Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hzo taarfa zina ukweli kwa vile zina scientific investigation hao magamba waache hila na dhuluma bali haki itamalaki.Endelea Kutujuza
 
Hzo taarfa zina ukweli kwa vile zina scientific investigation hao magamba waache hila na dhuluma bali haki itamalaki.Endelea Kutujuza
 
umeona eh too much informations, mara ded kajenga nusu barabara mara ocd kabadilishwa mara manager wa nbc ni mchaga mara walimu wabadilishe waje wa singida dah!!! Hata kudanganya sio hivo umeji defend mno hadi umetufanya tuwe na wasiwasi na habari yako, kwa kutufanya tukuamini eti unatutajia hadi kijiji anachotoka kidding ....sisi si wa hivyo kajipange upya..


feedback , cha ajabu ni nini kwako ktk hayo????? Tumeshuhudia mangapi ccm yako??? Umewahi kuona wapi mshindwa asitapetape na akakubali pasipo jitihada??? Hii ni jf majibu mepesi mepesi baki nayo mwenyewe, people need change , if u r not part and parcel of it please shut upppppppppppppppppppppppppppppppppp.
 
Mimi niko Igunga hakuna kitu kama hicho nitashangaa tukiendelea kujadili tetesi.
CCM walitegemea atachaguliwa Tumbo vile vile walitegemea kumtumia Mahona lakini kadri siku zinavyokwenda Kashindye anakuwa tishio kwao ndio maana wanakuja na mbinu kama hizi zisizo na kichwa wala miguu.

Mtakapo chakachuliwa ndipo mnapo fumbuka macho jamaa kweli alisema
Kuna kikosi kazi cha intelejinsia kipo kazini
 
Ahsante saana MgungaMiba kwa taarifa hizi nzuri, cha kufanya kampeini za chini chini ziendelee na walimu wasitishwe, ikiwa watatishwa ni vizuri wanazidi kuwajengea hasira.

Advantage aliyo nayo Mwl Kashindye ni kwamba vile vile walimu wanahitaji mwakilishi wao humo kwenye mjengo, sidhani piga ua kama watapoteza hiyo opportunity ya kumsaidia mwenzao aingie mle. Bado ngoma ni nzito simama kidete kazi ndio inaanza.
 
Kama kuna anayekwenda Igunga kutegemea 'fair play' basi atakuwa anajidanganya, kule ni uwanja wa mapambano na mbinu zote zinatumika na hata ikiwezekana rafu vilevile; kuna kumuhonga refa, kununua mabeki wa timu pinzani (tahadhari posho za mawakala wenu), kuna ushindi nje ya uwanja na wakati mwingine umafia hutumika (kama kumlazimisha mgombea ajitoe kwa kupewa pesa na vitisho).

Uchaguzi huu mdogo utakuwa kipimo cha waliomvua gamba RA kama alikuwa anakubalika kiasi gani.
 
nawashauri chadema kila tetesi zilizo na uwezekano wa kuwa kweli wawe makini nazo, kama uwezo upo wazifuatilie. Ni aibu kwa chama cha siasa kuwaibia watu maamuzi yao na kuyageuza....kama CCM wakifanya hivyo Igunga basi wao si chama cha siasa tena bali genge la wahuni!
 
Kumbe Iringa, Mbeya, Mwanza, Mpanda, Ukerewe, Musoma ni kaskazini. Nilikuwa sijui
Mungi heshima kwako,Kwa mtu mwenye akili timamu kwa jibu kama hili anazima computer au laptop yake anaenda kulala,bila ufanya hivyo lazima kichawa yake itakuwa inamatatizo tu.
 
IInafaa tujiulize hivi kulazimishiwa mwakilishi ni aina gani ya ukoloni? Sina makosa kusema Tanzania kwa mtindo huu hatuna uhuru. Wanaigunga lazima wakatae ukoloni wa sisiemu
 
yaani wewe ni kilaza full time 24/7 ...... acha kujidhalilisha ..... usiandike lugha hii tena .... hivi pilau kwa kiingereza ni nini ? maana ndiyo kitu unachujua
Teh teh teh! LATIFA yani leo ndio nimekuona pumba, nimecheka!
Kiingereza sio Kichagga ndio unaweza kunifundisha ujui maana ya Psychiatrist, kwa kukusaidia jaribu ku-Google utafahamu maana yake, angalia sasa watu wanakucheka, jikite sana kwenye lugha yako ya Kichagga ndio unayoifahamu sawa LATIFA
 
Asante sana kwa taarifa mkuu ukiona wewe ni chama tawala halafu wanachi wanakuchukia,ukitaka kushinda uchaguzi mpaka utumie mbinu chafu ujue kweli hali sasa ni ngumu na CDM wanatisha sana,Lakini nilisikia CDM wamesema wataweka wabunge wao kwenye kila kituo cha kupigia kura hili vp wadau hamuoni kama itasaidia?
 
Habari hii imekaa kizushi! Kama umetumwa shindwa kwa jina la Mungu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom