Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hiyo thread ni uzushi mtupu. Moja ya taarifa iliyotolewa na Naibu katibu mkuu CUF (Julius Mtatiro) humu JF ilikuwa inasema Maalim Self hakuwepo kwenye msafara, na wafuasi wa CUF hawakuwa wakutosha ( In comparison) kwa kuwa walikuwa kwenye mkutano wa ndani na Maalim Self..
 
kweli kuna mtafaruku juzi kwenye maandamano tumbo alisusa hakwenda tume, na akasema anataka kwenda meatu kuna matatizo ya kifamilia, kwa kweli hali hii inabidi viongozi wa kitaifa wakae wairekebishe vinginevyo tunaweza kupata aibu kubwa kabisa.
 
Mkuu huyo jamaa na Mwita wapo pamoja, hiyo ni team ya Nape. Kazi yao humu nikupinga kila kitu chema.
<br />
<br />
Nakuunga mkono mwita kaz yake ni kuleta upupu humu bt bad o gud luc jf ha2danganyiki kizembe muraaa!
Wenye GPA zao wamekaa kimya we hyo 4 ndo unaringa kweli mwita mwitj kwel una2mia masaburi datz y?
Pole we2 na aliyeku2ma
 
Propaganda za CCM at its optimal operating points. Ngoja tusubiri, ila ndo njia za CCM kuhalalisha mbinu chafu.
 
hawa jamaa kweli wamechoka, wameshaanza kumbwela mbwela.
 
Hata humu JF wamo wanaonunuliwa. Tena wengi tu. Si unawaona akina Mwita25, FF, MS. Binafsi wala sishangai wala kuogopa. Wamulize Joji Maratu wa ITV baada ya kuripoti uongo kuhusu cdm kwenye mazishi ya Chacha Wangwe!?
<br />
<br />
Nijuze filipo,joji marato alifanywa ni2?
 
li synovet lingine hilo. akili ya kinana hiyo, safari hii hawatoki,
wafanye rehearsal ya sherehe ya kushindwa!!!!!!
 
Cufu unganisheni kura na CDM. Mtawashida hawa jamaa. Lakini kama mkiendelea hivyo, hakuna cha maana mtakachopata hapo.
 
Propaganda za CCM at its optimal operating points. Ngoja tusubiri, ila ndo njia za CCM kuhalalisha mbinu chafu.

Mkuu hakuna cha kusubiri hapa.. hapa ni kuendelea kupambana tuu maana hayo yaliyosemwa ndo yatakuwa hayo hayo .. jamani tunaibiwa sana
 
nikiangalia naona kama ngoma ni sare 36/44 huku kuna 9 hawajaamua na makamanda ndiyo kwanza wana jiandaa kwenda huko kupiga kambi ya mwezi mzima...kitaeleweka tu
 
Ndugu wana jamvi, huku Igunga hali ni tete kwa CDM, wamebaki kiutafuta watu vijiweni ili wajaze mkutano wao wa ufunguzi. Mgombea wao hana mvuto kwa wapiga kura, DR. Kafumu ushindani mdogo utatoka kwa mgombea wa CUF, lakini CDM mambo ni mazito, SERA zenu za kutamka POSHO hamtaki huku USIKU mkizichukua hazina tija kwa wapiga kura wa Igunga. Dr. Kafumu ni tunu kwa Igunga na kiashirio cha maendeleo ya IGUNGA.

Nipo hapa Igunga madukani muda huu, CDM kwisha kazi pamoja na matangazo ya magari juu ya ufunguzi wao leo, mwitikio ni mdogo sana! Poleni wana CDM Igunga na Arusha sehemu mbili tofauti, Huku Igunga hakuna vijana wa kuleta fujo ambao huwa wanajaza maandamano yenu na mikutano.

Asante kwa taarifa. Kama upo Igunga tunaomba ututumie picha za huko.
 
nikiangalia naona kama ngoma ni sare 36/44 huku kuna 9 hawajaamua na makamanda ndiyo kwanza wana jiandaa kwenda huko kupiga kambi ya mwezi mzima...kitaeleweka tu

Kama una amini kazi yao sawa, nakubaliana nawe kuwa kuna margin ya 9 ambayo inaweza kunyanyua 36 kuwa 45!

Wasiwasi wangu ni kuwa wanataka kuiba kura na hivyo wana weka mpango hewani ili baadae waseme hata kura za maoni zilionyesha hivyo hivyo!
 
Nimeangalia kura za maoni kwa jimbo la Igunga kwenye site ya mwanahalisi, ingawa kura hizi hupiwa na Watanzania wote lakini pia inawapa taswira hawa wanaojiita wamiliki wa nchi (CCM) jinsi waTZ walivyochoshwa na Uzemba na udhalimu wao.


Kwa leo: 12/09/2011

Maggid Mjengwa Blog

Joseph Kashindye (Chadema)) 270 (73%)
Leopard Mahona (CUF) 26 (7%)
Dr Peter Kafumu (CCM) 72 (19%)

Votes so far: 368


Mwanahalisi

Leopold Mahona (CUF) 4%
Joseph Kashindye (CHADEMA) 89%
Peter Kafumu (CCM) 5%
Said Makeni (DP) 1%
Lazaro Ndageya (UMD) 0%
John Maguma (SAU) 1%


Total votes: 305

Kwa matokeo zaidi bofya hapa: Gazeti la MwanaHalisi

RAI

CCM (40%, 297Votes)
Chadema (40%, 297 Votes)
CUF (18%, 131 Votes)
UDP (1%, 11 Votes)
SAU (1%, 4 Votes)

Total Voters: 740


 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom