Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu 2020 bila Tume huru wala Waangalizi wa Kimataifa

Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu 2020 bila Tume huru wala Waangalizi wa Kimataifa

Kwa nini watanzania kama wapiga kura hatudai tume huru? Haki ya mpiga kura iko wapi? Mtu anaacha ubunge wa chama fulani halafu anaenda kupigania ubunge huohuo katika chama kingine kwa kugharamiwa na kodi zetu. Bado tuko kimya?? Hayo yamefanyika sana Tz na Tume iliyoko imebariki mambo haya!
 
Back
Top Bottom