Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

Uchaguzi Kenya: Azam TV yatuma reporter wa kuripoti uchaguzi huo

secta ya habari nchini tanzania inazidi kukua kila siku.

safari hii,kituo kikubwa cha runinga chenye makao yake makuu jijini dar es salaam,kimetuma reporter maaulum wa kuripoti yanayojiri katika uchaguzi nchini kenya.
62d115c103b9a9bde895c2dc16d2f7b8.jpg
d23384fce0614297a6d49cf80936b71e.jpg
66ea8ae35d0cf10029c4fc6dc37d335f.jpg
61e988a9f35a9f556f4e8decfa6863d2.jpg
mtangazaji mahiri wa Azam TV,mwanadada Ivona Kamuntu alipokuwa anafanya mahojiano na watu mbalimbali jijini nairobi mapema leo.

NB:watani zetu najua mtatoa povu maana mlishawahi kulalamika eti watz wanafatilia sana masuala "yenyu".
sisi wala hatujari,HAPA KAZI TU.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hongereni Azam
 
Kenya ni nairobi tu nje ya hapo kwingine kulikobaki mavi matupu mjaluo kule kisumu kisa anajua kiingereza anaona basi keshamaliza kila kitu tulieni hivyo hivyo mjionee mambo na kwa tv stations za maana kenya ni hao akina citizen ktn ntv baas nyingine matakataka tu

My Friend you are sick, come utembee Kenya, Kenya sio Tanzania ambayo ni Mwanza Arusha Dar is Slum, Kenya is a Transitional Economy all parts of Kenya are developed with electricity, piped water and all needed amenities

Just a sneak preview, this is Meru in Kenya
alba1.jpg


53895695.jpg
 
My Friend you are sick, come utembee Kenya, Kenya sio Tanzania ambayo ni Mwanza Arusha Dar is Slum, Kenya is a Transitional Economy all parts of Kenya are developed with electricity, piped water and all needed amenities

Just a sneak preview, this is Meru in Kenya
alba1.jpg


53895695.jpg
wanjala(njala kwa lugha ya kabila langu la wangoni wa tz ni njaa,so wanjala ni mtu mwenyewe njaa),naona unajaribu kupita njia ya mkato ili kukwepa hoja msingi.

picha za majengo au madhari nzuri ya Nairobi zipeleke kwa ile thread maridhawa ya comrade Annael ,utakutana na klkijana wangu matata ichoboy01 na wengine wengi watakujibu kwa kukuwekea majengo na mandhari nzuri ya dar,arusha,mwanza nk.

hapa tunajadili masuala yanayohusiana na electronic media kwa upande wa TV stations za EA.

siku kadhaa zilizopita niliwapa wakenya assignment ndogo inayohusu digisuper lens,mmeshindwa kukamilisha.

nikaongeza tena assignment nyingine ndogo inayohusu advanced outside broadcasting facilities(ob truck and ob luxury buses).nayo pia mmeshindwa.

sasa kama wewe ni Mkenya jasiri,kamilisha kwanza hizo assignment halafu uanze kupost picha za majengo ya nairobi.usipofanya hivo,wewe ni kilaza.[emoji23] [emoji23] [emoji23]

assignment zote zipo attached hapa chini,use it for reference.[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]


i've been informed that there are only two CANON DIGISUPER LENS owned by a local TV station in east Africa.

I repeat "there are only two CANON DIGISUPER LENS owned by a local TV station in east Africa.

one in Uganda which used for Uganda premier league and the other one in Tanzania which is used for VPL (vodacom premier league).
all of these two expensive devices are owned by azam TV.]
I need to see different photos taken in different occasion showing digisuper lens being used in kenya and operated by a kenyan camera operator.

[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] I need to see things like these.this is one among the two digisuper lens owned by azam tv and the guy behind it is a tanzanian.look at how free he is with this toy.Raha sana.
af1005b5fa09afc2ee233d00100d43fa.jpg
7384eafe5dccb08c43db534302b820a9.jpg
10e095755d09a3948b7a32bdad9a20ef.jpg
641420c3869f20832a50a264578551cb.jpg
c6f42619d6bb9154e621f16f8dc61602.jpg
405e1e50b5ae18ea38988ca6ee8438da.jpg
[/QUOTE]



[QUOTE="kadoda11, post: 20926827, member: 34552"]azam TV ndio TV peke east Africa yenye advanced outside broadcasting facilities kubwa kushinda TV zote.

I repeat,azam TV ndio TV peke east Africa yenye advanced outside broadcasting facilities kubwa kushinda TV zote.


modern OB truck (installed with HiTech digital broadcasting facilities)

[IMG]http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/ec5460ce909eaa80c8dc2e9f15fe7fa6.jpg
0afe4226a67eada7e6bfc6b319279957.jpg
2afdcf9cb2a0d5d2ad0e7bd86fa42f67.jpg
4dec9716d54100220f57691c942562e1.jpg
04b568c0c478554ed46a43ec183cf041.jpg
eedfd7c7da5e3a0c84b368ca24d072a8.jpg


luxury OB bus No.1 (installed with HiTech digital broadcasting facilities)
828d6ce4cd890764dad81513564385ae.jpg
dc208d228380659b8cb6b6926b18a645.jpg
e45a1bf59a0c3adc50c72c6f52848e37.jpg
71ff948846e64f6516ad7ca387b0efdd.jpg


luxury OB bus No.2 (installed with HiTech digital broadcasting facilities)
507cb9550a985e4298a9d40e1c3fce7a.jpg
fd82d18f983dfc2a92fbe7300ce7f5fb.jpg
leteni picha za modern OB truck kubwa kama ya azam TV.

leteni picha za luxury ob buses kubwa kama za azam tv.

NB:msiletee picha za ob Van.tunaka picha za ob trucks na luxury ob buses
 
My Friend you are sick, come utembee Kenya, Kenya sio Tanzania ambayo ni Mwanza Arusha Dar is Slum, Kenya is a Transitional Economy all parts of Kenya are developed with electricity, piped water and all needed amenities

Just a sneak preview, this is Meru in Kenya
alba1.jpg


53895695.jpg
Wanjala usibadili mada please😀😀😀😀
Wakati mwengine kwenye ukweli kubali ukweli wanjala😛😛😛😛
Wapi digisuper lens, wapi studio za kupambana na azam, wapi modern media facilities??????
😛😛😛😛😛
 
Wanjala usibadili mada please😀😀😀😀
Wakati mwengine kwenye ukweli kubali ukweli wanjala😛😛😛😛
Wapi digisuper lens, wapi studio za kupambana na azam, wapi modern media facilities??????
😛😛😛😛😛
Swali rahis kwako, je hivi Media yetu ingekuwa ina leta Habari across the globe kama haina vifaa?? Azam kuja tu Kenya ni kitu ajab, Ndio SA mtafika lini?? If you want to know, Watch programs like African Journal, Africa Maharishi on KTN, they report live from all over Africa. Mara Nyingine Fikirieni, Yaani lazima vifaa vifanane?? Mimi sina Picha ya vifaa vyao, lakini Kama huwa wanaleta habari miaka hiyo yote na nyinyi Azam haiwezi ina maana wanazo ajab kuliko hii yenu ya Azam.

Kenya Broadcasts live even from Somalia and Egypt, Can Azam do that???
 
Swali rahis kwako, je hivi Media yetu ingekuwa ina leta Habari across the globe kama haina vifaa?? Azam kuja tu Kenya ni kitu ajab, Ndio SA mtafika lini?? If you want to know, Watch programs like African Journal, Africa Maharishi on KTN, they report live from all over Africa. Mara Nyingine Fikirieni, Yaani lazima vifaa vifanane?? Mimi sina Picha ya vifaa vyao, lakini Kama huwa wanaleta habari miaka hiyo yote na nyinyi Azam haiwezi ina maana wanazo ajab kuliko hii yenu ya Azam.

Kenya Broadcasts live even from Somalia and Egypt, Can Azam do that???

wanjala (mtu mwenye njaa),acha nikufundishe jambo dogo ambalo hulijui ktk media technology.

TV zenyu kuripoti habari live toka nchi zingine sio jambo kubwa la kushangaza kwa mtu ambaye yupo ktk field ya broadcast engineering au kwa mtu mwenye taaluma ndogo ya masuala ya utangazaji.

ni suala la kupokea clean feed tu toka ktk source nyingine na kui-link na na TV channel husika.

azam TV huwa wanapokea live
fresh feed ya league kuu ya mpira wa miguu ya uhisipania(la liga) na kutangaza la liga live games kwa lugha adhimu ya kiswahili.

wakati wewe unajisifu TV zenyu ku-broadcast live toka somalia na Egypt,azam TV ina-broadcast kwa kiswshili la liga live games toka miji ya madrid na Barcelona na miji mingine mashuhuri huko hispania.
[emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23]
7b9c534c219ce6517d098a1e1e107b3b.jpg
872e737e52950c4d4955ed5e8bf2bbce.jpg
9b7df0dc1eb1fda3c8c77a03fd0c287a.jpg


anyway usitupotezee mda,tunataka picha tofauti za digisuper lens ikitumika kenya.

tunaka picha za advanced OB truck za TV za kenya.

tunataka picha za luxury ob buses za TV za kenya.

