Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Tanzania inafuatilia kwa karibu sana mwenendo wa matukio yote katika uchaguzi wa nchini Marekani ili kuhakikisha kuwa haki inatendeka na uchaguzi huo unakuwa wa ni huru na wa haki.
Tanzania haitavumilia vitendo vya uvunjifu wa haki na amani nchini humo.
Vyama vyote vipewe haki sawa.
Imetolewa na Jidduuzzz
Tanzania haitavumilia vitendo vya uvunjifu wa haki na amani nchini humo.
Vyama vyote vipewe haki sawa.
Imetolewa na Jidduuzzz