Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

comrade hii image hata mimi pamoja na unyang'au wangu,inaniogopesha.pure reptilian shit right there.

yule mkenya ana kila sababu ya kuogopa kukutazama usoni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa nani anapenda kuangalia shetani, huyu jamaa anaeza kua ni mla watu
 
Unataka zipostiwe hapa ili iweje? Tafuta hizo vifaa vya Bamba Tv na Wananchi group (Zuku TV) online. Acha kusumbua watu na mambo zisizo na tija.
Hahahhahahahahah 😱😀😀😀😀😀😀 Kukubali unakubali ila moyo unakataa
 
i took these photos today at azam tv uhai studio while i was there for a business meeting with one of the program directors.i felt like i was at a CNN headquarter.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
i took these photos today at azam tv uhai studio while i was there for a business meeting with one of the program directors.i felt like i was at a CNN headquarter.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanataka kucheza na azam tv heheheeheheheh watu wanaonesha football games wakitumia mitambo yao unafkiri mchezo
 
Nimeskia raila kapita kwenye muungano cha nasa safarii hii uhuru kenyatta kazi anayo na safari hii akianzisha vita anahusika the hegue vizuri kabisa
 
Unataka zipostiwe hapa ili iweje? Tafuta hizo vifaa vya Bamba Tv na Wananchi group (Zuku TV) online. Acha kusumbua watu na mambo zisizo na tija.
wewe "nilishakunyorosha" hapo chini ulipokuja na hoja yako ya kijinga kuhusu media za tz.

naona bado unajitutumua tena.safari nyingine ukija na hoja negative kuhusu tz make sure uwe umeifanyia utafiti wa kutosha ili kuepuka aibu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
[emoji23] hahaha. Hizi propaganda za wazungu kwenye movie tu ndugu usiogope. Hata hivyo ndiyo sura yangu hiyo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
naelewa nakuzingua tu kuchangamsha thread.
 
Duh!
 
Nimeskia raila kapita kwenye muungano cha nasa safarii hii uhuru kenyatta kazi anayo na safari hii akianzisha vita anahusika the hegue vizuri kabisa
tuwaombee amani hawa ni jirani zetu.wakianzisha vita,tz itakuwa na mzigo mkubwa wa kupokea wakimbizi toka kenya.
 
tuwaombee amani hawa ni jirani zetu.wakianzisha vita,tz itakuwa na mzigo mkubwa wa kupokea wakimbizi toka kenya.
Sana tena ndio safari hiii akianzisha vita ajue kaegemea mlango wa the hegue
 

Ulianzisha hii thread ambayo hata watz wenzako walisema hauna tija....wewe mwenyewe...

What is so special kadoda11 ?
Big deal? It's the first time ever a Tanzanian media house has posted a journalist to cover an event in another country!
Kisha nikatoa maoni haya.......(na sio mimi pekee yangu)
Kwa aibu, ukaja mbio mbio kujitetea na kutengeza mambo na habari hizi....

Mimi ni kitu gani hapo nilisema kudhalilisha seckta ya habari Tz? Wewe ndiye uliyefanya hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…