Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
Dr. Slaa anaongea Channel 10:

Anasema watu Igunga wamejitokeza wachache, form namba 17 hazipo na zilizopo hazitumiwi ipaswavyo.

Kasema kuna vurugu zimetokea Tarime na mabomu yamepigwa na DC kaingilia uchaguzi, vurugu nyingine zimetokea Shinyanga kata ya Ndara na huko Njombe.

Kuhusu kukamatwa kwa gari la mbunge likiwa na mil 20 - ni kweli na mbunge wa CCM kaenda kutoa taarifa polisi eti kaibiwa gari na mil 20.

Hivyo wale vijana waliowakamata wafuasi wa CCM na mbunge wao wakigawana hela wamewekwa selo!
 
Upigaji kura umeisha, kazi iliyobaki ni ya kulinda kura. Wa Jikoni wangu kaniambia vijana wamekaa mita 200 toka vituoni kwa ajili ya kulinda kura. Hawarudi nyumbani kama walivyokuwa wanafanya zamani. Pia ameona bar maids wakiwa na wino vidoleni kuonyesha wamepiga kura, propaganda za vijana hawajajitokeza ni kujifariji kwa magamba.

mungu akupe maisha marefu.Endelea kutujuza kila ukipbta updates nzuri kama hizi
 
Mwigulu Nchemba anasema ktk kata ya Nhongo kuna mwanamke kapewa karatasi ya kura huku ikiwa imetikiwa sehemu ya mgombea wa chadema je hii ni kweli????

Source: Channel 10
 
There are currently 1164 users browsing this thread. (265 members and 899 guests)

Once again, JF is proving to be main source of up to date news, I'm proud to be part of this!
 
Meneja wa kampeni wa CCM (Mwigulu) anasema ameshitushwa na habari kwamba kuna mama kapewa karatasi imeshawekewa tiki kwenye mgombea wa CHADEMA. Na habari hiyo wamepeleka katika tume ya uchaguzi na msimamizi wa uchaguzi kahojiwa.

Kuhusu hela zilizokuwa zinagawiwa na mbunge wao si rushwa bali ni hela walizokuwa wanagawa kwa mawakala wake.
 
Mwigulu anaihutumu chadema na anataja vijiji ambavyo Chadema wamenunua pombe instead ya kujibu tuhuma za kukutwa na hela anaendelea kudai walikimbia coz Chadema ni watu wa vurugu
 
Ukitizama vyombo vya nje huwa vinadai Afrika ni vita kila siku kila sehemu na kila mtu lakini kumbe hata wao wanaendesha, wanaanzisha na kuratibu vita maeneo mbalimbali lakini wao huwa wanaishia kuona vita ya Afrika tu

Mheshimiwa na ww huna tofauti na vyombo hivyo vya nje juu ya Afrika,POLE!POLE SANA.
 
Magwanda bana eti magamba hoi baada ya matokeo ya aibu mtapotea.
 
nchemba anasema ktk kata ya Nhongo kuna mwanamke kapewa karatasi ya kura huku ikiwa imetikiwa sehemu ya mgombea wa chadema je hii ni kweli???? Source Chanel 10

anasema kuna mwanachama wao amekatwa kichwa, wengine wamekatwakatwa mapanga, jamani haya matukio makubwa waandishi wa habari wote waliokua wanaripoti live ndokusema hawajayasikia isipokua yeye??? huyu jamaa mbona anataka mimi nipigwe ban humu.
 
Mkuu mbona tv zinasema kura hazijaanza kuhesabiwa?
 
Mwigulu anaihutumu chadema na anataja vijiji ambavyo Chadema wamenunua pombe instead ya kujibu tuhuma za kukutwa na hela anaendelea kudai walikimbia coz Chadema ni watu wa vurugu
Kama hizo hela zilikuwa ni za halali kwa nini wakimbie? na kama zilikuwa za mawakala siwangeonyesha majina na kiasi chao pamoja na saini zao? uwongo mtupu wa nchemba wamebanwa hao hawana pa kutokea.
 
Mwigulu Nchemba anasema ktk kata ya Nhongo kuna mwanamke kapewa karatasi ya kura huku ikiwa imetikiwa sehemu ya mgombea wa chadema je hii ni kweli????

Source: Channel 10

nikumbusheni, hivi huyu ndo yule wakuiba mke wa mtu?? au namsingizia, kaniudhi kama nini.
 
anasema kuna mwanachama wao amekatwa kichwa, wengine wamekatwakatwa mapanga, jamani haya matukio makubwa waandishi wa habari wote waliokua wanaripoti live ndokusema hawajayasikia isipokua yeye??? huyu jamaa mbona anataka mimi nipigwe ban humu.

mwigulu anataka kuwahamisha watu wasijadili lile gari lenye million 20. vilevile kama wamekatwa hiyo ni polisi kesi anatuletea hapa ya nini?
 
Wakubwa tazama channel ten wanarusha UPDATE LIVE safi sana

muda mfupi uliopita amemnaliza mratibu uchaguzi CCM
Na hivi sasa kamanda mbowe analonga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom