Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kitendo chako cha kunijibu ni dalili tosha kuwa nimefanikiwa kukuteka. Labda hujui kazi ya kitengo cha propaganda katika chama ndiyo maana huoni umuhimu wangu. Lakini hapo tutakapoanza kuingia kwa ID za ukweli ndiyo utaheshimu mchango wangu kwa Chama, Taifa na Dunia kwa ujumla.
kwa hiyo umechangia chama kupoteza mvuto na Taifa kukosa muelekeo.kweli magamba kazi mnayo!
 
wewe n i muongo! Jitu kubwa ongo sana,kampeni inajulikana ccm walitangaza kuzindua tarehe 10 siyo tarehe 9 kama huna taarifa kaa kimya.umekaa kutuma taarifa za uongo uongo tu jitu zima!

Ratiba ilitangazwa wazi sasa hii yako imetangazwa lini?
 
Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.
<br />
<br />

sifa za mtu mwizi, kahaba, mnafiki
Kukosa 1 aibu
2 hatosheki uroho umimi
3 hana huruma
4 anapo kosa
-hakubali kukosolewa
mtu akikosa aibu ogopa hatofautiani na mnyama aibu humfanya mtu asifanye mabaya kwakuogopa akijulikana heshima utuu wake huzalauliwa kuhofu mngu nk ili uwe fisadi unatakiwa ufuzu hizo sifa au kuwatetea mafisadi unatakiwa uwenahizo sifa unaweza ongeza unazo zifaham
 
Mwenyekiti mstaafu wa CCM Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akisalimia wananchi baada ya kuwasili kijiji cha Makomero nje kidogo ya mji wa Igunga.

04.jpg



Wana CCM igunga wakiwa kwenye mapokezi ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.Picha na Bashir Nkromo-igunga

7.jpg



Hii rangi ya Koti la Mkapa hii, mhmm! Sawa.
 
Hilo nalo neno,magamba wanaweza kufanya chochote mradi wapambanaji wakose
 
kuna member anajua habari zako hapa kuanzia ulikotoka,atatujuza,tunasikia familia yako ni mambo ya ajabu,utakimbia mwenyewe

usipate tabu toa tu, hapa jamvini mambo yako wazi wala hamna kificho kama baba riz kapewa suti ikajulikana ije kuwa mm na familia yangu?
 
Mwenyekiti mstaafu wa CCM Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akisalimia wananchi baada ya kuwasili kijiji cha Makomero nje kidogo ya mji wa Igunga.

04.jpg



Wana CCM igunga wakiwa kwenye mapokezi ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.Picha na Bashir Nkromo-igunga

7.jpg



Hii rangi ya Koti la Mkapa hii, mhmm! Sawa.
mkuu igunga vumbi si unajua lazima uandane na hali ya hewa!
 
Dear Comrade Nape Nnauye

You know what, you are doing a commendable job for your party...so please don't be discouraged by some of the negative messages against your party and yourself. Honestly, you are better off and of course you deserve it! So please keep it up!

I am in Igunga right now, I tell you what, Dr. Kafumu is at the PEAK! Mwl. Kashindye isn't that much composed and lacks both public political speaking skills and confidence. Truly CDM is up there....but their political contender is much much down......Unless miracles happen......and he is not that much strong despite the CDM's top leadership back-up!

Please, note that I am neither a CCM nor CDM or any other party.....
just an independent consultant on a different assignment based in Igunga until October 4, 2011.

Cheers and keep well!

Wewe ndie mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya kanda ya kati uliyekwenda Igunga kwa KAZI MAALUMA?!
 
<br />
<br />
Kwahiyo ina maana CCM ikishinda na wewe utatembea uchi?

Ni wewe pekee yako unayeweza kuwaza kutembea uchi, pole sana. CDM itashinda na wewe huna haja ya kutembea uchi, kwa sababu hujatuambia nani atasimamia zoezi lako la kutembea uchi; ni kama vile mnatumbia maisha bora kwa kila mtanzania wakati ni afadhali ya jana kuliko leo
 
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
old english! siku nyingine ukiishiwa vocabularies utachanganya na kikwenu!
 
