Uchaguzi 2020 Uchaguzi mkuu 2020 utakuwa mgumu sana kwa CCM na wapinzani wanaweza kutengenezewa mpenyo

Uchaguzi 2020 Uchaguzi mkuu 2020 utakuwa mgumu sana kwa CCM na wapinzani wanaweza kutengenezewa mpenyo

sometimes kitu kinachoitwa demokrasia ni upuuzi tu!! sioni sababu ya kufanya uchaguzi wa 2020 (sana sana kwa nafasi ya uraisi) Magufuli anajitosheleza kwa kila jambo, kafanya makubwa sana na bado anaendelea kutekeleza miradi mikubwa ambayo ilikuwa ni historia. haiwezekani tusione thamani ya Raisi ambaye ndani ya awamu moja kafanya mambo ambayo yanameza karibia awamu zote halafu wapumbavu wachache bado wanabeza kweli? labda kama tunataka tuwachague wapiga madili ili turudi kule tulikotoka (serikali awamu nzima inajenga uwanja wa mpira mmoja tu eti ndo kumbukumbu yake.... mwingine awamu nzima anajenga daraja moja tu!..... mwingine awamu nzima anawaongoza watu kwa mtindo wa kuwawini kisaikologia kwa kuwambia kila kitu ni ruksa bila kudili na mzizi wa umaskini wa wananchi) ndo maana ilifikia hatua nafasi ya urais ilikuwa kama ya majaribio kila mtu alikuwa anaiwania ili akapige dili.. sasahivi magufuli karudisha hadhi ya urais kwa vitendo na kuonyesha kwamba nafasi ya uongozi ni dhamana, ni nafasi ngumu kama kweli una dhamira ya kuwatumikia wananchi na sio blaablaa...

Hebu weka deni la taifa la hao marais na huyu ili tujue wapi la kuanzia.
 
Kura za maoni CCM 2020 ni salaam tosha kwa wale wazee wa njaa kali aka waungaji mkono juhudi wanakwenda kushikwa sehemu nyeti...hiyo ndiyo CCM...una thamani wakati wanakuhitaji tu...otherwise wewe ni dampo tu aka toilet paper ile used.
 
Uchaguzi mkuu wa 2020 utabebwa zaidi na kura za maoni kwa wagombea wa CCM ambao Kamati kuu ndio imeshika mpini.

Jaribu kuangalia tafrani zilizoanza kujitokeza za wabunge kugawa pipi kwa wagonjwa mahututi na wengine kwenda kuutimbatimba uwanja wa Sokoine na kuwahamishia maafande wa Magereza Samora Iringa.

Kuanzia January 2020 tutegemee vituko zaidi vya wabunge wa CCM huko majimboni hawa akina Mwita Waitara, Kibajaji, Jah people, Kigwangalla nk.

Pia tutegemee vijimambo vya kutosha kutoka kwa wabunge watarajiwa akina Jerry Murro, Le mutuz, Hajji Manara, Harmonize, Wema Sepetu, Kingwendu nk

Kiukweli kura za maoni zinaweza kuiletea tafrani CCM na kwa kuwa rushwa imedhibitiwa basi tutegemee masangoma wengi kutoka Senegal na Nigeria bila kuwasahau mitume na manabii kwa ajili ya kung'arisha nyota za wagombea.

Maendeleo hayana vyama

cc: Wakudadavuwa, tpaul
Kama uchaguzi wa 2015 CCM iliweza kuu-handle vizuri basi itachukuwa muda kutokea tena uchaguzi mwingine mgumu kwa CCM. Labda 2025, ila jinsi Lowassa alivyoondolewa kwenye kinyang'anyiro na jinsi ''alivyotulizwa'' pamoja na ufuasi wake mkubwa wa wajumbe na wabunge aliokuwanao, ilitengeneza precedent kwa rais yoyote atakayekuwa kwenye hali kama ile, iwe kwa wabunge au kwake mwenyewe. Hata Mkapa angekumbuka kufanya kama Kikwete alivyofanya, Kikwete asingepata urais ukitilia maanani alivyokuwa hamtaki. Tatizo la Mkapa hakuwa ''active'' akajikuta dakika za mwisho amezungukwa na watu waliokuwa wanamwambia mzee hapa hakuna tena ujanja bila yeye kujua kuwa hao wote walikuwa kwenye mtandao wa kina Kikwete. Ubunge CCM mwaka 2020 utakuwa na mchuano sana lakini hata watakaoondolewa kwenye kinyang'anyiro hawatakuwa na nguvu ya kupambana wakiwa nje.
 
