chipanga
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 711
- 438
You have said it all my brother!Sad to say, but idadi ya mbumbumbu Tanzania haitopungua...!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You have said it all my brother!Sad to say, but idadi ya mbumbumbu Tanzania haitopungua...!!!
Hizo ni baadhi ya picha ambazo zimepatikana leo katika uzinduzi wa kampeni za chama cha CCM jimboni Igunga.
View attachment 36965
Sehemu ya umati uliohudhuria mkutano huo.
Ameachana na siasa lakini hajaachana na CCM
ulitaka iwe vipi ili iendane na thread? you are a great thinker think!!!!<br />
<br />
Mkuu mbona hii comment yako haiendani kabisa na thread ya hapo juu.
Ya wazee wa CCMBi Mkora meza kuu ipi, ile ya vijana wanaorudisha kadi au ile ya wazee wa CCM (05)?
<br />Ameachana na siasa lakini hajaachana na CCM
<br />Mwaita25, <br />
<br />
Mwezi wa kumi mwaka jana Rais Kikwete alimnadi yeye (Rostam Azizi) kuwa ni mtu safi, miezi miwili baadae Rais huyo huyo anasema wanajivua gamba. Then Rostam anajiuzulu kwa kudai kuna siasa uchwara, mwezi mmoja baadae anarudia kufanya siasa zile zile alizodai ni uchwara. Ni kitu gani kimebadilika tangu aliposema hivyo na leo wakati anauza sera? Bado anaona siasa ni uchwara au la? Hii inadhihirisha ni jinsi gani ccm ni waongo.Kama sio kufilisika ni nini?
<br />ulitaka iwe vipi ili iendane na thread? you are a great thinker think!!!!
chohuyo Rostam anafanya nini hapo si alisema ameachana na gutter politics za magamba
Ngome imepigwa nini?Ya wazee wa CCM
<br />huyo Rostam anafanya nini hapo si alisema ameachana na gutter politics za magamba
tatizo la kununuliwa hilo!Kipindupindu naomba mwongozo.. Huyu mtu anaerukia kila uzi kujaza pumba ni great thinker?
2015 itakuwa bomba kwa sababu hapo kila mtu atakuwa anatetea nafsi, kila mtu anaogelea kivyake. Uchaguzi huu wa Igunga ni mgumu kuliko watu wanavyodhani kwani CCM ni kama haitakubali kuliachia jimbo kirahisi huku CDM ikitaka kuonyesha umma kuwa inakubalika na chama kinakuwa kila uchwao na CUF nao watataka kudhihirisha bado wamo.huo ndo uchaguz wa jimbo tu ni hiv...itakuwaje 2015?....