupungua. Siku yakupiga kura kwasababu huko ni vijijini; mtu unaweza kuamsha majirani zako mnahakikisha mnaenda kundi kwa kundi/bega kwa bega kupiga kura kuchagua kiongozi sahihi. Nawatakia uchaguzi mwema na wa amani watu wa Igunga.
 
baada ya jana chadema kuuteka mji wa igunga na ccm kujikuta kwenye wakati mgumu leo wameshindwa kuzindua kampeni kama walivyotangaza na kufanya maandalizi hapo awali na hii ni dalili kuwa wamejua moto uliowashwa jana ni mkubwa mno.

Sasa wameamua kuwa wataenda kuzindulia kampeni zao kijiji kinaitwa choma na hiki kipo mpakani na nzega , inawezekana wanataka wabebe watu kwa malori siku hiyo na uzinduzi sio kesho wala kesho kutwa .

Nawapa taarifa hiyo , hadi baadae.

wewe n i muongo! Jitu kubwa ongo sana,kampeni inajulikana ccm walitangaza kuzindua tarehe 10 siyo tarehe 9 kama huna taarifa kaa kimya.umekaa kutuma taarifa za uongo uongo tu jitu zima!
 
Jamani CCM ni chama ambacho kimekuwa kikishinda si kwa ubora WA SERA zake bali ni kwa propaganda za maneno na si kwa SERA za ukweli kwa chaguzi zote za vyama vingi. Sasa wananchi wameelewa maana na tofauti kati ya SERA na PROPAGANDA ndio maana hali yao ya kisiasa imebadilika sana kipindi hiki. Igunga ni sehemu ndogo sana madadiliko ya kisisasa kama igunga kwa sasa ni NCHI nzima.
 
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
<br />
<br />

Kamusi gani umetumia hapa murah?
 
<br />
<br />
Mkuu usipoteze muda wako kubishana na hawa mende na panzi Endelea na kazi mimi nawatosha tu mkuu.

bila shaka ulipigwa warning mpaka ukafanya editing pumbav zako!
 
Mie nilisha jiuliza swali zamani sana na hasa katika chaguzi kuu na ndogondogo .Kama kweli CCM wanadhani wako real kwa nini kutumia nguvu kubwa sana namna ile ? Si wakae tu watumie TV na Radio kusema mazuri yao na watuachie tuamue bada ya miaka 50 ya wao kuwa madarakani ?
 
Unajua wasanii ambao walikuwa wanatumiwa na chama cha magamba ili kuvutia watu wajae kwenye kampeni zao wamegoma, hivyo wakaona ni vyema kumtumia huyu mzee kutokana na umaarufu wake

Wasanii waliahidiwa studio na JK wakamkampenia 2010, matokeo yake jamaa studio kampa Ruge, sasa subirini kuwaona kina Barnaba na Lina, na si kina Mwanafa au juma nature.

REMEMBER SUGU BUNGENI.
 
Igunga leo.

Msafara wa Mkapa ukiwasili mjini Igunga

4.JPG



Mashabiki wa CCM wakiwa kwenye msafara wa mapokezi ya Mkapa

05.jpg



Mwenyekiti mstaafu wa CCM Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akisalimia wananchi baada ya kuwasili kijiji cha Makomero nje kidogo ya mji wa Igunga.

04.jpg



Wana CCM igunga wakiwa kwenye mapokezi ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.Picha na Bashir Nkromo-igunga

7.jpg



Wana CCM igunga wakiwa kwenye mapokezi ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.Picha na Bashir Nkromo-Igunga
9.JPG%255B.JPG


Picha na HakiNgowi
 
Dear Comrade Nape Nnauye

You know what, you are doing a commendable job for your party...so please don't be discouraged by some of the negative messages against your party and yourself. Honestly, you are better off and of course you deserve it! So please keep it up!

I am in Igunga right now, I tell you what, Dr. Kafumu is at the PEAK! Mwl. Kashindye isn't that much composed and lacks both public political speaking skills and confidence. Truly CDM is up there....but their political contender is much much down......Unless miracles happen......and he is not that much strong despite the CDM's top leadership back-up!

Please, note that I am neither a CCM nor CDM or any other party.....just an indpendent consultant on a different assignment based in Igunga until October 4, 2011.

Cheers and keep well!

Nape amefurahi sana, sasa subiri zawadi ya chupi ya njano na kijani, fulana na khanga
 
KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you


<br />
<br />

Haya ndo baadhi ya mambo yanayonifanyaga naona kwamba mwisho wa CCM umekaribia....Kiongozi unatakiwa kujibu hoja kwa hoja ...otherwise usije humu unaweza kudondosha taulo mbele ya watoto
 
Haya ndo baadhi ya mambo yanayonifanyaga naona kwamba mwisho wa CCM umekaribia....Kiongozi unatakiwa kujibu hoja kwa hoja ...otherwise usije humu unaweza kudondosha taulo mbele ya watoto

hapo kwenye RED ndipo NAPE nalipo FAIL mtihani,
nimeona mara nyingi anapewa pongezi personal kuhusu kukijenga chama
na yeye anazikubali na kusahau team ya chama chake
matokeo yake hata majibu ya hoja nyingi anayatoa personal sana,
nadhani anatakiwa kurudishwa kwenye madarasa ya uongozi,
 
mzee mkapa ungepunzika tu mkuu wa ulifanya kazi inaoonekana,usijuhusishe na makundi ya bongo fleva.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom