Elections 2010 Uchaguzi katika mwezi wa ajabu, Hupatikana kila baada ya miaka 823!

Elections 2010 Uchaguzi katika mwezi wa ajabu, Hupatikana kila baada ya miaka 823!

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,175
Reaction score
2,294
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida?
Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja katika kila miaka 823.

Hii inamaanisha nini kwa wagombea wetu mwaka huu? Je umegundua kuwa hata wagombea wake ni waajabu? Hebu angalia mlolongo huu:

1. Profesa Lipumba

2. Dr Kikwete

3. Dr Slaa

4. Dr Hashim

Mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea wa urais.

Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?
 
tumechoka rushwa na vipaumbele bomu vya mgombea wako.Kama kuna uzoefu aliojifunza sio mbaya atautumia kwenye chama chenu.
 
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida?
Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja katika kila miaka 823.

Hii inamaanisha nini kwa wagombea wetu mwaka huu? Je umegundua kuwa hata wagombea wake ni waajabu? Hebu angalia mlolongo huu:

1. Profesa Lipumba

2. Dr Kikwete

3. Dr Slaa

4. Dr Hashim

Mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea wa urais.

Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?

huwa napata shida kujua jinsia za watu wenye majina kama BAHATI, ZAWADI, nk. samahani ndugu, wewe ni jinsia gani? ni hilo tu.
 
hivi kikwete ni dr wa nini?


dance+kikwete.jpg


Kucheza ngoma!
 
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida?
Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja katika kila miaka 823.

Hii inamaanisha nini kwa wagombea wetu mwaka huu? Je umegundua kuwa hata wagombea wake ni waajabu? Hebu angalia mlolongo huu:

1. Profesa Lipumba

2. Dr Kikwete

3. Dr Slaa

4. Dr Hashim

Mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea wa urais.

Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?

Did u' have time to read what u' just wrote?
 
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida?
Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja katika kila miaka 823.

Hii inamaanisha nini kwa wagombea wetu mwaka huu? Je umegundua kuwa hata wagombea wake ni waajabu? Hebu angalia mlolongo huu:

1. Profesa Lipumba

2. Dr Kikwete

3. Dr Slaa

4. Dr Hashim

Mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea wa urais.

Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?
Ni kweli wagombea wote wapo vizuri kielimu as follows:
Lipumba (PhD)
Slaa (PhD)
Kikwete (BA economics)
Rungwe (PhD)
Duh, sijui Kikwete kaingiaje hapa, mtu hata post graduate diploma tu hakuna? Hivi alitoka na GPA gani pale mlimani? Au hata kumaliza degree ilikuwa ni kwa kubebwa!! I cant imagine kwa mtu uliyetoka vizuri kushindwa kujiendeleza hata kidogo.
Lakini uongozi wake wa miaka mitano unaonyesha wazi kwamba ni kilaza!!
 
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida?
Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja katika kila miaka 823.

Hii inamaanisha nini kwa wagombea wetu mwaka huu? Je umegundua kuwa hata wagombea wake ni waajabu? Hebu angalia mlolongo huu:

1. Profesa Lipumba

2. Dr Kikwete

3. Dr Slaa

4. Dr Hashim

Mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea wa urais.

Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?


這張名單有三個知識分子和一個人。 Kikwete不是其中一個知識分子。
 
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida?
Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja katika kila miaka 823.

Hii inamaanisha nini kwa wagombea wetu mwaka huu? Je umegundua kuwa hata wagombea wake ni waajabu? Hebu angalia mlolongo huu:

1. Profesa Lipumba

2. Dr Kikwete

3. Dr Slaa

4. Dr Hashim

Mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea wa urais.

Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?

wewe umetumwa na shekhe yahaya?
 
JK hajawahi kuwa Dr na siamini kuwa anaweza kuwa. Inachukua miaka 2 kupata Masters, 5-6 kupata PhD. Hizi za mezani wenzake huwa wanakaa kimya..mfano ni Benjamini W. Mkapa. Hajawi kusema ni Dr pamoja na kwamba ana Masters na aliwahi kupewa PhD ya Sokoni aaa sorry ya mezani
 
Ni kweli wagombea wote wapo vizuri kielimu as follows:
Lipumba (PhD)
Slaa (PhD)
Kikwete (BA economics)
Rungwe (PhD)
Duh, sijui Kikwete kaingiaje hapa, mtu hata post graduate diploma tu hakuna? Hivi alitoka na GPA gani pale mlimani? Au hata kumaliza degree ilikuwa ni kwa kubebwa!! I cant imagine kwa mtu uliyetoka vizuri kushindwa kujiendeleza hata kidogo.
Lakini uongozi wake wa miaka mitano unaonyesha wazi kwamba ni kilaza!!

hahaha, Mh Usiulize alitoka na GPA ngapi si ana degree inatosha!
 
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida?
Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja katika kila miaka 823.

Hii inamaanisha nini kwa wagombea wetu mwaka huu? Je umegundua kuwa hata wagombea wake ni waajabu? Hebu angalia mlolongo huu:

1. Profesa Lipumba

2. Dr Kikwete

3. Dr Slaa

4. Dr Hashim

Mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea wa urais.

Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?

