Uchaguzi 2020 Uchaguzi Ileje na Songwe tunaanza kushinda kwa mbinu, kabla ya kupiga kura

Uchaguzi 2020 Uchaguzi Ileje na Songwe tunaanza kushinda kwa mbinu, kabla ya kupiga kura

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
324
Reaction score
649
ILEJE NA SONGWE TUMESHASHINDA KWA TECHNICALITIES, SASA TUNAENDA MOMBA........


Na Elius Ndabila

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, macho na masikio ya watanzania wote ni kuelekea OCTOBER 28 ni nani atashinda?

Lakini wakati Watanzania wanajiandaa kujua ni nani wataibuka kidedea kwenye uchaguzi huu mwezi Oktoba, katikati ya mwezi wa saba niliandika kuwa uchaguzi una mbinu nyingi za kushinda. Nilisema mbinu kubwa ni KURA NA TECHNICALITIES (Mbinu). Nilisistiza uchaguzi tuanza kushinda tangu siku ya kwanza unapochukua fomu. Niliandika hivyo nikijua wazi watu wengi wanakuwa busy na mbinu moja tu ya uchaguzi na kusahau Technicalities.


Kwa mkoa wa Songwe hususan Wilaya za Ileje na Songwe wamethibitisha kuwa Uchaguzi unaanzia kwenye Mbinu. Hadi sasa Wilaya za Ileje na Songwe Wagombea wake kwa ngazi za Ubunge wameshapita bila kupingwa baada ya wapinzani wao kushindwa kuruka viunzi/ Technicalities. Wagombea wa vyama vya upinzani walinaswa kwenye mtego hata kabla ya kuanza kampeni.

Wapo wanaolalamika kana kwamba wameonewa. Ninaomba kuwakumbusha tu kuwa kujaza fomu vizuri ni hitaji na takwa la kisheria. Unapokosea kujaza fomu unajiondolea uhalali wa kushiriki kwenye mchakato kwani unakuwa hujakidhi vigezo. Sheria haina huruma, uwe umefanya kosa kwa kujua au kuto kujua sheria inakuadhibu.

Wapo wanaosema kwa nini CCM wao hawakumbwi na haya matatizo. Ninaomba niwakumbushe kuwa linapokuja suala la uchaguzi CCM hakuna mzaha. Hili linakuwa ni suala la chama na si la mtu. Fomu za Wagombea wa CCM hujazwa kistadi kwa kushirikiana viongozi wa Wilaya, Mkoa na Wanasheria. CCM hawajazii fomu nyumbani, Madiwani linapokuja suala la kujaza fomu wote huitwa kwenye ofisi za CCM Wilaya kupata maelezo na kujaza fomu.

Halikadhalika linapokuja suala la Mbunge hujazia fomu ofisi za wilaya kwa kusimamiwa jopo la watumishi hushiriki ili kuondoa makosa yanayoweza kumuondolea sifa ya kukosa uhalali wa kugombea. Wakati CCM wakifanya haya, wenzetu upinzani sidhani kama wana hata eneo maalum la kukutana kujaza fomu, ninadhani Upinzani wengi kila mtu hujaza fomu kivyake ndiyo maana wanafanya Technicalities mistake.

Ileje na SONGWE kazi imeisha. Wagombea wanapita kujitambulisha na kutafuta kura za Rais na Madiwani. Wakati Songwe na Ileje haya yakifanyika sasa nguvu tunaelekeza Momba, Tunduma, Mbozi na Vwawa. Huku tunategemea kushinda kwa KURA baada ya TECHNICALITIES kugonga mwamba.
 
ILEJE NA SONGWE TUMESHASHINDA KWA TECHNICALITIES, SASA TUNAENDA MOMBA........


Na Elius Ndabila

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, macho na masikio ya watanzania wote ni kuelekea OCTOBER 28 ni nani atashinda?

Lakini wakati Watanzania wanajiandaa kujua ni nani wataibuka kidedea kwenye uchaguzi huu mwezi Oktoba, katikati ya mwezi wa saba niliandika kuwa uchaguzi una mbinu nyingi za kushinda. Nilisema mbinu kubwa ni KURA NA TECHNICALITIES (Mbinu). Nilisistiza uchaguzi tuanza kushinda tangu siku ya kwanza unapochukua fomu. Niliandika hivyo nikijua wazi watu wengi wanakuwa busy na mbinu moja tu ya uchaguzi na kusahau Technicalities.


Kwa mkoa wa Songwe hususan Wilaya za Ileje na Songwe wamethibitisha kuwa Uchaguzi unaanzia kwenye Mbinu. Hadi sasa Wilaya za Ileje na Songwe Wagombea wake kwa ngazi za Ubunge wameshapita bila kupingwa baada ya wapinzani wao kushindwa kuruka viunzi/ Technicalities. Wagombea wa vyama vya upinzani walinaswa kwenye mtego hata kabla ya kuanza kampeni.

Wapo wanaolalamika kana kwamba wameonewa. Ninaomba kuwakumbusha tu kuwa kujaza fomu vizuri ni hitaji na takwa la kisheria. Unapokosea kujaza fomu unajiondolea uhalali wa kushiriki kwenye mchakato kwani unakuwa hujakidhi vigezo. Sheria haina huruma, uwe umefanya kosa kwa kujua au kuto kujua sheria inakuadhibu.

Wapo wanaosema kwa nini CCM wao hawakumbwi na haya matatizo. Ninaomba niwakumbushe kuwa linapokuja suala la uchaguzi CCM hakuna mzaha. Hili linakuwa ni suala la chama na si la mtu. Fomu za Wagombea wa CCM hujazwa kistadi kwa kushirikiana viongozi wa Wilaya, Mkoa na Wanasheria. CCM hawajazii fomu nyumbani, Madiwani linapokuja suala la kujaza fomu wote huitwa kwenye ofisi za CCM Wilaya kupata maelezo na kujaza fomu.

Halikadhalika linapokuja suala la Mbunge hujazia fomu ofisi za wilaya kwa kusimamiwa jopo la watumishi hushiriki ili kuondoa makosa yanayoweza kumuondolea sifa ya kukosa uhalali wa kugombea. Wakati CCM wakifanya haya, wenzetu upinzani sidhani kama wana hata eneo maalum la kukutana kujaza fomu, ninadhani Upinzani wengi kila mtu hujaza fomu kivyake ndiyo maana wanafanya Technicalities mistake.

Ileje na SONGWE kazi imeisha. Wagombea wanapita kujitambulisha na kutafuta kura za Rais na Madiwani. Wakati Songwe na Ileje haya yakifanyika sasa nguvu tunaelekeza Momba, Tunduma, Mbozi na Vwawa. Huku tunategemea kushinda kwa KURA baada ya TECHNICALITIES kugonga mwamba.
Utakuwa mtu mpumbavu sana wewe.
 
Yaani moja wilaya kongwe na masikini ni ileje japo wanalima mazao ya biashara lkn hakuna masoko ..barabara mbovu yaani ni shida
 
ILEJE NA SONGWE TUMESHASHINDA KWA TECHNICALITIES, SASA TUNAENDA MOMBA........


Na Elius Ndabila

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, macho na masikio ya watanzania wote ni kuelekea OCTOBER 28 ni nani atashinda?

Lakini wakati Watanzania wanajiandaa kujua ni nani wataibuka kidedea kwenye uchaguzi huu mwezi Oktoba, katikati ya mwezi wa saba niliandika kuwa uchaguzi una mbinu nyingi za kushinda. Nilisema mbinu kubwa ni KURA NA TECHNICALITIES (Mbinu). Nilisistiza uchaguzi tuanza kushinda tangu siku ya kwanza unapochukua fomu. Niliandika hivyo nikijua wazi watu wengi wanakuwa busy na mbinu moja tu ya uchaguzi na kusahau Technicalities.


Kwa mkoa wa Songwe hususan Wilaya za Ileje na Songwe wamethibitisha kuwa Uchaguzi unaanzia kwenye Mbinu. Hadi sasa Wilaya za Ileje na Songwe Wagombea wake kwa ngazi za Ubunge wameshapita bila kupingwa baada ya wapinzani wao kushindwa kuruka viunzi/ Technicalities. Wagombea wa vyama vya upinzani walinaswa kwenye mtego hata kabla ya kuanza kampeni.

Wapo wanaolalamika kana kwamba wameonewa. Ninaomba kuwakumbusha tu kuwa kujaza fomu vizuri ni hitaji na takwa la kisheria. Unapokosea kujaza fomu unajiondolea uhalali wa kushiriki kwenye mchakato kwani unakuwa hujakidhi vigezo. Sheria haina huruma, uwe umefanya kosa kwa kujua au kuto kujua sheria inakuadhibu.

Wapo wanaosema kwa nini CCM wao hawakumbwi na haya matatizo. Ninaomba niwakumbushe kuwa linapokuja suala la uchaguzi CCM hakuna mzaha. Hili linakuwa ni suala la chama na si la mtu. Fomu za Wagombea wa CCM hujazwa kistadi kwa kushirikiana viongozi wa Wilaya, Mkoa na Wanasheria. CCM hawajazii fomu nyumbani, Madiwani linapokuja suala la kujaza fomu wote huitwa kwenye ofisi za CCM Wilaya kupata maelezo na kujaza fomu.

Halikadhalika linapokuja suala la Mbunge hujazia fomu ofisi za wilaya kwa kusimamiwa jopo la watumishi hushiriki ili kuondoa makosa yanayoweza kumuondolea sifa ya kukosa uhalali wa kugombea. Wakati CCM wakifanya haya, wenzetu upinzani sidhani kama wana hata eneo maalum la kukutana kujaza fomu, ninadhani Upinzani wengi kila mtu hujaza fomu kivyake ndiyo maana wanafanya Technicalities mistake.

Ileje na SONGWE kazi imeisha. Wagombea wanapita kujitambulisha na kutafuta kura za Rais na Madiwani. Wakati Songwe na Ileje haya yakifanyika sasa nguvu tunaelekeza Momba, Tunduma, Mbozi na Vwawa. Huku tunategemea kushinda kwa KURA baada ya TECHNICALITIES kugonga mwamba.
Yaani hakuna watu wenye maisha duni kama Ileje na songwe. Yet kuna mpumbavu kama wewe unatetea tena kulejesha jimbo.
kwa waliofeli mika 60 sasa.
 
Ileje?
Huwa nikifika Mpemba kama naelekea Tunduma naanza kufikiria maisha duni mliyonayo Ileje. Leo unakuja kueleza technicalities za kishenzi? CCM imeshawajua mlivyo mbumbumbu wala haina haja ya kufanya chochote. Endeleeni kushangilia ujinga na kuuita technicality.
 
ILEJE NA SONGWE TUMESHASHINDA KWA TECHNICALITIES, SASA TUNAENDA MOMBA........


Na Elius Ndabila

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, macho na masikio ya watanzania wote ni kuelekea OCTOBER 28 ni nani atashinda?

Lakini wakati Watanzania wanajiandaa kujua ni nani wataibuka kidedea kwenye uchaguzi huu mwezi Oktoba, katikati ya mwezi wa saba niliandika kuwa uchaguzi una mbinu nyingi za kushinda. Nilisema mbinu kubwa ni KURA NA TECHNICALITIES (Mbinu). Nilisistiza uchaguzi tuanza kushinda tangu siku ya kwanza unapochukua fomu. Niliandika hivyo nikijua wazi watu wengi wanakuwa busy na mbinu moja tu ya uchaguzi na kusahau Technicalities.


Kwa mkoa wa Songwe hususan Wilaya za Ileje na Songwe wamethibitisha kuwa Uchaguzi unaanzia kwenye Mbinu. Hadi sasa Wilaya za Ileje na Songwe Wagombea wake kwa ngazi za Ubunge wameshapita bila kupingwa baada ya wapinzani wao kushindwa kuruka viunzi/ Technicalities. Wagombea wa vyama vya upinzani walinaswa kwenye mtego hata kabla ya kuanza kampeni.

Wapo wanaolalamika kana kwamba wameonewa. Ninaomba kuwakumbusha tu kuwa kujaza fomu vizuri ni hitaji na takwa la kisheria. Unapokosea kujaza fomu unajiondolea uhalali wa kushiriki kwenye mchakato kwani unakuwa hujakidhi vigezo. Sheria haina huruma, uwe umefanya kosa kwa kujua au kuto kujua sheria inakuadhibu.

Wapo wanaosema kwa nini CCM wao hawakumbwi na haya matatizo. Ninaomba niwakumbushe kuwa linapokuja suala la uchaguzi CCM hakuna mzaha. Hili linakuwa ni suala la chama na si la mtu. Fomu za Wagombea wa CCM hujazwa kistadi kwa kushirikiana viongozi wa Wilaya, Mkoa na Wanasheria. CCM hawajazii fomu nyumbani, Madiwani linapokuja suala la kujaza fomu wote huitwa kwenye ofisi za CCM Wilaya kupata maelezo na kujaza fomu.

Halikadhalika linapokuja suala la Mbunge hujazia fomu ofisi za wilaya kwa kusimamiwa jopo la watumishi hushiriki ili kuondoa makosa yanayoweza kumuondolea sifa ya kukosa uhalali wa kugombea. Wakati CCM wakifanya haya, wenzetu upinzani sidhani kama wana hata eneo maalum la kukutana kujaza fomu, ninadhani Upinzani wengi kila mtu hujaza fomu kivyake ndiyo maana wanafanya Technicalities mistake.

Ileje na SONGWE kazi imeisha. Wagombea wanapita kujitambulisha na kutafuta kura za Rais na Madiwani. Wakati Songwe na Ileje haya yakifanyika sasa nguvu tunaelekeza Momba, Tunduma, Mbozi na Vwawa. Huku tunategemea kushinda kwa KURA baada ya TECHNICALITIES kugonga mwamba.
Upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom