Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Machozi ya wanaigunga hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Evidence, haya maneno hata kwenye khanga yapoNadhani hii haitusaidii tukubali mkutano wa leo ulikua mkubwa kama mikutano ya jangwani? Kazi ipo pale imeonesha CCM wameuandaa mkutano wao na umekuwa mkubwa. Ni mara mbili ya ule wa cdm ndg zangu
Mura Mimi niliona umebadili avatar yako nikadhani na akili imebadilika, kumbe ndiyo umezidi kuwa ***** zaidi??<br />
<br />
Unapata faida gani kuleta habari ya uongo? Shame On You!
Tunaomba uongozi unaoratibu shughuli za kampeni chadema Igunga kutujuza kwanini mwanasiasa mahiri na naibu katibu mkuu bara zitto kabwe hakuhudhuria kwenye uzinduzi wa kampeni.Hii inatutia mashaka vijana na wananchi kwa ujumla kwa sababu viongozi wote wakuu walihudhuria.Naomba kuwasilisha.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Unapata faida gani kuleta habari ya uongo? Shame On You!
Mbona unaelekea kuwa kweli unafikiri kwa kutumia masaburi yako, Zitto ndiye anayepiga kura?Zitto hawezi kuhudhuria kwasababu ya tofauti zao na Mbowe. Unajua Zitto huwa hapendi kupelekwa pelekwa kama Mkokoteni. Sasa bila yeye sijui mtashinda vipi uchaguzi?
mbona zitto aliweka wazi mapema sana kwenye tweeter yake kwamba angeelekea znz kufuatia janga la kitaifa lililo tokea znz, au kuna lakwako unatafuta kulipenyeza kupitia dirishani?umewasilisha umejibiwa, wahusika kunusuru server, naomba hii thread ipelekwe kunako
Masanja alienda kufanya nini?
<br />mbona zitto aliweka wazi mapema sana kwenye tweeter yake kwamba angeelekea znz kufuatia janga la kitaifa lililo tokea znz, au kuna lakwako unatafuta kulipenyeza kupitia dirishani?umewasilisha umejibiwa, wahusika kunusuru server, naomba hii thread ipelekwe kunako
Tunaomba uongozi unaoratibu shughuli za kampeni CCM igunga kutujuza kwanini mwanasiasa mahiri na mjumbe wa NEC Edward Lowasa hakuhudhuria kwenye uzinduzi wa kampeni.Hii inatutia mashaka wazee na wananchi kwa ujumla kwa sababu viongozi wengi wakuu na wabunge wa CCM walihudhuria.Naomba kuwasilishaTunaomba uongozi unaoratibu shughuli za kampeni chadema Igunga kutujuza kwanini mwanasiasa mahiri na naibu katibu mkuu bara zitto kabwe hakuhudhuria kwenye uzinduzi wa kampeni.Hii inatutia mashaka vijana na wananchi kwa ujumla kwa sababu viongozi wote wakuu walihudhuria.Naomba kuwasilisha.
<br /><font color="#444444"><span style="font-family: Helvetica Neue"><img src="http://a0.twimg.com/profile_images/1519392414/ZittoTwitter_normal.jpg" border="0" alt="" /></span></font><br />
<font color="#444444"><span style="font-family: Helvetica Neue"><div style="margin-left:40px"><a href="http://twitter.com/#!/zittokabwe" target="_blank">zittokabwe</a> <font color="#999999">Zitto Zuberi Kabwe</font> <font color="#999999"><br />
</font><br />
<br />
<br />
<span style="font-family: Arial">Nimeahirisha safari ya Igunga. Naenda Zanzibar kufuatia msiba huu mkubwa kwa Taifa <a href="http://twitter.com/#!/search?q=%23ZanzibarBoatAccident" target="_blank">#<b>ZanzibarBoatAccident</b></a></span><br />
<br />
<b><a href="http://twitter.com/#!/zittokabwe/status/112395243776774144" target="_blank">9 hours ago</a> <a href="http://twitter.com/#" target="_blank"><i><b>Favorite</b></i></a><i><b><a href="http://twitter.com/#" target="_blank"><i><b>Retweet</b></i></a><i><b><a href="http://twitter.com/#" target="_blank"><i><b>Reply</b></i></a></b></i></b></i></b><br />
</div></span></font>