Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hayo ni maon yako ambayo ni km ndoto za alinacha, chadema bado kimewakaba mpaka mmekosa pumz, hapo bado!
 
Tunataka CCM mtupe mahakama ya kadhi mlituhaidi,waislam tumegundua CCM ni matapeli wakutupa,wanawatumia makafiri kama kina malaria sugu kutulaghai sisi waislam,CCM ni chama cha majambazi
 
Wakuu vipi zile Chopa hazipo tena huko Igunga???????????? Maana nakumbuka kila chama kilitamba mwanzoni kwamba kitatumia chopa sasa vp hautoni picha hata moja ya chopa au ndiyo kusikilizia kwanza!!!!!!!!!!!
 
Hivi magwanda Igunga ndio hawana chao? Kwa maana hiyo hata 2015 ndio sorry! Mungu wangu wee, mifuko ya simenti ya mia tano Igunga hawaitaki? Mungu wangu we Igunga wanawapenda mafisadi? Mungu wangu we Igunga wote ni Waislaam, Mungu wangu we kampeni zinaendeshwa kwa rushwa! Mungu wangu we tungoje kususiwa Igunga nzima na magwanda.
 
halafu yale maharage nawasiwasi yalikuwa hayajaiva... maana naona MAGAMBA wote waliadimika humu matumbo yalikuwa yanawaendesha...

anyway na ww UPO mama sijakuona mda.. au ulikodishwa na MAGAMBA katika kuweka mambo sawa.........

Nipo Fredwash naangalia siasa za nchi hii zinaendaje? pia naendelea kushangaa kauli mbiu ya miaka 50 ya uhuru inavyosema...
 
Habari nilizozipata kutoka kwa Chanzo kuaminika ni kwamba Nape amempigia Magoti Rostam ili amruhusu aende Igunga lakini Rostam ametia Ngumu Mpaka masharti yake yatimizwe. Amempa masharti Nape kwamba ili atie Maguu Igunga ni Lazima aimbe sifa zake yeye Rostam, tayari Makada kadhaa wa CCM wameshamsafisha Rostam. Mpashaji ameendelea kusema kwamba Suala la Rostam Kualikwa siku ya Ufunguzi wa Kampeni na Nape Kutoswa linamuumiza sana Nape na Limemshushia Heshima mbele hata ya wale waliokuwa wanamwamini, kwamba Kelele zote zile za Gamba kumbe ilikuwa ni kutafuta Umaarufu wake yeye binafsi na Kundi linalompinga EL urais 2015 ambako kundi hilo Rostam amelipiga Marufuku kukanyaga Igunga ( Hapa nikakumbuka Maneno ya JK Igunga ina Mwenyewe na Mwenyewe ni Rostam). Kwa Hali inavyoendelea ni dhahiri Nape atasalimu Amri na hii inachochewa zaidi na Tamaa yake ya kupenda kujisifia na Kusafisha jina Lake. Ila Rostam bado ameendelea kutia ngumu Maana anadai kwamba Nape ni Kigeugeu yaani Haaminiki

Habari ndiyo hiyo
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.

Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.

Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
mimi sio kuvaa gwanda tu bali chadema a.k.a chama kristo kikishinda igunga nitatembea uchi tanzania nzima
 
duu, kijukwaa utadhani ki barn cha kukamulia ng'ombe kilivyoungwa ungwa na waya na vijiti! CHADEMA wakichua nchi hawa kweli wataboresha hii nchi au yatakuwa yale yale? Nawafagilia kwa kwenda mbele lakini sometimes mmmh... reality check hits you hard.

Mkuu wakichukua dola, CHADEMA watatumia mali ya dola na serikali kuboresha nchi, na si mali ya chama..haijalishi hali yao ya kipesa kama chama itakua katika kiwango kipi.
 
Na kwa taarifa yako ulioyetuma thread hii sijui ulitumia vigezo gani kuhisi CDM itashindwa ila mimi ni mwana Igunga niliyezaliwa na kukulia Igunga, najua jisi wana Igunga walivyochoshwa na uwakilishi wa jina. Sioni kitakachoizuia CDM kuchukua jimbo zaidi ya magamba ya watawala (Fedha na Dola). Kama haki ikitandeka, CCM haina chake pale.
 
Habari nilizozipata kutoka kwa Chanzo kuaminika ni kwamba Nape amempigia Magoti Rostam ili amruhusu aende Igunga lakini Rostam ametia Ngumu Mpaka masharti yake yatimizwe. Amempa masharti Nape kwamba ili atie Maguu Igunga ni Lazima aimbe sifa zake yeye Rostam, tayari Makada kadhaa wa CCM wameshamsafisha Rostam. Mpashaji ameendelea kusema kwamba Suala la Rostam Kualikwa siku ya Ufunguzi wa Kampeni na Nape Kutoswa linamuumiza sana Nape na Limemshushia Heshima mbele hata ya wale waliokuwa wanamwamini, kwamba Kelele zote zile za Gamba kumbe ilikuwa ni kutafuta Umaarufu wake yeye binafsi na Kundi linalompinga EL urais 2015 ambako kundi hilo Rostam amelipiga Marufuku kukanyaga Igunga ( Hapa nikakumbuka Maneno ya JK Igunga ina Mwenyewe na Mwenyewe ni Rostam). Kwa Hali inavyoendelea ni dhahiri Nape atasalimu Amri na hii inachochewa zaidi na Tamaa yake ya kupenda kujisifia na Kusafisha jina Lake. Ila Rostam bado ameendelea kutia ngumu Maana anadai kwamba Nape ni Kigeugeu yaani Haaminiki

Habari ndiyo hiyo

Mkuu inaelekea umeanza kuvaa viatu vya marehemu sheikh yahya. Kuna mahali nape amejibodoa kwamba anajiandaa kurudi tena igunga,bila shaka atakuwa amekubali kutii masharti ya gamba kuu rostam.
 
Ukishavaa hilo gwanda ndio itakuwaje?? Wavaa magwanda wanajulikana mzamiaji kama wewe ukivaa gwanda wanachi watakuona mgambo wa jiji tu umekuja kumwaga masufuria ya mama lishe..
 
Mimi simshangai mleta hoja hata kidogo, hiyo ni ishara tu kwamba watanzania wengi watajiunga chadema siyo yeye peke yake, baada ya chadema kushinda Igunga, na dalili zimeshaanza. Nahisi JK atachelewa kurudi ili aibu ya Igunga isimkute akiwa magogoni.
 
Mkuu inaelekea umeanza kuvaa viatu vya marehemu sheikh yahya. Kuna mahali nape amejibodoa kwamba anajiandaa kurudi tena igunga,bila shaka atakuwa amekubali kutii masharti ya gamba kuu rostam.

Just wait Mkuu Time will tell
 
sammosses:wasiwasi wangu unaweza ukaingia na gamba lako ikawa taabu,iwe isiwe movement imefika,kazi kwenu,wenye mioyo ya plastic
 
Hakuna wa kuzuia uchaguzi. Nitakununulia gwanda.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom