Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

Kuna Kitu mwanzo sielewi hapa, Unaringishia nini hasa Kwenye uzi huu? Maybe tukuelewe? Kwamba Tz kuna TV station, Ama kwamba Azam wana Digisuper ambayo Kenya haipo, Ama kwamba, TZ Kuna digital TV, Sijaelewa unataka kuproof nini hasa, ni Channels??
mbona povu?....kuwa mpole.
najua hupendi kuona thread hii ikiendelea ku-trend.

nitakuwa narudi kila mara kuleta updates kuhusu progress ya tv stations za tanzania.na nitakuwa naku-tag ili uzidi kupata hasira.[emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
mbona povu?....kuwa mpole.
najua hupendi kuona thread hii ikiendelea ku-trend.

nitakuwa narudi kila mara kuleta updates kuhusu progress ya tv stations za tanzania.na nitakuwa naku-tag ili uzidi kupata hasira.[emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Si povu Wallahi, nataka tu kujua, nini unaringishia hapa? Sipati! Eleza kwamba ni hiki na hiki unajivunia kwamba ni hatua ya maana kwa TZ kupita Kenya tukwelewe
 
new tv station in town,clouds tv plus.
to be available in azam tv decoder from next month.
3370e6bb9648efffa0edd0c7352ae694.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23]
mtaelewa tu wakenya japo mnavichwa vigumu vya kuelewa.
Jamaa umejaa tu maji kwa kichwa...sasa nini hapo ya kusherekea???
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
aed9ea44c4d4d08d2f844873a53c3552.jpg
bbcd37fc9821300f153c6c98003d1dcf.jpg
 
Nimeona Azam wakiadvertise kwenye TV za Kenya hapa kunaenda aje? Are they coming to Kenya??
mbona wapo for a while now, their penetration is still low though. Ila maana ni kampuni ya waswahili very soon tutawapa skando ili wafungashe virago na kurudi huko tz wakaendeleze huduma mbovu huko[emoji2] [emoji90] [emoji90]
 
mbona wapo for a while now, their penetration is still low though. Ila maana ni kampuni ya waswahili very soon tutawapa skando ili wafungashe virago na kurudi huko tz wakaendeleze huduma mbovu huko[emoji2] [emoji90] [emoji90]

Sijajua kama wapo! Hivi sijawasikia Kenya
 
ni kampuni ya waswahili very soon tutawapa skando ili wafungashe virago na kurudi huko tz huko
wewe endelea kutoa povu,sisi hatujari,tunazidi kusonga mbele.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
d6ae59445c38d2bf4dcb6f120768cb57.jpg
e8b3fb8f7aad1207849a5d8c39fbac8b.jpg
4e4b108df9370961e5f86840088efa06.jpg
 
Nimeona Azam wakiadvertise kwenye TV za Kenya hapa kunaenda aje? Are they coming to Kenya??
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Waambie tuna miss cnn na skynews. Pamoja na TV from Mozambique, Congo DRC, South Sudan, Zambia and Burundi especially national television.
 
Back
Top Bottom