Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
development ipi tanzania..wewe usifikiri sisi wajinga...hakuna development tz...yaani mkenya wa kibera anakulisha na kukulipia rent hehe...Tunaweza kua 2017 lakini nani yuko speed kwenye developments hapo ndio tukapishana sasaππππππ
Swali umelielewa lakini ?????????au unavamia tu οΏΌοΏΌππππComparing Azam tv to ktn ntv citizen k24 is naive. Azam tv is pay tv service provider providing multiple channels like Zuku, dstv. ktn ntv citizen k24 are not pay tv service and provide a single or two channels at most.
Hehheheeheheheh hakuna enhhhhhhhhh vzr sana πππππππdevelopment ipi tanzania..wewe usifikiri sisi wajinga...hakuna development tz...
utaelewa kiingereza kweli? heheSwali umelielewa lakini ?????????au unavamia tu οΏΌοΏΌππππ
Sure. Shida ya watu walio na elimu ndogo kama @Kaduda.Comparing Azam tv to ktn ntv citizen k24 is naive. Azam tv is pay tv service provider providing multiple channels like Zuku, dstv. ktn ntv citizen k24 are not pay tv service and provide a single or two channels at most.
Ahahhahahhhahhaha kibera ni makazi sasa inapoongelewa mambo ya city lazma ihusike we VP hahhahahhahahahahoooh vile nyinyi huwa mnabadili njia mnaanza kuimba sifa za Kibera...hehehehehe
watu wanaoishi kwa uchwawi na uganga...hehe mtakuwa na development ipi?Hehheheeheheheh hakuna enhhhhhhhhh vzr sana πππππππ
kumbuka azam tv ina miaka mitano tu ktk game(imeanza 2013) wakati itv imeanza tangu 1994 kama sijakosea.itv wana ripota huko somebody Mwangi hao azam kwa itv wanangoja sana itv ina reporters all over East Africa Kenya,Uganda,Rwanda,Burundi,DRC kote itv anao Waandishi sasa ndugu mleta uzi hilo kwako ukaona ni habari kutuletea humu.Itv wana weaknesses zao lukuki lakini kwa habari bado tv inayopose stiffer competition kwake haijaja!
Budaa naona Leo povu sana hahahahππππutaelewa kiingereza kweli? hehe
Haya hongera ila kwa kweli basi mlikua nyuma sana, muda wote huu nilikua najua vyombo vyenu vya habari huwa vina wanahabari wanaotoka nje kukusanya taarifa. Yaani hata kwenye nchi za jirani zenu hamkua na wanahabari wanaofika.
Ama kwa kweli nini huwa kinawachelewesha Watanzania, huwa mnalaumu vitu vingi ikiwemo Mjerumani aliyewakoloni, mara ujamaa wa Nyerere, mara vita vya Kagera na mambo mengine mengi. Miaka 50 ya uhuru baadaye ndio mnaanza kuchomoza kichwa hadi hata kumtoa mwanahabari nje ya nchi inakua sherehe....hehehehe jameni.
Inafaa muanze kujiamini na kujitia jeuri, mtoke jameni ili kupanua uwezo wa kufikiri na kuona mengine zaidi ya Dar.
Sisi Wakenya tunakatiza Afrika yote utadhani shamba la bibi yetu. Kama ni suala la wanahabari kutoka ndio usipime, fuata makala ya "Daring Abroad - By Alex Chamwada", jinsi amezunguka dunia akikusanya taarifa za Wakenya ambao wanafanya yao nje ya nchi na kutuma hela nyumbani.
hehe sawa kale albino basi...nyama ile imebaki sufuriani...lol!Ahahhahahhhahhaha kibera ni makazi sasa inapoongelewa mambo ya city lazma ihusike we VP hahhahahhahahahah
bwaahahahahaha... hapa umenimaliza. rusungu sio mdomo chakeutaelewa kiingereza kweli? hehe
naweza nikaku translate hiyo...nawaelewa elimu ndogo kule mashambani...hehe..nina rho ya kusaidia maskiniBudaa naona Leo povu sana hahahahππππ
Leo umetoa sana povu Broo kapumzike please yasije kua mengine pumzika ππππππwatu wanaoishi kwa uchwawi na uganga...hehe mtakuwa na development ipi?
sio domo chake kwel kwel...hehe..huyu mpeleke pole pole...kiingereza kigumu kwakebwaahahahahaha... hapa umenimaliza. rusungu sio mdomo chake
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Lewis254 naona unahangaika kurusha ngumi hewani peke yako.wanzako wote wamekukimbia.
ngoja nikupe assignment ndogo.najua wewe ni jasiri,hutoshindwa.
kuna TV station hapo kenya ina own DIGISUPER LENS?.leta picha kama ipo, kama hamna wewe ni kilaza.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
najua hujui kitu kuhusu DIGISUPER SUPER LENS,acha nikurahisishie mazingira rafiki ya ku-google.[emoji673] [emoji673] [emoji673] What is a Canon Digisuper lens and why is it $200,000+?
Sure. Shida ya watu walio na elimu ndogo kama @Kaduda.
Sikatai mkuu azam wanakuja vizuri ila kwa mtazamo wangu bado itv inakimbiza kwenye news programing hata scope yao ya coverage iko so wide na unaondoka ukiwa umeshiba,azam nawakubali kwenye sports ila news (local) bulletins ITV anawavusha,ni kweli ukongwe dawa,azam akazane zaidi kwa spidi hii karibu atamkutakumbuka azam tv ina miaka mitano tu ktk game(imeanza 2013) wakati itv imeanza tangu 1994 kama sijakosea.
hujiulizi licha ya uchanga wake,kwanini hii azam TV imekuwa gumzo kubwa EA?.kwanini isijadiliwe hiyo itv ambayo ina miaka zaidi ya 20 ktk game?c'mon bro.
enda wewe ukombolewe. Tz kams hamutawai jua kiingereza basi hatuna budi kuivamis nchi yenu tuwacolonise kwa mara ya pili.Wewe ni mmoja ambae hautakuja kukombolewa kwa maisha yako binafsi, pole sana sisi tunaringia lugha yetu ya Kiswahili ambacho serikali yenu inachukua walim kila siku toka TZ. kwani kujua English ndo ufaham wa mambo? Iangalie dunia(waza nje ya box japo kidogo).
Ujinga umekuzidi badilikeni
uko hapo bado...hehe yaani unafurahisha...hya subiri nakuletea picha[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]