Uchaguzi Mkuu 2020: Brigedia Jenerali, John Mbungo, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU awaonya Wafanyabiashara na Wanasiasa

Uchaguzi Mkuu 2020: Brigedia Jenerali, John Mbungo, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU awaonya Wafanyabiashara na Wanasiasa

1.Tumesitisha uchunguzi dhidi ya Kibajaji, mwenye ushahidi aendelee.
2.Tumemwachia Serukamba maana alikamatwa kwa amri ya TAKUKURU Kigoma na siyo sisi Dodoma.
3.Mpaka sasa hatujaona rushwa kwa watia nia wa CCM.
4*Kuna rushwa kwenye uchaguzi hasa wafanyabiashara kukunua wagombea wa vyama Fulani ili wanufaike nao wakipata ubunge.
Bla bla bla bla!
🙃🙃🙂🙂😉😉🙂🙂
 
Back
Top Bottom