Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
kudadadadeki.........wamekata umeme.

sasa nasikiliza redio kupitia simu.

kupata habari ni haki yangu ya msingi.

mapambano yanaendelea.
 
Sasa hivi ndio ninaenda kupiga kura baada ya kunywa chai.Nyie mliokuwa mnapiga kelele hapa njoon mpige kura sasa.NAKUUMIA SIRI KIDOGO NAKWENDA KUMPIGIA KAFUMU .WAKINA MAMA WANAFUNIKA HAPA IGUNGA MJINI KWA KUJITOKEZA KWA WINGI.CDM PRESHA JUU,WAMEGUNDUA VIJANA WALIKUA HAWAKUJIANDISHA.NIMEFIKA KITUONI NGOJA NIKAWAMALIZE CDM NINAHASIRA NA NYINYI...BADAE KIDOGO.
 
Nashauri hao waliohamishiwa majina yao sehemu zingine CDM ijitahidi kuangalia njia ya kuwapeleka hata kwa usafiri kwenye vituo sehemu majina yao yaliko
 

Lunyiliko, hivi hutambui kuwa CCM ndio iko madarakani?
 

Umenikumbusha ya Segerea mkuu hakika uncle Fred Alishinda kila kituo nikashangaa lile jamaa kutangazwa mshindi so makamanda jipangeni sawasawa huko tupate mbunge wa 49 aingie mjengoni
 
kalatasi ya kupigia kura wameichakachua.picha ya mgombea ipo mbali na nembo ya chama.
tujikumbushe wawakilishi wetu
1.JOSEPH KASHINDYE-CHADEMA
2.hemed ramadhan-UPDP
3.hassan ramadhan-CHAUSTA
4.steven makingi-AFP
5.john magifi-SAU
6.abdallah chain-DP
7.Leopard mahona-CUF
8.peter kafumu-CCM
mia
 
na chaguzi nyingine vp? Mi niko Shinyanga ktk uchaguzi wa udiwani kata ya Masekelo kuziba nafasi ya marehemu jembe Shilembi huku ni nako asilimia kubwa ya wapiga kura waliojitokeza kwa wingi ni vijana na wako wengi pamoja na vituo vyote kuwekwa ktk shule ya msingi ndala A na B vijana wamejitokeza pamoja na wanawake ila wengi wao ni wale wafanyabiashara wa sokoni sijui wazee wameogopa?? Au ni nini
 
Huko igunga watu wadaiwa kukosa majina yao katika daftari la wapiga kura ilhalwalijiandikisha na shahada wanazo.
 
Hebu angalieni ITV nadhani kuna ujinga pale .Yule mzee anaitwa nani ? Hebu wasikilizeni hawa je wanasema ukweli ? Hapakuwa na rushwa kweli huko ?
 
Halafu utalalamika hali ya maisha ni ngumu? Mashauzi yote ya nini?
Unajua waheshimiwa Freeman Mbowe na Zitto Kabwe ndi walikuwa waTanzania wa kwanza kuingiza iPad bungeni, sasa mara nyingi sisi wapenda mabadiliko huwa tunapenda sana kuwafuata viongozi tunaowaamini, nikajitutumua hivyo hivyo licha ya huu umaskini aliotusababishia JK, nikauza gunia 30 za mahindi nikakamata kitu. Nape anayetegemea Per diems za kufanya kampeni za udiwani hatakaa anunue iPad kama Mh Zitto
 
Nyangasa anasena taarifa za jikoni huko huko ni kwamba Vijana wamejitokeza kwa wingi sana kupiga kura je ni kweli ?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…