Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 699
You must be sick!
Sick? let us see
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You must be sick!
Wakati wa mapambano ndio huu kila askari awe macho. Watz wameichoka CCM bali CCM inajiuzauza kwa Watz kama malaya vile.[
Ahsante mkuu sina cha kuongeza.
cdm mnapenda kufarijiana, cdm kushinda igunga ni ndoto za mchana na mtajua hilo subirini mtanange uanze hivi mnafikiri kule ni kaskazini?
si ndio kwenu huko au?CHADEMA ikishinda Igunga nahamia Zanzibar.
umeona eh too much informations, mara ded kajenga nusu barabara mara ocd kabadilishwa mara manager wa nbc ni mchaga mara walimu wabadilishe waje wa singida dah!!! Hata kudanganya sio hivo umeji defend mno hadi umetufanya tuwe na wasiwasi na habari yako, kwa kutufanya tukuamini eti unatutajia hadi kijiji anachotoka kidding ....sisi si wa hivyo kajipange upya..
Mimi niko Igunga hakuna kitu kama hicho nitashangaa tukiendelea kujadili tetesi.
CCM walitegemea atachaguliwa Tumbo vile vile walitegemea kumtumia Mahona lakini kadri siku zinavyokwenda Kashindye anakuwa tishio kwao ndio maana wanakuja na mbinu kama hizi zisizo na kichwa wala miguu.
CDM naona maji yameshawafika shingoni mnaanza kutafuta sababu!
Poleni sana..VIVA CCM
Tutakutafuta tuhakikishe unaishia maana safari hii huchomoi!!!!!!!!!!!!Niongeze na mimi kwenye list yako
Mungi heshima kwako,Kwa mtu mwenye akili timamu kwa jibu kama hili anazima computer au laptop yake anaenda kulala,bila ufanya hivyo lazima kichawa yake itakuwa inamatatizo tu.Kumbe Iringa, Mbeya, Mwanza, Mpanda, Ukerewe, Musoma ni kaskazini. Nilikuwa sijui
Ili iwe nini, umshughulikie au nini?????????? Umechelewa!!!!!!!!!Taja kabisa na jina lako.
Teh teh teh! LATIFA yani leo ndio nimekuona pumba, nimecheka!yaani wewe ni kilaza full time 24/7 ...... acha kujidhalilisha ..... usiandike lugha hii tena .... hivi pilau kwa kiingereza ni nini ? maana ndiyo kitu unachujua