Tahadhari: usilete picha za ob van.
 
Swali rahis kwako, je hivi Media yetu ingekuwa ina leta Habari across the globe kama haina vifaa?? Azam kuja tu Kenya ni kitu ajab, Ndio SA mtafika lini?? If you want to know, Watch programs like African Journal, Africa Maharishi on KTN, they report live from all over Africa. Mara Nyingine Fikirieni, Yaani lazima vifaa vifanane?? Mimi sina Picha ya vifaa vyao, lakini Kama huwa wanaleta habari miaka hiyo yote na nyinyi Azam haiwezi ina maana wanazo ajab kuliko hii yenu ya Azam.

Kenya Broadcasts live even from Somalia and Egypt, Can Azam do that???
Sio ajabu umeskia lakini tatizo ni kua usikatae kua azam studio ndio the modern studio in east and central Africa na usikatae kua azam media facilities ziko advance kuliko zenu ni hivo tu ndugu wanjala
Alafu wanjala kama ulikua hujui azam na dstv wako katika mvutano england juu ya kuonesha English premium league .. Na azam ndio media ya kwanza Africa kuwania kitu kama hicho dhidi ya dstv hahahhaha so kua mpole😀😀😀
Leta picha ulizoombwa ulete hapa
 
Ivi huo ukabila kenya upoje
Tanzania naweza kwenda Mbeya nikakaa miaka wala siulizwi kabila langu
nilishangaa siku moja MOTOCHINI anasema
Kenya kila Kabila lina Redio yake
hii nikweli?
Zuwenna mm nimependa hapo ulipotaja Mbeya. Km upo Mbeya naomba nikuone
 
Sio ajabu umeskia lakini tatizo ni kua usikatae kua azam studio ndio the modern studio in east and central Africa na usikatae kua azam media facilities ziko advance kuliko zenu ni hivo tu ndugu wanjala
Alafu wanjala kama ulikua hujui azam na dstv wako katika mvutano england juu ya kuonesha English premium league .. Na azam ndio media ya kwanza Africa kuwania kitu kama hicho dhidi ya dstv hahahhaha so kua mpole😀😀😀
Leta picha ulizoombwa ulete hapa
anajisifu ati TV zao zina broadcast live toka somalia na Egypt.

nimemwambia azam tv ina broadcast live la liga games kwa lugha kiswahili toka miji ya Barcelona,madrid na miji mingine mikubwa huko Hispania.

nimemuwekea na uthibitisho wa promos za laliga games zinazotangazwa na azam tv kupitia official page yao ya facebook.

nadhani atakuwa anatafakari sana huko aliko.hii ndio tz ya 2017.hapa kazi tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38]
 
anajisifu ati TV zao zina broadcast live toka somalia na Egypt.

nimemwambia azam tv ina broadcast live la liga games kwa lugha kiswahili toka miji ya Barcelona,madrid na miji mingine mikubwa huko Hispania.

nimemuwekea na uthibitisho wa promos za laliga games zinazotangazwa na azam tv kupitia official page yao ya facebook.

nadhani atakuwa anatafakari sana huko aliko.hii ndio tz ya 2017.hapa kazi tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38]
Vichwa vinawapiga shoti😀😀
 
wanjala (mtu mwenye njaa),acha nikufundishe jambo dogo ambalo hulijui ktk media technology.

