Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.

Ila we jamaa unanifurahisha sana.Ni kama vile Sadam alivokua anawatambia wamarekani kwamba kaburi lao liko Baghdad,wakiingia tu wamekwisha.Au kama mkwara wa Ghadafi kwamba walibya watazishambulia nchi za ulaya kama nzige.Sometimes ni busara kunyamaza kuliko kukimbilia ku comment tu.Ukiona mambo magumu usiwe kama makamba mzee unakomaaa tu unakomaaa tu.Hii itakusaidia
 
mkuu .... huyo hawezi kuelimika wala hajui truncation ni nini .... kinachomsumbua ni ignorance

Kweli mkuu; huyu akiwekewa shorthand hapa si ndio atazimia kabisa. Hata kuongea nadhani anadhani kuna kuongea kwa herufi kubwa na ndogo alivyokariri vibaya huyu! Sijui kahitimu chuo gani huyu.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
CCM kama manaona huo ni uongo si mlete picha za uzinduzi wenu hapa ili tuone kama kweli Mkapa kafunika? Hata mkipata wa kuleta kwa malori waleteni tuu.
 
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
<br />
<br />
nijiimbie kawimbo, pole samaki pole X2. . . . .
 
Kwa kukusaidia tu...deforestation is a total or permanent conversion of one type of land use into another type of land use, kwa mfano kama ulikuwa una msitu ukafungua uwanja wa mpira au ukaweka majengo, basi hiyo inaitwa deforestation. hiyo hali unayoiona huko nzega inaitwa forest degradation ambapo the quality of forest is disturbed. asante kwa kueleza unachokiona, naamini wanohusika hasa serikali itashughulikia hili swala au mashirika yanayohusika na uhifadhi wa misitu watachukua some initiatives.

Nina iman kuwa wakuu wa serikali nao huwa wanapita pita humu mtandaoni, hii ni aibu kubwa kwa viongozi tulionao kuendelea kuimba kilimo kwanza huku mapori mengi yakiendelea kufyekwa wilayani humo kwa shughuli za mkaa. Nikawaida unaposafiri unaposafiri katika barabara Nzega-Shinyanga kukutana na makundi makubwa ya waendesha baiskeli (zaidi ya 500) kila siku iendayo kwa Mungu wakitokea Nzega kuelekea Shinyanga na majunia ya mikaa. Mbaya zaidi hivi sasa wanafyeka hata miti ya Miembe ambayo ni urithi mkubwa kwa watu wa Nzega
Please nyie viongozi work up an act as soon as possible, Wilaya inaangamia kwa ukame miaka miwili mfululizo sasa
 
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
<br />
<br />
kokoto yaogopwa na mt. Kilimanjaro
 
Ahahahahah, nimegundua ka-laptop kako kamtumba hakana Caps lock wala Shift, ndio maana unashidwa kuanza kuandika na herufi kubwa

Magamba bwana,wanafurahisha kweli kwa kufikiri kutumia masaburi.Eti na huyu jamaa anaona katoa point au tuseme anajiona ana hoja.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
asante CDM,alunta continua mpaka kieleweke.!!baba atamkimbia mtoto
 
Wanaegemea kwetu nyie mlie tu

Nakumbuka chama cha nccr mageuzi kilitoa msimamo wa kutoshiriki uchaguzi Igunga na kilisema kitakiunga mkono chama cha upinzani kitakachoonyesha kukubalika.
Sasa kampeni zimezinduliwa na msimamo wa wanaIgunga umeanza kuonekana sasa je NCCR wanaegemea wapi..?

mwita25 vp na ccm ni chama cha upinzani? soma vizuri hapo nilipobold
 
Pamoja na Tambo nyingi kwa Viongozi wa Chadema kwa kurusha makombora kwa CCM hakuna alie thubutu kugusa suala la Kagodaa kwenye uzinduzi wa kampeni Igunga. Hakugusia hata kidogo kashfa ya Kagoda! <br />
<br />
Watalamu wa mambo ya siasa wanasema Chadema hawana ushahidi juu ya Kagoda kama Ushahidi wa Msema kweli! Imekua vigumu kwa CDM kuongelea Kagoda tofauti na hapo nyuma kwani suala la Kagoda kwa sasa halitakiwi porojo za kisiasa kinachotakiwa ni Ushidi uwe kama ule wa Msemakweli au Zaidi! <br />
<br />
Suala la Kagoda linaipunguzia Chadema kuaminiwa kwani hawana ukweli wake.
chama kisiaminiwe kwa ajir ya wizi wenu? Hii nayo kali.
 
Pamoja na Tambo nyingi kwa Viongozi wa Chadema kwa kurusha makombora kwa CCM hakuna alie thubutu kugusa suala la Kagodaa kwenye uzinduzi wa kampeni Igunga. Hakugusia hata kidogo kashfa ya Kagoda!

Watalamu wa mambo ya siasa wanasema Chadema hawana ushahidi juu ya Kagoda kama Ushahidi wa Msema kweli! Imekua vigumu kwa CDM kuongelea Kagoda tofauti na hapo nyuma kwani suala la Kagoda kwa sasa halitakiwi porojo za kisiasa kinachotakiwa ni Ushidi uwe kama ule wa Msemakweli au Zaidi!

Suala la Kagoda linaipunguzia Chadema kuaminiwa kwani hawana ukweli wake.

Inaonekana hujakua wewe hujui ni nani aliye anzisha hilo timbwili la Kagoda leo unasema CDM haina ukweli wake. KAKOJOE ULALE!!
 
uliambiwa na nan ndio kauli mbiu ya CDM kuchukua jimbo la Igunga? Tuna mpango mkakati mkubwa, mtabaki kuuma meno tu &#8203;
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom