ben genious
Senior Member
- Jun 4, 2011
- 176
- 23
chama kutegeme wazee kama mtaji wa kisiasa ni dalili ya kifo kibaya sana zaid hata cha mende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upigaji kura unaendelea huko Igunga. Watu wengi wamejitokeza na kura zinaendelea katika hali ya amani na utulivu.
Waliojitokeza kwa wingi ni wazee na kina mama.
mimi naamini katika ukweli. Kama kweli watu walijitokeza wengi kupiga kura mpaka hivi sasa ni akina mama na wazee basi ccm itashinda uchaguzi. Akina mama na wazee bado ni kundi la watu linaloridhika sana na hali walionayo.
Hata wakiwa na matatizo, watalalamika lakini hawatachukuwa uamuzi wa kufanya mabadiliko. Na ccm inalijua sana hilo.
Itv wanaripoti kuwa kunamtu kakamatwa ana shahada ambazo si zake, pia wao watu wamekamatwa wakiwa nakadi feki, zingine si zao na wengine wana kopi za shahada. Pia kuna vituo feki (hewa) vimeripotiwa.
Kazi hiyo waandishi wanafuatilia.
14.16pm - ITV/Radio One wameripoti kuwa kuna watu wamekamatwa kwenye kituo wakiwa na shahada halisi za watu wengine pamoja na photocopies. Inasuburiwa neno la polisi katika mkutano na waandishi baada ya muda.
chama kutegeme wazee kama mtaji wa kisiasa ni dalili ya kifo kibaya sana zaid hata cha mende
Inaonekana hali si nzuri kwa CCM, maana hata wale makuwadi wa Mafisadi humu JF wamekimbia gafla!
Vijana waliojitokeza kupiga kura ni KIDOGO sana.
Msimamizi anakana kuwepo na kituo hewa cha kupigia kura japo kimetajwa na wanadai viko vingi pembeni ya mji.haya twende.
haina maana kama watadumisha ulinzi halafu kura hawapigi, ulitakiwa uwasisitizie kwanza kupiga kuraVijana wa cdm wanajitahidi kudumisha ulinzi wa kura.kazi nzuri.
Kwa nini watu wa ccm wajivunie uwingi wa akina mama na wazee, na wapinzani wajivunie uwingi wa vijana. Vyama vyote vina jumuia za makundi yote. Na wapinzani hufanya kosa kwa kutokuwafikia akina mama. Watu wote ni wa vyama vyote. Endeleeni kutuupdate.