TV zenyu kuripoti habari live toka nchi zingine sio jambo kubwa la kushangaza kwa mtu ambaye yupo ktk field ya broadcast engineering au kwa mtu mwenye taaluma ndogo ya masuala ya utangazaji.

ni suala la kupokea clean feed tu toka ktk source nyingine na kui-link na na TV channel husika.

azam TV huwa wanapokea live
fresh feed ya league kuu ya mpira wa miguu ya uhisipania(la liga) na kutangaza la liga live games kwa lugha adhimu ya kiswahili.

wakati wewe unajisifu TV zenyu ku-broadcast live toka somalia na Egypt,azam TV ina-broadcast kwa kiswshili la liga live games toka miji ya madrid na Barcelona na miji mingine mashuhuri huko hispania.
[emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23]
7b9c534c219ce6517d098a1e1e107b3b.jpg
872e737e52950c4d4955ed5e8bf2bbce.jpg
9b7df0dc1eb1fda3c8c77a03fd0c287a.jpg


anyway usitupotezee mda,tunataka picha tofauti za digisuper lens ikitumika kenya.

tunaka picha za advanced OB truck za TV za kenya.

tunataka picha za luxury ob buses za TV za kenya.

Tahadhari: usilete picha za ob van.
Nooooooo mwongo wewe sky sports ndio huwa wanabrodcast most of the European football nyinyi wengine mnanunua
 
Ligi yenu hapo tu wenyewe mmeshindwa ku broadcast hadi kaburu awapige taf huku huyo kaburu kapigwa za uso azam mwenyewe anarusha kitu live na kwa quality ya maana
 
My Friend you are sick, come utembee Kenya, Kenya sio Tanzania ambayo ni Mwanza Arusha Dar is Slum, Kenya is a Transitional Economy all parts of Kenya are developed with electricity, piped water and all needed amenities

Just a sneak preview, this is Meru in Kenya
alba1.jpg


53895695.jpg
Hahaha halaf usidhan watu hawajazunguka huko ukiachana na hivo vi hotel miji mingi huko nje ya nairobi mapori tu na mashamba vi mji vimejaa majengo yamechoooka
 
Nooooooo mwongo wewe sky sports ndio huwa wanabrodcast most of the European football nyinyi wengine mnanunua
hivi umeelewa nililicho kizungumza hapo juu?,au umekurupuka kutoa comment kama kawaida yenu wakenya?.


rudia tena kusoma vizuri comment yangu.nina hakika hujaielewa.umekurupuka kijana .

NB:
leteni picha za digisuper lens ikiwa inatumika katika broadcasting environment ya Kenya.(kumbuka nimekuwa nikiwadai hii kitu kwa wiki moja sasa).

leteni picha za advanced ob truck ya TV za kenya.azam tv wanayo moja kubwa sana.

Leteni picha za luxury ob buses za TV station za kenya.azam tv wanazo mbili, ziko poa sana.

Bonus:
azam TV kwa tz(inawezekana kwa EA yote) ndio TV station peke yenye haki ya ku- broadcast live la liga matches kwa lugha ya kiswahili.
 
hivi umeelewa nililicho kizungumza hapo juu?,au umekurupuka kutoa comment kama kawaida yenu wakenya?.


rudia tena kusoma vizuri comment yangu.nina hakika hujaielewa.umekurupuka kijana .

NB:
leteni picha za digisuper lens ikiwa inatumika katika broadcasting environment ya Kenya.(kumbuka nimekuwa nikiwadai hii kitu kwa wiki moja sasa).

leteni picha za advanced ob truck ya TV za kenya.azam tv wanayo moja kubwa sana.

Leteni picha za luxury ob buses za TV station za kenya.azam tv wanazo mbili, ziko poa sana.

Bonus:
azam TV kwa tz(inawezekana kwa EA yote) ndio TV station peke yenye haki ya ku- broadcast live la liga matches kwa lugha ya kiswahili.
Amevamia chaka kama yule mwenzake kalikumbatia Bomu sasa linamuendesha mbio😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Amevamia chaka kama yule mwenzake kalikumbatia Bomu sasa linamuendesha mbio😀😀😀😀😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Enyewe hapa ni delusional Danganyikans only!! Kericho pekee ilitoa Mwanza, Dodoma, Tanga combined kwenye ligi!
 
Enyewe hapa ni delusional Danganyikans only!! Kericho pekee ilitoa Mwanza, Dodoma, Tanga combined kwenye ligi!
wanjala (mtu mwenye njaa),
umekurupuka buda,nadhani umepost comment yako ktk wrong thread.
kericho,mwanza na dodoma inaingiaje ktk hii thread?.

unahitaji kupata mda wa wiki tatu au zaidi wa kupumzisha akili yako kwa kukaa kando na JF.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Annael na ichoboy01 mpeni ushauri huyu jamaa,anaelekea kuchanganyikiwa.
 
Back
Top Bottom