Embu acha kampeni za ajabu, eti mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea urais
Hiv huko serious kabisa kutuaminisha KIKWETE ni DKT kawaambie wazee huko mpitimbi na kishumundu kuwa JK ni DKT labda watakuelewa
eti mchagueni JK maana ana uzoefu wa miaka mitano! daaaah kweli ushabiki huu utatupeleka pabaya, kama uzoefu ktk urais ni muhimu sidhani kama tungeweka sheria ya rais asiongoze kwa zaidi ya miaka miwili maana hapo uzoefu ndio ungekuwa mkubwa zaidi

Eti kijana aliyelelewa na mwalimu Nyerere kama nayo hiyo ni sifa basi tungempa MAKONGORO NYERERE Urais maana yeye kazaliwa na kulelewa na mwalimu. kama huna taarifa Nyerere aliwakataa JK na EL mwaka 1995 tatizo lenu mlitaka mwalimu aseme simtaki JK na EL ndio mjue amewakataa Wanafilosofia awakatai watu kwa staili hiyo JK alishaonekana ni tatizo. Mwl alisema tunachagua Rais hatuchagui sura, kama mmeipenda sura yake basi nendeni mkanywe nae chai lakini si kumpa Urais. jiulize mwaka 1995 nani alikuwa handsome zaidi ya JK? hata 2005 ktk kampeni za JK walikuwa wakimnadi kuwa ni HANDSOME kuliko MBOWE na LIPUMBA uongo?

mwaka 2010 HATUDANDANYIKI
 
Ni kweli wagombea wote wapo vizuri kielimu as follows:
Lipumba (PhD)
Slaa (PhD)
Kikwete (BA economics)
Rungwe (PhD)
Duh, sijui Kikwete kaingiaje hapa, mtu hata post graduate diploma tu hakuna? Hivi alitoka na GPA gani pale mlimani? Au hata kumaliza degree ilikuwa ni kwa kubebwa!! I cant imagine kwa mtu uliyetoka vizuri kushindwa kujiendeleza hata kidogo.
Lakini uongozi wake wa miaka mitano unaonyesha wazi kwamba ni kilaza!!


Tusizungushane sana jukwaani SEIF SHARIF HAMAD alishasema waliofanya kweli MLIMANI miaka ya 1972 hadi 1975 wanajuana allijitaja yeye na Jenerali Twaha Ulimwengu wengine kwa mnaokumbuka vizuri waongezeni

Lakini JK alipata ile inayoitwa nini vile hile ya kunyooshea nguo ile hivi inaitwaje ................ (mi simo)
 
Hatudanganyiki kihivyo!

Kama ni uzoefu, kwanini mwaka 2005 hamkusema ana uzoefu wa kuwa Raisi?
Wapo akina Kagame wa hapa Tz, watatoka msituni (kwenye mapambano) na kwenda ikulu na nchi itakuwa NCHI.

Tuachane na ujinga plus upofu, natamani kama kuna wana Jf toka TARIME waweke hoja zao hapa.
 
Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?


Kama Jk Angelikuwa ameyapata vizuri malezi ya Nyerere asingelikuwa fisadi nambari one
 
Je wajua kuwa Uchaguzu mwaka huu umepangwa katika mwezi usio wa kawaida?
Katika mwezi huu wa OKTOBA una IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5, zote zipo katika mwezi mmoja. Hii hutokea mara moja katika kila miaka 823.

Hii inamaanisha nini kwa wagombea wetu mwaka huu? Je umegundua kuwa hata wagombea wake ni waajabu? Hebu angalia mlolongo huu:

1. Profesa Lipumba

2. Dr Kikwete

3. Dr Slaa

4. Dr Hashim

Mlolongo wa elimu kama huu haujawahi kutokea huko nyuma kwa wagombea wa urais.

Sasa ni nani wa kuchaguliwa hapo? Jibu, Ahh kwanini usimuache Rais aliyekwisha kuwa na uzoefu wa kuiendesha nchi kwa miaka mitano. Suala si tu uzoefu bali vile vile ni kumalizia program zake ili watanzania tuondokane na umasikini once and for all.

Isitoshe ni kijana aliyelelewa na Mwl Nyerere, hivyo kama tunahitaji kumuenzi mwl kama tunavyoeleza humu JF (14/10) BASI TUMCHAGUE KIKWETE. Au mnaonaje wenzangu?

Zawadi Ngoda
Kama reasoning yako ina base kwa ulicho andika hapo juu in RED, then SI KWELI UKO VERY WRONG, kwa kuanza tu, angalia January 2010 na July 2011, kuna ijumaa, jumamosi na jumapili tano , je ni miaka 823 tangu October 2010 na miezi hiyo??
Kumalizia zaidi ni elimu gani hiyo ya DR ,inawezekana kabisa katika list hiyo akawa yuko chini kabisa manake yake ya mezani, au siyo mgosi/mndele?

Next time please check your facts before posting!
 
Hivi ZAWADI unaupeo kweli wa kufikiri wewe?
kuhusu mwezi OKTOBA kaangalie tena kalenda yako vizuri hiyo miiezi ipo mingi tu! ata mwaka huu ipo,

Kuhusu usomi? sasa huyo Kikwete wako anausoimi gani zaidi ya Bachelor ya uchumi tena na wasiasi uchumi wenyewe ni ule wa SOCIAL SCIENCE na sio ule wa SCIENCE.

Kuhusu chaguo la NYERERE, kweli upeo wako mdogo um esha sahau NYERERE alisema nini kuhusu hawa watu? KWELI KSABISA UMESAHAU AU UNATAKA KUPOTOSHA?
 
Ni wa ajabu bse vyama vya upinzani ndo viatachukua nchi
 
Back
Top Bottom