kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
kwa hiyo umechangia chama kupoteza mvuto na Taifa kukosa muelekeo.kweli magamba kazi mnayo!<br /><br />
<br /><br />
Kitendo chako cha kunijibu ni dalili tosha kuwa nimefanikiwa kukuteka. Labda hujui kazi ya kitengo cha propaganda katika chama ndiyo maana huoni umuhimu wangu. Lakini hapo tutakapoanza kuingia kwa ID za ukweli ndiyo utaheshimu mchango wangu kwa Chama, Taifa na Dunia kwa ujumla.
wewe n i muongo! Jitu kubwa ongo sana,kampeni inajulikana ccm walitangaza kuzindua tarehe 10 siyo tarehe 9 kama huna taarifa kaa kimya.umekaa kutuma taarifa za uongo uongo tu jitu zima!
<br />Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.
Kwani Tambwe Hiza alikuwa anapata nini?KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you
<br />
<br />
kuna member anajua habari zako hapa kuanzia ulikotoka,atatujuza,tunasikia familia yako ni mambo ya ajabu,utakimbia mwenyewe
mkuu igunga vumbi si unajua lazima uandane na hali ya hewa!Mwenyekiti mstaafu wa CCM Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akisalimia wananchi baada ya kuwasili kijiji cha Makomero nje kidogo ya mji wa Igunga.
Wana CCM igunga wakiwa kwenye mapokezi ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.Picha na Bashir Nkromo-igunga
Hii rangi ya Koti la Mkapa hii, mhmm! Sawa.
Dear Comrade Nape Nnauye
You know what, you are doing a commendable job for your party...so please don't be discouraged by some of the negative messages against your party and yourself. Honestly, you are better off and of course you deserve it! So please keep it up!
I am in Igunga right now, I tell you what, Dr. Kafumu is at the PEAK! Mwl. Kashindye isn't that much composed and lacks both public political speaking skills and confidence. Truly CDM is up there....but their political contender is much much down......Unless miracles happen......and he is not that much strong despite the CDM's top leadership back-up!
Please, note that I am neither a CCM nor CDM or any other party.....just an independent consultant on a different assignment based in Igunga until October 4, 2011.
Cheers and keep well!
<br />
<br />
Kwahiyo ina maana CCM ikishinda na wewe utatembea uchi?
old english! siku nyingine ukiishiwa vocabularies utachanganya na kikwenu!The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
Mwenyekiti mstaafu wa CCM Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akisalimia wananchi baada ya kuwasili kijiji cha Makomero nje kidogo ya mji wa Igunga.
Wana CCM igunga wakiwa kwenye mapokezi ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.Picha na Bashir Nkromo-igunga
Hii rangi ya Koti la Mkapa hii, mhmm! Sawa.
mkuu igunga vumbi si unajua lazima uandane na hali ya hewa!
Dah,
Watu kweli wabunifu,
Hiyo kitu imetulia sana.
Watu wana vipaji sana,
sema basi tu serikali yenyewe ndio hii isiyojali raia wake kwa kuweka mazingira mazuri kwa watunzi kama hao.
Mkuu NAPE tuwekee picture za Mkutano wa Chama chetu.,ili na sisi tuwalingishie hawa jamaa maana wanatunyanyasa kweli..!tuwekee bwana tuone tulivyofunika na watoto tuliowabeba kwenye mafuso..!Maana kama hakuna picha daah..itakuwa ngumu kweli kujitetea..!KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you
<br />
<br />
Mbona watu wenyewe wa kuhesabika..na itakuwa wamebebwa kwa mafuso tuu..!
Igunga vumbu, Lazima uvae rangi kama ya CDM! Kijani haiendani na hali ya hewa? Nashukuru kwa taarifa Mkuu.
KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you
<br />
<br />