Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Hutaki kupima kina cha maji ya mto kwa miguu hiyo imekaa poa uzalendo uliisha siku nyingi maslahi ndio kila kituNdiyo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki kupima kina cha maji ya mto kwa miguu hiyo imekaa poa uzalendo uliisha siku nyingi maslahi ndio kila kituNdiyo mkuu
maslahi mbele uza;endo badaeHutaki kupima kina cha maji ya mto kwa miguu hiyo imekaa poa uzalendo uliisha siku nyingi maslahi ndio kila kitu
Duh !maslahi mbele uza;endo badae
Ingependeza awe mtu ambaye hajawahi kuonyesha mahaba na upande wowote.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] wewe utafaa sanaIngependeza awe mtu ambaye hajawahi kuonyesha mahaba na upande wowote.
[emoji384] [emoji386] [emoji387] [emoji389] [emoji385]samahani mkuu je kuna malipo ya kuwa raisi au ni nafasi ya kujitolea tu?
AfazaliMie nitahesabu kura
tamu hiyo kliko hiyo[emoji384] [emoji386] [emoji387] [emoji389] [emoji385]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]tamu hiyo kliko hiyo
Kwani rais aliyepo ameshastaafu? Maana najua ni ArushaoneHuu ni uchaguzi mkuu jf ambapo tutampendekeza mtu kwa kumtaja kwa kupjga kura. atakayependekezwa zaidi kwa kushika nafasi ya kwanza na ya pili ndio watakua wagombea rasmi humu Na kura ya mapendekezo itapigwa hapahapa kwa kucomment jina la mwana jf unayempendekeza
Mwisho wa kupiga kura ya mapendekezo ni kesho jumatano tar 28 saa 10 kamili jioni na atakayepiga kura baada baada ya hapo itakua batili
Atakayepiga mara mbili ni kosa
Na wagombea hawa wawili watateua makamu wao wagombee pamoja ambapo watateua kiongozi wa kila jukwa ama mwakilishi
Lengo ni kuleta umoja na mshikamano wetu wanajf
Long live jamiiforums
Hapana, mi kwa kigezo cha "mahaba" sifai sababu mahaba yangu kwa sasa ninaichukia chadema ya wanafiki.[emoji3] [emoji3] [emoji3] wewe utafaa sana