Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
"Mkapa hawezi kukubali kudhalilishwa".By any means necessary Si Si Em lazima ishinde.
 
Itungwe Sheria kuwabana watu kama hawa,
Haiwezekani ukaliingiza taifa katika hasara kama hii ambayo haikupangwa then unakaa unakenua kenua meno tu pale,
Unafikiri wale waliozimia kwa aili yake (kama kweli) wakimuona anacheka cheka tu pale watajiskiaje?
 
aibu yao aibu ye2!? Gamba RA anamtumikia kafir ili mamboye yakae mstarini
 
Igunga nzima nyumba ni moja tu jamani Magwanda?


Tatizo sio nyumba moja bali ni udini wa CCM, wanawatumia waislam kuwagawa watu wa Igunga hilo tumeliona wazi kupitia Mwigulu akitoa michango katika misikiti na kuwashawishi wachungaji kwa rushwa" lakini wanapoteza muda (It is too late) Tumechoshwa na magamba
 
Kama kuna chama cha siasa kilichofilisika kimaadili na ki-utashi basi ni CCM. Uwepo wa Rostam Azizi kwenye hii kampeni defies logic kabisa kabisa! Swali la kujiuliza kwa nini kuna uchaguzi mdogo leo hii Igunga? Aliyechaguliwa mwaka jana amekufa? kama hajafa nini kilimpata? na inakuwaje mtu mliyemkataa (according to ccm na wimbo wao wa mgamba) leo hii mnakubali?

Mwaka jana wakati wa kampeni za uchaguzi Rais Kikwete alienda Igunga na kumnadi Rostam Azizi huku akisema ni mtu safi, miezi 10 baadae hao hao wakubwa wakasema Rostam hafai, leo hii wanarudi tena (ccm ile ile) kusema Dr. Kafumu anafaa! Kama walikosea kwa Rostam Azizi na kusema anafaa, leo hii wamepata wapi akili za kujuwa Dr Kafumu anafaa?

Halafu bila hata haya wala soni Mkapa na Mukama wanajidai kuwa Igunga ya 94 si hii leo! Wanadai kuna maendeleo! Kwani Igunga ya 94 haikuwa ya CCM? Nchi hii haijataliwa na chama kingine chochote zaidi ya ccm na mama yake (TANU). Sasa wanataka kusema IGUNGA ya 94 ilkuwa mbaya sana kwa sababu wakati huo ilikuwa (IGUNGA) chini ya FRELIMO? Wanaongea nini hasa hawa viongozi? Na hayo maendeleo wanayosema ni yepi hasa? Maji yanapatikana muda wote? Umeme wa uhakika? Wanafunzi wanafaulu zaidi kuliko sehemu nyingine Tanzania hii? au wana huduma bora za afya? Maendeleo gani?
ukifikiria sana hapa unaweza kuumwa kichwa !!!!!!!!!!
  • Kwanini waseme Igunga ni kwanza kama silaha ? KAMA maendeleo yapo watu si wanayaona
  • Je, hii mizani anaye itupia ni nani ?
  • kwa vigezo gani?
  • hakuna instrumental error kwenye vipimo vyao ?
  • na parallex error je haipo ?
  • vipi maendeleo ya Igunga na maeneo mengine nje na Tabora maana yote ni TZ uhuru ulipatikana kwa pamoja ?
Ninacho jua mimi mtoto anaweza kuwa wa kwanza miongoni mwa watoto wasio na uwezo kama mzazi ni mjinga unabaki kukenua meno kumbe unajifariji tu. Wazazi wenye busara huangalia wastani wa darasa comparing na ule wa mtoto huku ukitafakari national mean huwaje.
 
Nimesikitika sana kumuona Ra kwenye jukwaa tena akitabasam,najua alitumia haki yake kikatiba kujiuzulu,lkn hakutazama hasara anayotutwisha wananchi ili uchaguzi ufanyike tena. Hawa watu hawana washauri jamani?ni juzi juzi alisema ccm,inafanya siasa uchwara,leo kafuata nini?pamoja na kodi zetu kutumika,bado muda mwingi wananchi wa Igunga hawatafanya kazi za kuzalisha.Wanaigunga fanyeni kweli kuondoa hawa watu magamba ujinga,maana wao wanaona ni wajanja na nyie ndio wajinga.

mabilioni ya pesa za kodi za wana igunga ambayo labda yangetumika kwa ajili ya maendeleo ya wana igunga kwa ajili ya mashule yao na mahospitali yao zinakwenda kutumika kwenye uchaguzi kwa ajili ya RA. wananchi walibidi wawe furious kwa kitendo cha RA KUWATIA PSYCHOLOGICAL AND MONETARY DAMAGE hii lakini wananchi wengi kwa uwezo wao mdogo wa kufikiri wanapiga makofi na kumuona ni kama mkombozi wao.
 
Hili nimeshalitolea ufafanuzi tayari. Nimeuliza kwa mfano wanandoa wanaishi na kupata mtoto lakini baada ya muda mwanamke anachoshwa na tabia za mumewe na analazimika kudai talaka na ndoa inavunjika. Je ni kosa kwa mwanamke kutoa msaada kwa mtoto wake pale anapojisikia?
<br />
<br />

Kwahiyo kwa mujibu wako Rostam ndo mke?
 
Watanzania naona wengi wana wivu, kwa nini msikubali kuwa CCM walijaza watu na wao?
 
