Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
kutoka kwa Wa Jikoni:

  1. Aliyekuwa mgombea wa Udiwani kwa tikiti ya CCM katika uchaguzi wa mwaka 2010, kwa jina Mama Ngesi, nyumbani kwake kumekuwa kukifanyika mchezo wa kupiga kura za maruhani, na Wa Jikoni anasema jumla ya kura 4000 zimekamatwa.
  2. Idadi hiyo hiyo ya kura 4000 imekamatwa huko mitaa ya kijijini na vijana wako macho kuhakikisha kuwa uchakachuaji haufanikiwi. Hii ni kwa mujibu wa mwandishi wa habari aliyerusha sms kwa mwandishi mwenzake aliyekuwa kituo cha Stoo ambako Wa Jikoni aka Nkwingwa amepigia kura.
  3. Kwa mujibu wa Wa Jikoni, uchakachuaji ni marufuku na vijana wapo tayari kuwashughulikia wale wote watakaothubutu kufanya hivyo kwa gharama yoyote ile.
  4. Propaganda kwamba wazee na wamama ndiyo wamepiga kura, kwa mujibu wa Wa Jikoni haina mashiko kwa kuwa, kwa macho yake, licha ya kukiri kuwa asubuhi kweli kina mama walikuwa wengi, ukweli ni kwamba kadiri kulivokuwa kunapambazuka, vijana wengi wamepiga kura, na hiyo propaganda haitasaidia kitu kwani hata Wana-Igunga wameisikia na wanaifanyia kazi.
  5. (nilitaka kusahau). Wa Jikoni anasema kuwa kuna watu wa magamba wamedakwa na laki 7 vituo vya vijijini wakigawa mpunga kama wanavogawa uroda.


Chai kidogo:
Mama Ngesi alishindwa udiwani na "jembe" la CDM mwaka 2010, na jembe hili lilipoonesha tu nia ya kupambana na huyu maza, kwa mujibu wa Wa Jikoni, jembe hili lilichomewa nyumba yake, Hakusema kama jembe hili linaishi pangoni ama kwenye hema, ILA amesema vijana wamejipanga kuitia kiberiti nyumba ya Mama Ngesi kama uchakachuaji wa magamba utafanikiwa leo hii.

Mwisho:
Wa Jikoni anasema hali ni shwari. Ushindi wa Chadema unasubiriwa kwa hamu kubwa.
 
Wanahesabu kura saa 17 hii? Basi ikifika saa 19 tushapata mwanga.
 
Kuna taarifa toka redio kuwa kuna mfuasi mmoja wa watawala wetu amekatwa kwa kutumia jina la mtu ambaye ni marehemu
 
Mbowe anasema kila tukio la uhalifu linahusu ccm tuliloliripoti kwa polisi halikushughulikiwa ipasavyo. Na jana vijana wetu wamewathibiti sana ccm katika kugawana hela.
 
There are currently 1222 users browsing this thread. (269 members and 953 guests)

This is a very hot topic
 
Katika matokeo katika vituo vya igunga mjini cdm na ccm wanakabana koo, cuf wanajikongoja. Source: itv
 
CDM mpaka sasa Wanaongoza vituo kama vitano... Imewakilishwa na Mtanguzi ITV...just now waliondika number please wekeni
 
Cdm ikishindwa Livingstone Lusinde anywe sumu kama alivyo ahidi. akigoma akamatwe na kunyeshwa kwa nguvu, ili iwe funzo kwa walopokaji wengine ndani ya zzm hii kauli ili tukela wapenda maendelo.
 
Katika kituo kimojawapo wapiga kura wamepata kilo moja ya nyama kila mpiga kura....itv.
 
Narudia kusema uchaguzi sio siku ya kupiga kura na ukasema utalinda kura.
Uchaguzi unaanzia mbali sana kwenye kujiandikisha, kununua shahada za wapinzani kukwamisha watu kupiga kura kupitia form namba 17.
Kawa jinsi uchaguzi ulivyo najua watu wangi wataumia sana na hawa Magamba watashida, upinzani bado wanazidiwa mbinu na Magamba wameruhusu CDM walete watu wao kulinda kura wakati wao wanafanya mbinu na NEC huo ni mtazamo wangu, Form na 17 imepoteza kura nyingi sana za upinzani
 
Seeing and hear all, my initial summation goes like this:

Democracy is not "a game" of winning at all costs. ccm really are setting a regrettable precedence in using not only excessive powers but more harmfully the dividing politics of the nation's lifehood.

Heavy-handed politics, bribery, vote rigging etc may (very leastly) have them (ccm) retain Igunga constituency (just). More still, they're potentially could lose it to CDM. But the problem is more to the future if that is really how best Tz can be governed? In tantamount times like these the new Katiba issue is ringing even louder to me.

By way of current trend no new Katiba b4 2015 could b realized. ccm wouldn't voluntarily ("commit suicide by") allowing it, their survival wholly and solely depends on current Katiba. So friends, we should continue to aim high and being inspired by a bigger picture of better Tz. Thus let's us collectively demand and obtain it within 2-3 years time otherwise this country would be in ashes soon.
 
Gamba jipya,wewe ndiye Yahya mtangazaji wa star tv unayeena habari za uwongo kwenye mtandao??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom