figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Dr. Slaa anaongea Channel 10:
Anasema watu Igunga wamejitokeza wachache, form namba 17 hazipo na zilizopo hazitumiwi ipaswavyo.
Kasema kuna vurugu zimetokea Tarime na mabomu yamepigwa na DC kaingilia uchaguzi, vurugu nyingine zimetokea Shinyanga kata ya Ndara na huko Njombe.
Kuhusu kukamatwa kwa gari la mbunge likiwa na mil 20 - ni kweli na mbunge wa CCM kaenda kutoa taarifa polisi eti kaibiwa gari na mil 20.
Hivyo wale vijana waliowakamata wafuasi wa CCM na mbunge wao wakigawana hela wamewekwa selo!
Anasema watu Igunga wamejitokeza wachache, form namba 17 hazipo na zilizopo hazitumiwi ipaswavyo.
Kasema kuna vurugu zimetokea Tarime na mabomu yamepigwa na DC kaingilia uchaguzi, vurugu nyingine zimetokea Shinyanga kata ya Ndara na huko Njombe.
Kuhusu kukamatwa kwa gari la mbunge likiwa na mil 20 - ni kweli na mbunge wa CCM kaenda kutoa taarifa polisi eti kaibiwa gari na mil 20.
Hivyo wale vijana waliowakamata wafuasi wa CCM na mbunge wao wakigawana hela wamewekwa selo!