Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,109
Unataka vifungu? Anza wewe kuwekakachaguliwa lini na kwa kifungu kipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka vifungu? Anza wewe kuwekakachaguliwa lini na kwa kifungu kipi?
huwez kuzima nguvu ya watu mshana jr na The Boss ndo wamependekezwaNajua watu watachaguana kwa umaarufu wao humu kuliko vigezo... kwanza we uliyeleta uzi ni km nani humu JF.. ???
Kiongozi anatakiwa kuwa...
Smart IQ
asiwe mwanasiasa
Awe active mara kwa mara
Asiwe na udini
Asiwe mtu wa serikali
Asiwe na umri zaid ya miaka 40 wala chini ya 25. N.k
Swahiba hongera kwa kupita penye mchujo[emoji384] [emoji386] [emoji387] [emoji389] [emoji385]
Umeua mkuuduh huyo faiza fox kumbe nae ni mtoto mzuri
Kiranga atakuwepo tu humu ndani sema kwa id tofautiKiranga alisusa baada ya kupigwa bani, alituaga kwa kuwa hataki tena JF
Mimi hapaRais mteule ni nani??? Mbona sija.fahamu??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji120] [emoji120] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siasa buana zina mambo kweli yani unajenga chuki kwenye dhana na nadhariaHapana, mi kwa kigezo cha "mahaba" sifai sababu mahaba yangu kwa sasa ninaichukia chadema ya wanafiki.
Kaka haters hawapendi ujueSwahiba hongera kwa kupita penye mchujo
Watu hatufanani mkuu[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siasa buana zina mambo kweli yani unajenga chuki kwenye dhana na nadharia
Unamkumbuka yule wa 2015 aliyeulizwa na Zuhra Yunus ni nini anataka aifanyie Tz wakati akiwa waziri mkuu alishindwa, yeye akasema eti NYIE NIPENI TU MANDATE NIWE RAIS MTAJUA NATAKA KUFANYA NINI, watu wakachinja.Tusikie sera zao sio uchaguwe tu alafu iweje ?
Kweli kabisa kama kuna barafu ya moto basi hata ya vuguvugu haikosekani[emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu hatufanani mkuu[emoji23]