Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
we acha uongo,sie hapa ndo tuko igunga,ukweli ni kwamba CUF walipangia kuanza maandamano yao ya kurudisha form saa saba na CDM saa nane mchana.
ILa cha kushangaza CUF kwanza hawakupeleka form yao katika muda uliopangwa na pia walienda kupaki gari lao la matangazo karibu na office ya CDM kama hiyo haitoshi wakasubiri mpaka walivyoona msafara wa CDM umeanza safari saa nane nao wakachua gari lao na kuingilia msafara wa CDM na kulipaka katikati ya balabala.
Ikabidi member wa CDM waanze kulipisha ilo gari, kama hiyo haitoshi tena kwa mara ya pili CUF wakakatisha tena katikati ya msafara wa CDM karibu na stand ya haisi bila sababu yeyote! Huo ndio ukweli msiwandanye wanaJF.
Hapa ndo tunaanzia rasmi kuwafunga midomo vichwa vya ng'ombe na wachumba wao kafu. Tupe habari kamili mkuu.