Lewis254 naona unahangaika kurusha ngumi hewani peke yako.wanzako wote wamekukimbia.
ngoja nikupe assignment ndogo.najua wewe ni jasiri,hutoshindwa.
kuna TV station hapo kenya ina own DIGISUPER LENS?.leta picha kama ipo, kama hamna wewe ni kilaza.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
najua hujui kitu kuhusu DIGISUPER SUPER LENS,acha nikurahisishie mazingira rafiki ya ku-google.[emoji673] [emoji673] [emoji673]
What is a Canon Digisuper lens and why is it $200,000+?