Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.

Anatutukana sisi migambo. Kwani mgambo si mtu. samora alivaa, na kama ulivyosema nyerere alivaa. Mimi nalitamani hili vazi, sijui nitalipata wapi, niende igunga nalo.
 

kuweni makini mtajila wenyewe....kumbukeni mramba alinadiwa kuwa safi akaangukia pua....
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.

Kwa wenzako kuvaa gwanda ni ishhara ya ujasiri katika kupigania ukombozi wa kweli toka mioyoni mwao kwa vitendo na pasipo kujificha. Kinyume na itakavyokuwa kwako ambapo kuvaa gwanda itakuwa alama ya kushindwa katika kushiriki mapambano ya ukombozi.
 
peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees
 
Nataka kuona kituko kingine kama kile ambacho kitakachokuja kutokea siku JK atakapokuja kutoa ushahidi wa kuipinga serikali yake mwenyewe mahakamani katika kesi ya Profesa Mahalu. Sijui itakuwaje wakati Rostam amesimama jukwaani, halafu Mpiga debe wa Mgombea anataka kumwaga sera zake na kukinadi chama mbele ya wana Igunga kwamba kimeamua kujivua gamba na kuwafukuza Mafisadi wote wanaokishushia hadhi mbele ya wananchi.

Kama atatokea Mwananchi akauliza swali kwamba bado hajailewa falsafa ya kujivua gamba maana mpaka sasa hatujajua ni nini kimefanyika zaidi ya Kelele za Nape tu ambazo sasa hivi zimezimika. Ndipo tutaona jinsi mpiga debe atakavyoweza kuelezea hatua waliyoifikia mpaka sasa kama kuwafukuza mafisadi akiwapo Rostam ambaye nae atakuwa hapo jukwaani kumnadi mgombea.
 
Kwanye bold huo ndio mtihani mkubwa unaoiumiza CCM kuitetea slogan ya kujivua wakati huohuo kumtumia Rostam physically au kusema alikuwa mbunge wa watu huku Nape na RA wakipanda jukwaa moja sipati picha vizuri ngoja tusubiri watakavyozicheza karata.
 
Mnagombana bure, magwanda hatavaa, igunga mshindi atakuwa wa ccm hata angegombea slaa na mbowe. Hakuna uwezekano wa ccm kupoteza jimbo hili na jibu ndio hilo.

2+2 ni 4 hakuna haja ya kusubiri mtihani usahihishwe ndio ujue jibu ni 4, it is an obvious thing, hamkumwelewa msemaji alikuwa anaonesha impossibilities, chadema kuna mazezeta kweli hawajui nahau ndio maana mpaka leo kuvua gamba kumekuwa mtaji
 
Ila mimi siwahamini kabisa wanyamwezi, kama walikuwa wanampa kura nyingi namna ile Rostam huku wakijua kuwa ni fisadi nahisi hata atakayeletwa na CCM akipewa hela tu watakazozitoa hazina kwa kisingizio cha kununulia majenereta ya dharura watawanunua wote.

Kiufupi ni kwamba wanyamwezi wananunulika kirahisi sana, tena kwa kuanzia Mh Sitta. We watu wamempa hadi Ismail Aden Rage hadhi ya kuwa mbunge licha ya kuwa ni msomali na na kaka yake kiongozi wa Alshabaab Sheikh Ally Rage ndio watamchukia mbunge walioletewa toka dar tu hapo jirani?

Lets wait and see...
 

Wewe ni kama tone la maji kwenye bahari. Uwepo wako au kutokuwepo kwako hakuna madhara, CHADEMA itasonga mbele kwa nguvu ya umma.
 

Hapo kwenye bold,kuwa makini mkuu,isije ikawa ni majina yamefanana tu
Hata hivo hata kama ingekuwa kweli hilo linamzuia Rage kuwania ubunge kama hana mahusiano na al shabab?
 
naunga mkono hoja mia kwa mia
 
Jamaa si kwamba alikuwa anapata kura nyingi bali ni uchakachuaji.
 
kuna poster mmoja wa jf alipata kusema ukitaka post yako ichangiwe na watu wengi weiponde CDM aumuandike MS,FF na kina dada Lizzy..
 
<br />
<br />
hatutaki tena mamluki, na ndugu yako shibuda siku zake zinahesabika kaeni huko huko na magamba yenu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…