Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
ni takrima sio rushwa

Rushwa na Takrima ni kitu kimoja, tofauti ni majina. ni sawa na kusema zamani ilikuwa inaitwa Zain, ikabadilishwa jina ikawa inaitwa Airtel, wafanyakazi wale wale huduma zile zile.
 
Rushwa na Takrima ni kitu kimoja, tofauti ni majina. ni sawa na kusema zamani ilikuwa inaitwa Zain, ikabadilishwa jina ikawa inaitwa Airtel, wafanyakazi wale wale huduma zile zile.
Takrima ni neno zuri badala ya rushwa lililohalalishwa na CCM
 
lakini kampeni zikiisha hiyo takrima itageuka msiba...


Hivi hii haiwezi kutumika kubatilisha ushindi wa magamba mahakamani kama watashinda maana ni takrima ya wazi. Au sheria ya takrima wakati wa uchaguzi inasemaje wakuu?
 
Mbinu dhaifu sana hii...hata babu yangu wa miaka 100 angetambua huu ni utapeli wa kisasa
 
Kwani mmesahau enzi za Mkapa Takukuru haikuweza kukamata hata mtuhumiwa mmoja wa rushwa? Alikuwa akiwapa kiuzibe....Mkapa is corrupt. Period!
Ana kauli za Kiburi sana huyu mzee. Asisahau kuwa mabadiliko ya kiuongozi hapo mbeleni yanaweza kukumbusha uhalifu mwingi alioufanya mwisho akaishia kubaya.
Anapaswa kuonyesha unyenyekevu na kujiepusha na kauli za kuudhi ili walao watu wasahau aliyoyafanya yasiyo faa.
 
Anayebisha kuwa ccm yote ni mashetani naye ni shetani. Hivi, MUNGU WANGU, kweli wanaendelea kudhambika namna hii?
Mkapa ana mlima mrefu wa toba.
 
Wajameni: Alisikika Mkapa akisema 'Na nyie Takukuru tunaomba mtuache tugawe mahindi kwa kuwa ccm ni chama sikivu, na hii sio rushwa mmesikia'? Hii ilitokea kwenye ufunguzi wa malumbano yao Igunga, na utafiti tumefanya na kugundua mahindi yanagawiwa mchana kweupe. Hayo ndio maendeleo anayosema Ben yanampa faraja kabisa. Lami toka Dar hadi Mwanza, chakula kaputii... Nchi hii bwana.

Sasa hapo napenda kusema Takukuru walijibu 'Sawa mkuu, na sasa mtagawa viroba vingapi?. Yaani hii ni sawa na Mkweree alipoambiwa na Marekani, 'Hey hebu ruka juu' Yeye alijibu 'Sawa mkuu, sasa niruke hadi wapi - nipimie wewe'.

Wisdom: Tulipitisha sheria ya uchaguzi ambayo sina hakika kama huyu Ben aliipitia kwa ukamilifu. Tunamuomba Tendwa atoe tamko vinginevyo ccm inagawa rushwa njenje. Yaani hii inakera sana. Wana JF, nawasilisha.

Huyu Mkapa Chadema wakichukuwa nchi atafute nchi ya kwenda kukaa ama sivyo atalipa machungu yote aliyowafanyia wa Tanzania kwa siasa zake za ubeberu. Hajasoma bado yanayomtokea Hosni mubarak wa misri na Kanali ghadaf wa libya. Ubabe mwisho wake ni mbaya
 
Wana-Igunga, chukueni kila kitu; mahindi kwa CCM, Ubwabwa kwa CCM na fedha nazo toka CCM ila kura zote kwa CDM kuuchinja rasmi ufisadi nchini kwa kuanzia hapo Igunga.

Hizo zote ni kodi zetu walizokwapua huko serikali hivyo ni halali zetu toka kwa wanamagamba hao. Hakuna kulala mpaka kieleweke.

I have been saying the same for years. the opposition in Kenya got KANU out with the slogan " Kula kwao Kura Kwetu"
 
Kaka Rejao, kuendelea kubishana na huyu mhuni ni kupoteza muda; hajui hata halifanyalo, Looh, inasikitisha sana! Njaa upoteza hata uwezo wa kufikiri, sijui kapewa shs ngapi kuandika upuuzi! Shame on him.
 
Hatutaki watu wanaofuata upepo eti utavaa ikihinda mbona unkuwa mtu wa kufuuta upepo we ni mtu mzima CHADEMA hatuhitaji vigeugeu kama ninyi SHIBUDA tuliye naye anatutosha.

Shibuda mwenyewe hana ujanja. Alifikiri Chadema ni kichaka ... kumbe ni mfumo kamili kama CCM tu.
 
Mpaka sasa ni dakika ya 20 kipindi cha kwanza. CCM wanaongoza Magwanda 3-0. Mpaka halftime nadhani itakuwa 7. Ila nasikia wanataka kumwingiza yule fowadi wao wa kutumainiwa Zitto Kabwe aongeze nguvu manake hali ni mbaya kwakweli.
 
Mpaka sasa ni dakika ya 20 kipindi cha kwanza. CCM wanaongoza Magwanda 3-0. Mpaka halftime nadhani itakuwa 7. Ila nasikia wanataka kumwingiza yule fowadi wao wa kutumainiwa Zitto Kabwe aongeze nguvu manake hali ni mbaya kwakweli.
<br />
<br />
hili bwawa la magamba nalo milinanikela.watu wanajadili mambo ya maana lenyewe litaleta mambo ya kike.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom