johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uchaguzi mkuu wa 2020 utabebwa zaidi na kura za maoni kwa wagombea wa CCM ambao Kamati kuu ndio imeshika mpini.
Jaribu kuangalia tafrani zilizoanza kujitokeza za wabunge kugawa pipi kwa wagonjwa mahututi na wengine kwenda kuutimbatimba uwanja wa Sokoine na kuwahamishia maafande wa Magereza Samora Iringa.
Kuanzia January 2020 tutegemee vituko zaidi vya wabunge wa CCM huko majimboni hawa akina Mwita Waitara, Kibajaji, Jah people, Kigwangalla nk.
Pia tutegemee vijimambo vya kutosha kutoka kwa wabunge watarajiwa akina Jerry Murro, Le mutuz, Hajji Manara, Harmonize, Wema Sepetu, Kingwendu nk
Kiukweli kura za maoni zinaweza kuiletea tafrani CCM na kwa kuwa rushwa imedhibitiwa basi tutegemee masangoma wengi kutoka Senegal na Nigeria bila kuwasahau mitume na manabii kwa ajili ya kung'arisha nyota za wagombea.
Maendeleo hayana vyama
cc: Wakudadavuwa, tpaul
Jaribu kuangalia tafrani zilizoanza kujitokeza za wabunge kugawa pipi kwa wagonjwa mahututi na wengine kwenda kuutimbatimba uwanja wa Sokoine na kuwahamishia maafande wa Magereza Samora Iringa.
Kuanzia January 2020 tutegemee vituko zaidi vya wabunge wa CCM huko majimboni hawa akina Mwita Waitara, Kibajaji, Jah people, Kigwangalla nk.
Pia tutegemee vijimambo vya kutosha kutoka kwa wabunge watarajiwa akina Jerry Murro, Le mutuz, Hajji Manara, Harmonize, Wema Sepetu, Kingwendu nk
Kiukweli kura za maoni zinaweza kuiletea tafrani CCM na kwa kuwa rushwa imedhibitiwa basi tutegemee masangoma wengi kutoka Senegal na Nigeria bila kuwasahau mitume na manabii kwa ajili ya kung'arisha nyota za wagombea.
Maendeleo hayana vyama
cc: Wakudadavuwa, tpaul