Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Kumbe ndio maana wametumia nguvu kubwa hivyo!!News Alert: Kikwete eyes Kafumu as Ngeleja's successor.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndio maana wametumia nguvu kubwa hivyo!!News Alert: Kikwete eyes Kafumu as Ngeleja's successor.
Kwa hiyo leo mmekubali kupoteza, sasa tugange yajayo.
Lakini ukishapiga si vibaya ukisema uliyempigia...huyo hajui nini maana ya kura. Kura ni siri.
Oooonh my God kwanini tena vijana hawajajitokeza igunga??? Mungu ibariki chadema jamani.
View attachment 38224
Mzee Mkapa.
Kwa nini anaangaika na siasa mpaka leo huku akitembelea kwa fimbo?.
Maana ya kustaafu nini sasa?
kuchakachua nako kunachukua muda gani?Ni leo jioni mkuu kabla hata ya 9:00 news, kujumlisha matokeo ya jumla ya vituo 400 ni kazi ya 15minutes.
Tatizo ni kuwa vijana wengi waliohudhuria mikutano ya vyama vya siasa Igunga walikuwa mamluki wakitokea mikoani kama Shinyanga, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam.
View attachment 38224
Mzee Mkapa.
Kwa nini anaangaika na siasa mpaka leo huku akitembelea kwa fimbo?.
Maana ya kustaafu nini sasa?
View attachment 38224
Mzee Mkapa.
Kwa nini anaangaika na siasa mpaka leo huku akitembelea kwa fimbo?.
Maana ya kustaafu nini sasa?
Kwa sababu hataki nchi iangukie mikononi mwa manyang'au.