Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am counting kuna mwingine simkumbuki yeye alisema atajinyonga.CHADEMA ikishinda Igunga nahamia Zanzibar.
Niongeze na mimi kwenye list yakoAm counting kuna mwingine simkumbuki yeye alisema atajinyonga.
Am counting kuna mwingine simkumbuki yeye alisema atajinyonga.
Hizo tetesi cdhani kama ni za kweli. Information nyeti ulizonazo ni nyingi kiasi kwamba unanitisha, Time will tell
<br />
<br />mku tuliopo igunga tunakubaliana na taarifa hizo, kwani zipo.
Heri wewe great thinker unayechangia speculations.Nakushukuru mtoa taarifa.
Naomba utujuze na mwamko wa wanaigunga hususan vijijini kabisa ukoje? Tujibu bila ushabiki wa cdm ili tupate na picha halisi ya kupeleka mashambulizi ya kutwaa jimbo.
Pia usiache wala kuchoka kutujuza kila hatua inayoendelea.
Back to wanajf., leo mmeboa uchangiaji wenu.
Mlichangia kwa uwasira au mlikuwa macho makavu?
Hivi kuna ubaya gani kwa mwanachama kutoa precaution? Precaution imekuwa utambulisho kuwa yeye ni gamba na matuhuma lundo mnamtupia?
Mliochangia kweli mmedhirisha kuwa ni tiny thinkers na hamtumii vichwa vyenu kureason japo chembe.
Tuhuma zipi zinamkabili mgombea wa CDM kuenguliwa kugombea ubunge Igunga?
Utajinyonga au utakimbilia pemba.Niongeze na mimi kwenye list yako
Kama unaziona si umweleweshe inawezekana yeye hazioni tuhuma.soma kwa UMAKINI taarifa ndo uulize. Usikurupuke
Umeona eh too much informations, mara DED kajenga nusu barabara mara OCD kabadilishwa mara manager wa NBC ni mchaga mara walimu wabadilishe waje wa Singida dah!!! hata kudanganya sio hivo umeji defend mno hadi umetufanya tuwe na wasiwasi na habari yako, kwa kutufanya tukuamini eti unatutajia hadi kijiji anachotoka kidding ....sisi si wa hivyo kajipange upya..
Hamia Libya kwa Gadaffi kumbuka misikiti yake DodomaCHADEMA ikishinda Igunga nahamia Zanzibar.
Nakushukuru kwa kuunga mkono, nami kwa moyo huo huo naungana na wewe kuwa CHADEMA iwe makini sana na hila za CCM. Wakati mwingine si CCM bali wakatumiwa CUF kama jimbo fulani ktk uchaguzi mdogo kama huu, CUF ilimwekea pingamizi mgombea wa CHADEMA na jimbo hilo likaenda CCM. Kama sikosei ni kati ya Mwanza, Shinyanga, Tabora nakumbuka tu kuwa aliyeshinda ni mbunge m/ke. Kwa hiyo tahadhari ni kitu kizuri zaidi, kama CHADEMA mpaka sasa bado hamjajifunza hila za wenzenu mtajaza wenyewe.<br />
<br />
Mtoa mada ametoa taarifa za kiintelejensia hata kama si sikweli zitatusaidia kuwa makini zaidi. Tukumbuke kuwa kuku mwoga ana vifaranga vingi. Take CARE. Hatutaki tukose jimbo hili kwa uzembe hata kidogo kwa hiyo kila mtu atimize wajibu wake.
Ndugu Mwita kazi unayo hapo Igunga angalia Mwl mwenzako asije akashiindwa kwa uzembe. Simamia kiukamilifu zoezi hili mpaka kieleweke.
CHADEMA ikishinda Igunga nahamia Zanzibar.