Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
sometimes kitu kinachoitwa demokrasia ni upuuzi tu!! sioni sababu ya kufanya uchaguzi wa 2020 (sana sana kwa nafasi ya uraisi) Magufuli anajitosheleza kwa kila jambo, kafanya makubwa sana na bado anaendelea kutekeleza miradi mikubwa ambayo ilikuwa ni historia. haiwezekani tusione thamani ya Raisi ambaye ndani ya awamu moja kafanya mambo ambayo yanameza karibia awamu zote halafu wapumbavu wachache bado wanabeza kweli? labda kama tunataka tuwachague wapiga madili ili turudi kule tulikotoka (serikali awamu nzima inajenga uwanja wa mpira mmoja tu eti ndo kumbukumbu yake.... mwingine awamu nzima anajenga daraja moja tu!..... mwingine awamu nzima anawaongoza watu kwa mtindo wa kuwawini kisaikologia kwa kuwambia kila kitu ni ruksa bila kudili na mzizi wa umaskini wa wananchi) ndo maana ilifikia hatua nafasi ya urais ilikuwa kama ya majaribio kila mtu alikuwa anaiwania ili akapige dili.. sasahivi magufuli karudisha hadhi ya urais kwa vitendo na kuonyesha kwamba nafasi ya uongozi ni dhamana, ni nafasi ngumu kama kweli una dhamira ya kuwatumikia wananchi na sio blaablaa...
Hebu weka deni la taifa la hao marais na huyu ili tujue wapi la kuanzia.