wajamaa uchaguzi wao unachukua wiki wiki mbili.. nafuatilia kwa ukaribu uchaguzi wa Arizona na Nevada,yani ni vichekesho. Kuna state senator mmoja huku Pennsylvania amechaguliwa lakini amekufa mwezi uliopita. ila laiti ingekuwa ni nchi ya Afrika imechelewesha matokeo hata kwa siku moja sipati picha π
π
π