sometimes kitu kinachoitwa demokrasia ni upuuzi tu!! sioni sababu ya kufanya uchaguzi wa 2020 (sana sana kwa nafasi ya uraisi) Magufuli anajitosheleza kwa kila jambo, kafanya makubwa sana na bado anaendelea kutekeleza miradi mikubwa ambayo ilikuwa ni historia. haiwezekani tusione thamani ya Raisi ambaye ndani ya awamu moja kafanya mambo ambayo yanameza karibia awamu zote halafu wapumbavu wachache bado wanabeza kweli? labda kama tunataka tuwachague wapiga madili ili turudi kule tulikotoka (serikali awamu nzima inajenga uwanja wa mpira mmoja tu eti ndo kumbukumbu yake.... mwingine awamu nzima anajenga daraja moja tu!..... mwingine awamu nzima anawaongoza watu kwa mtindo wa kuwawini kisaikologia kwa kuwambia kila kitu ni ruksa bila kudili na mzizi wa umaskini wa wananchi) ndo maana ilifikia hatua nafasi ya urais ilikuwa kama ya majaribio kila mtu alikuwa anaiwania ili akapige dili.. sasahivi magufuli karudisha hadhi ya urais kwa vitendo na kuonyesha kwamba nafasi ya uongozi ni dhamana, ni nafasi ngumu kama kweli una dhamira ya kuwatumikia wananchi na sio blaablaa...
Huu ni upuuzi unaandika hapa. Kama waliotangulia kuongoza mfano Nyerere, Mwinyi , Mkapa na Kikwete wangetaka kubadili katiba ili waendelee kushikilia madaraka, huyu mnayemuabudu sasa hivi angekuwa rais!? Punguzeni ujinga kutoka vichwani mwenu.
 
Kama uchaguzi wa 2015 CCM iliweza kuu-handle vizuri basi itachukuwa muda kutokea tena uchaguzi mwingine mgumu kwa CCM. Labda 2025, ila jinsi Lowassa alivyoondolewa kwenye kinyang'anyiro na jinsi ''alivyotulizwa'' pamoja na ufuasi wake mkubwa wa wajumbe na wabunge aliokuwanao, ilitengeneza precedent kwa rais yoyote atakayekuwa kwenye hali kama ile, iwe kwa wabunge au kwake mwenyewe. Hata Mkapa angekumbuka kufanya kama Kikwete alivyofanya, Kikwete asingepata urais ukitilia maanani alivyokuwa hamtaki. Tatizo la Mkapa hakuwa ''active'' akajikuta dakika za mwisho amezungukwa na watu waliokuwa wanamwambia mzee hapa hakuna tena ujanja bila yeye kujua kuwa hao wote walikuwa kwenye mtandao wa kina Kikwete. Ubunge CCM mwaka 2020 utakuwa na mchuano sana lakini hata watakaoondolewa kwenye kinyang'anyiro hawatakuwa na nguvu ya kupambana wakiwa nje.
Kwanza uchzguzi utakuwa kiini macho. Na Kampeni zote kutoka kwa wapinzani, itakuwa wanamsindikiza tu raisi wa tume ya uchaguzi ambaye wao wanamjua hata sasa. Kwa tume hii na sheria hii ya uchaguzi, atakayeshinda anajulikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza uchzguzi utakuwa kiini macho. Na Kampeni zote kutoka kwa wapinzani, itakuwa wanamsindikiza tu raisi wa tume ya uchaguzi ambaye wao wanamjua hata sasa. Kwa tume hii na sheria hii ya uchaguzi, atakayeshinda anajulikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno yamekuwa yanasemwa tangu tuanze mfumo wa vyama vingi. Na haijulikani ni lini yataachwa kusemwa!
 
Utakuwa mwendelezo wa yale ya serekali za mitaa. Usitarajie utofauti.
 
Back
Top Bottom