The oroijino Komedi mnajishushia hadhi yenu kwa kutumiwa hasi na CCM, jueni kwamba umaarufu wenu unashuka na kupoteza mvuto kwa wapenzi wenu kama ilivyokuwa zamani. Kaeni chini mtafakari kisha mjiulize ni Watanzania wangapi wanaichukia CCM kisha idadi hiyo mtoe kwenye hesabu yenu ya zamani kabla hamjachakachuliwa Chama Cha Mafisadi (The freedom is coming tomorrow)
 
Magamba mna hali ngumu kama hali ndio hiyo manake mi naona mbuzi tu hapo wala si watu....yaani wamekata tamaa na bado wana hali ngumu sana kwa kweli.
 
Nadhani hii haitusaidii tukubali mkutano wa leo ulikua mkubwa kama mikutano ya jangwani? Kazi ipo pale imeonesha CCM wameuandaa mkutano wao na umekuwa mkubwa. Ni mara mbili ya ule wa cdm ndg zangu
tunafahamu kuwa wewe ni nyumba ndogo ya NEPI, lakini je huwezi ku-integrate mambo kwa akili yako mwenyewe?
 
Napendekeza kwa kuwa inaonekana hili jambo ni dharau na tusi kwa walipa kodi wa TZ,
kwani ni gharama kubwa kurudia uchaguzi, basi NEC imuamuru huyu aliejiuzuru kwa visingizio ambavyo leo anavikana kwa vitendo, alipe gharama zote za Uchaguzi kwa vyama vyote na ashitakiwe kwa Uuhujumu Uchumi, kwani hela zinazotumika sasa kwenye kampeni hadi uchaguzi zingeweza kutumika kwa maendeleo ya Nchi.
 
kama kawaida show ya bure ya zekomedi na malori ya kubebea watu
 
Ile picha inayosema vurugu zenu mkafanyie Arusha na Kilimanjaro imenikera sana maana kama na CCM wanaendekeza haya mambo ya ukabila, ukanda na ujinga nchi hii basi mwisho wake unakaribia, ni vizuri mtu akatafuta tu biashara zake kwingine akale maisha na wajinga wa sehemu ka za Igunga ka kweli wapo waendelee kuponda usingizi wa pono

Hivi kweli kijana anayeelewa haya yanayoendelea TANZANIA anashika bango kama lile la rangi ya njano????
 
Zitto hawezi kuhudhuria kwasababu ya tofauti zao na Mbowe. Unajua Zitto huwa hapendi kupelekwa pelekwa kama Mkokoteni. Sasa bila yeye sijui mtashinda vipi uchaguzi?
yaani wewe unapelekewa kotekote, kwa sababu naona tena umekuwa msemaji wa CDM, angalia usiwe.......
 
Inawekana ikawa vigumu kuamini, lakini ni kweli imetokea kwenye mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa kampeni za CCM jana jioni, ilipofika zamu ya mgombea ubunge wa CCM kujieleza na kuomba ridhaa ya wananchi, alimpandisha Mke wake jukwaani na kusema "MNAMUONA HUYU? HUYU NDIE MKE WANGU, MAMA KAFUMU, ALINICHAGUA MIMI NIWE MUME WAKE, KWA HIYO NA NYINYI NYOOTE FANYENI HIVYOHIVYO!"

Nadhani kwa kila aliehudhuria hawezi kubisha, sasa wengi wetu tusio na ushabiki wa kupitukia tulipigwa na butwaa, yaani sijui alikuwa anataka kutufanya nini sijui, maana kama ni hao wake zetu na dada zetu wamtake yeye Kama alivyotakwa na mkewe, yenyewe ni balaa tosha, lakini sisi wanaume wenzake, marijali tuliokamilika sijui ametuweka kwenye fungu gani?

Namuomba Dr Kafumu afanye uungwana kidogo atuombe radhi kwa kejeli hiyo, kwani na sisi pia tuna wake zetu waliotuona tunafaa wakatuchagua.
 
Wadau Wanajamvi AsalaaamAlykum!
Ni kitambo nimekuwa sirushi post hapa jamvini ila kuhusu hili imenibd nifanye hivi japo kuwatoa tongotongo zlizotanda kwenye kope zenu enyi wanajamvi wazalendo na wapigania maendeleo ya hii nchi(Inji) ye2
Firstly, I just wanna alert u of the suspicious issue that arose immediately before commencement of the Igunga election compain,
As per the report frm one of my intelligent secret agents working in the so known int'l bank she just informed me the withdrawal of approximately 3.1 bil Tshs of which there is no apparent supporting document to where such an amount is gonna be utilized to! Na kumbukeni the owner of Caspian is Rostam aziz.
N b4 this withdrawal, there was a transaction frm BOT involving dis Caspian account!
Sasa just imagine hii CCM bado inatutafuna hata katika uchaguzi huu mdogo kwa hela za wavuja jasho wa nchi hii wanataka kufanikisha kumweka Fisadi mwingine tena katka System!
Kwa mtu anaefuatilia vizuri siasa za nchi hii CCM sahv hawana chanzo kingine muafaka cha mapato zaidi ya Ruzuku na ada ya uanachama ambazo kwa ujumla nachelea kusema kuwa haztoshi kukfanya chama chao cha vichwamaji kushka hatamu bla kuchakachua!
Hivyo basi hawawezi hata siku moja kumtupa Rostam coz he is everything to 'em all n he got Power!
Sitaki kuongea sana ila mkitaka evidence ntamwaga hapa coz makablasha yote ninanyo!
Nihayo tu na ninaomba kuwasilisha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom