1.Tumesitisha uchunguzi dhidi ya Kibajaji, mwenye ushahidi aendelee.
2.Tumemwachia Serukamba maana alikamatwa kwa amri ya TAKUKURU Kigoma na siyo sisi Dodoma.
3.Mpaka sasa hatujaona rushwa kwa watia nia wa CCM.
4*Kuna rushwa kwenye uchaguzi hasa wafanyabiashara kukunua wagombea wa vyama Fulani ili wanufaike nao wakipata ubunge.
Bla bla bla bla!