Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
CDM naona maji yameshawafika shingoni mnaanza kutafuta sababu!
Poleni sana..VIVA CCM
 
MgungaMiba, kwanza karibu jf kirasmi zaidi kama unavyosema, pili umemwaga nondo za ukweli from ground zero, hivyo tunakuomba uendelee kutupasha kinachoendelea kwa kadri uwezavyo na kwa kadri siku zinavyosogea, ndivyo wana jf wa Igunga watazidi kuongezeka na uchaguzi ukikaribia, jf itatuma wawakilishi wake kuwa miongoni mwa waangalizi.

Taarifa hii uliyoileta sio ya kubezwa hata kidogo maana ni pre-emptive move itakayotumika kama caveat kuzuia hayo yaliyopangwa yasitekelezwe.

Wakati ukiendelea kutupatia ya huko, jitahidi sana kuwa objective kwa kutoegemea upande mmoja, ili kutupa picha halisi ya hali ilivyo ground zero, ukiegemea upande mmoja, taarifa zako zinaweza kuleta false hopes za great expectations, hivyo matokeo yakitokea the other way round, watu watakuwa wameshajihamanisha na ushindi, wakishindwa waishie kulia kuwa eti 'tumeibiwa'.

Kwa jinsi ulivyoanza na headline hii "Mgombea wa CDM Igunga kuenguliwa!", imekaa kishabiki kidogo, as if ni hakika mgombea huyo kuenguliwa, ila ukishasoma ndipo utagundua hii ni speculation tuu na sii hakika, headiline yako ilipaswa kuwa na alama ya kuuliza na sio alama ya mshangao ambapo kwa jinsi ulivyoiweka ni kuashiaria msisitizo. Innapaswa kuwa hivi "Jee, Mgombea wa CDM Igunga kuenguliwa?" Toa picha halisi ya huko bila kujali nani humu jf watakusifu au kukukashifu, simama kwenye ukweli, na ukweli utakusimamisha imara.

Pasco.
 
Nakushukuru mtoa taarifa.

Naomba utujuze na mwamko wa wanaigunga hususan vijijini kabisa ukoje? Tujibu bila ushabiki wa cdm ili tupate na picha halisi ya kupeleka mashambulizi ya kutwaa jimbo.

Pia usiache wala kuchoka kutujuza kila hatua inayoendelea. Back to wanajf, leo mmeboa uchangiaji wenu.
Mlichangia kwa uwasira au mlikuwa macho makavu?

Hivi kuna ubaya gani kwa mwanachama kutoa precaution? Precaution imekuwa utambulisho kuwa yeye ni gamba na matuhuma lundo mnamtupia?

Mliochangia kweli mmedhirisha kuwa ni tiny thinkers na hamtumii vichwa vyenu kureason japo chembe.
 
mkuu tujuze ni kitu gani kitatumika kumuengua huyu mwalimu kuwa mgombea .... je ana criminal record? si raia ..... fault gani ita disqualify candidacy yake .....

please clarify
 
Heri wewe great thinker unayechangia speculations.
 
cdm mnapenda kufarijiana, cdm kushinda igunga ni ndoto za mchana na mtajua hilo subirini mtanange uanze hivi mnafikiri kule ni kaskazini?
 

Ameshasema ndiyo kwanza amejiregist na ni mara yake ya kwanza kupost thread yake humu.
 

Jimbo ni la cdm magamba ni kama wanatapatapa
 
Nachokijua ni kwamba Mungu atsema yes no body can sey no
Chademaa…!
 
CCM wanajua kushindwa igunga kuna maanisha nini kwa mustakabali wa chama,nina pia uhakika cdm wananafasi ndogo kushinda wasipokuwa makini.CCM watashinda kwa mbinu chafu tu.ila kushindwa igunga itakuwa pigo la mwaka kwa cdm!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…