Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Moja ya sababu kubwa ya kuangusha utawala huu wa CCM ni hili la kuleta kwa hati ya dharula muswaada was marekebisho ya sheria ili kuongeza wigo wa viongozi wavunja sheria na Katiba kutoshtakiwa.
Hivi mtenda haki na mlinzi wa Katiba aliye APA kuilinda anawezaje kujiwekea kinga ya kuvunja sheria? Anaogopa nini hasa kama anaheshimu kiapo chake?
Hayo ni maandalizi ya kuandaa mpango wa kuvunja Katiba na sheria na VIONGOZI WA NAMNA HIYO HAWATUFAI.
Ni makosa makubwa sana kumkaribisha nyumbani mwizi anayekuambia kabisa kuwa anajiandaa kukuibia na anaandaa namna ambayo huta mshitaki.
Hivi mtenda haki na mlinzi wa Katiba aliye APA kuilinda anawezaje kujiwekea kinga ya kuvunja sheria? Anaogopa nini hasa kama anaheshimu kiapo chake?
Hayo ni maandalizi ya kuandaa mpango wa kuvunja Katiba na sheria na VIONGOZI WA NAMNA HIYO HAWATUFAI.
Ni makosa makubwa sana kumkaribisha nyumbani mwizi anayekuambia kabisa kuwa anajiandaa kukuibia na anaandaa namna ambayo huta mshitaki.