Mwenyekiti mstaafu wa CCM Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akisalimia wananchi baada ya kuwasili kijiji cha Makomero nje kidogo ya mji wa Igunga.

04.jpg



Wana CCM igunga wakiwa kwenye mapokezi ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.Picha na Bashir Nkromo-igunga

7.jpg



Hii rangi ya Koti la Mkapa hii, mhmm! Sawa.

mkuu igunga vumbi si unajua lazima uandane na hali ya hewa!

Igunga vumbu, Lazima uvae rangi kama ya CDM! Kijani haiendani na hali ya hewa? Nashukuru kwa taarifa Mkuu.
 
Katika hili, kama ilivyo kwenye mambo yote ya haki MASABURI HAYASIDII KAMWE. HOJA, HOJA WANANGU! Tutachaniana Jezi bure!
 
hahaha hata mie meipenda iyo, kweli vipaji watu wanavyo dahhhh imetulia ki k mtu wangu

Dah,
Watu kweli wabunifu,
Hiyo kitu imetulia sana.
Watu wana vipaji sana,
sema basi tu serikali yenyewe ndio hii isiyojali raia wake kwa kuweka mazingira mazuri kwa watunzi kama hao.
 
KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you


<br />
<br />
Mkuu NAPE tuwekee picture za Mkutano wa Chama chetu.,ili na sisi tuwalingishie hawa jamaa maana wanatunyanyasa kweli..!tuwekee bwana tuone tulivyofunika na watoto tuliowabeba kwenye mafuso..!Maana kama hakuna picha daah..itakuwa ngumu kweli kujitetea..!
 
Shidhani kama CCM wanaweza kuwa na huo utayari unaoufikiria wewe!
 
Papa d nnachofaham hususan siasa kwa mimi ni kwamba, hawa cuf wamepagawa na ushindi wa chadema ambao mpaka sasa uko wazi. Badala ya wao kutekeleza azma ya upinzani kwa kumchambua ccm ambaye ndo chama kilichoko madarakani anafikia hatua ya kumpinga mpinzani mwenzake Chadema, hii hali inaonesha wazi kwamba hayuko kikazi bali kupumbaza wapiga kura.
"We need people's power 2go in in z parliament for the benefit of Tanzanians" Cuf kaeni mjipage ila kwa staili hiyo MMECHEMSHA.
 

Igunga vumbu, Lazima uvae rangi kama ya CDM! Kijani haiendani na hali ya hewa? Nashukuru kwa taarifa Mkuu.
Mbona watu wenyewe wa kuhesabika..na itakuwa wamebebwa kwa mafuso tuu..!
 
KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you


<br />
<br />

Ni dalili tosha CCM imefilisika hadi kuweka kiongozi Nape hadhi ya chama Katibu Mwenyezi Kitaifa mwenye mtazamo kama huu, lugha za vibaka kama hizi na kukosa adabu kwa watu anaojiona anawatumikia. Sijui hata ukuu wa wilaya alipewaje?

Kiongozi unatakiwa kuwa mvumilivu, busara na hekima. Fikiri kabla hujahamasika kujibu kitu nini madhara yake. Nasema bora mzee Yusuf Makamba pamoja na kuropoka lakini alichagua nini aseme kuliko Nape.

Kwa wanaojua elimu ya tabia na saikolojia ya watu Nape ana tabia ya kitoto ya kufananishwa na Teeage, maana kiongozi mkubwa kitaifa mwenye dhamana kubwa anawezaji kujibu kama alivyoandika hapo juu? Thats really shame to the CCM Party, kwani Katibu Mkuu Mkama anaonyesha busara lakini huyu utafikiri anavuta kwanza zile sigareti maarufu za kubinyua mabega na fizi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom