Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu mwaka huu unawatesa sana CCM

Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu mwaka huu unawatesa sana CCM

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa zaidi CCM kuliko upinzani.

CCM wanateseka hasa kuhusu idadi ya wapiga kura watakaojitokeza kupiga kura hasa ukizingatia kua uchaguzi wa serikali za mitaa ilibidi itumike nguvu ya ziada ya wakuu wa wilaya kutisha wanachi kwenda kupiga kura na kutishia kuwakataa kwenye wilaya zao kama hawakwenda kupiga kura.

CCM wanahofia iwapo itatokea wapiga kura wakajitokeza wachache na kupelekea Mheshimiwa Magufuli kupata kura chache kuliko alizopata mwaka 2015 itaharibu kabisa image ya Mheshimiwa kutokana na kwamba kafanya kazi kubwa kwa miaka 5 halafu akapata kura chache, kwa upande mwingine itaonyesha amepoteza ushawishi na hata alichokifanya hakina maana au hakijawashawishi wananchi.

CCM wana kibarua cha kuhakikisha wananchi wanaenda kupiga kura ila sasa zile mbinu kama za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa haazitatumika maana huo uchaguzi una waangalizi wa kimataifa, pia itafanya uchaguzi uonekane haukua huru na haki.

Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa sana CCM. Tusubiri tuone.
 
CCM hawajawahi kuwa na aibu ndugu, kama unakumbuka kinondoni wakati wa marudio ya ubunge askari walisindikiza sanduku la kura lililojazwa nje! Ni kweli watu wengi hawatapiga kura kwa sababu ya uhuni uliofanyika lakini usishangae wataandika namba zao watakwambia watu milioni 35 wamemchagua Magufuli.
 
Usiandike maneno matupu bila uthibitisho wa kisayansi na utafiti.

Katika utafiki sampuli(sample) ndogo inaweza kutumika kuwakilisha population kubwa sana. Vivyo hivyo ili gharama ya utafiti iwe ndogo, chukua sample ndogo ya watu 10 au 20 wanaowakilisha makundi yote ya kijamii halafu wapige kura wangapi wanamkubali Rais Magufuli ,naamini utakuja kufuta hiki ulichokiandika.

Kwa kukusaidia tu, Mimi nilifanya utafiti wa sample ndogo ya watu 20 ambayo ni uwakilishi wa population nzima ya Tanzania na matokeo ni watu 17 ambao 85% wanamkubali sana Magufuli, wawili kura ziliharibika na mmoja ndio hamkubali
 
Usiandike maneno matupu bila uthibitisho wa kisayansi na utafiti.

Katika utafiki sampuli(sample) ndogo inaweza kutumika kuwakilisha population kubwa sana. Vivyo hivyo ili gharama ya utafiti iwe ndogo, chukua sample ndogo ya watu 10 au 20 wanaowakilisha makundi yote ya kijamii halafu wapige kura wangapi wanamkubali Rais Magufuli ,naamini utakuja kufuta hiki ulichokiandika.

Kwa kukusaidia tu, Mimi nilifanya utafiti wa sample ndogo ya watu 20 ambayo ni uwakilishi wa population nzima ya Tanzania na matokeo ni watu 17 ambao 85% wanamkubali sana Magufuli, wawili kura ziliharibika na mmoja ndio hamkubali
Acha wee!!!🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
Usiandike maneno matupu bila uthibitisho wa kisayansi na utafiti.

Katika utafiki sampuli(sample) ndogo inaweza kutumika kuwakilisha population kubwa sana. Vivyo hivyo ili gharama ya utafiti iwe ndogo, chukua sample ndogo ya watu 10 au 20 wanaowakilisha makundi yote ya kijamii halafu wapige kura wangapi wanamkubali Rais Magufuli ,naamini utakuja kufuta hiki ulichokiandika.

Kwa kukusaidia tu, Mimi nilifanya utafiti wa sample ndogo ya watu 20 ambayo ni uwakilishi wa population nzima ya Tanzania na matokeo ni watu 17 ambao 85% wanamkubali sana Magufuli, wawili kura ziliharibika na mmoja ndio hamkubali
Acha we!!! We nouma kinoma
 
Usiandike maneno matupu bila uthibitisho wa kisayansi na utafiti.

Katika utafiki sampuli(sample) ndogo inaweza kutumika kuwakilisha population kubwa sana. Vivyo hivyo ili gharama ya utafiti iwe ndogo, chukua sample ndogo ya watu 10 au 20 wanaowakilisha makundi yote ya kijamii halafu wapige kura wangapi wanamkubali Rais Magufuli ,naamini utakuja kufuta hiki ulichokiandika.

Kwa kukusaidia tu, Mimi nilifanya utafiti wa sample ndogo ya watu 20 ambayo ni uwakilishi wa population nzima ya Tanzania na matokeo ni watu 17 ambao 85% wanamkubali sana Magufuli, wawili kura ziliharibika na mmoja ndio hamkubali
Uongo nao upo katika miongoni mwa maneno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujitokeza kwa Idadi ndogo ya watu watakaopiga kura wala siyo rocket science. Ni Suala ambalo litakuwepo mpaka sasa.

Kwanza Idadi ya watu waliojiandikisha kupiga kura ni ndogo sana na siyo wote watakaopiga kura.

Na Kibaya Zaidi Hakuna Hamasa Wala Elimu Yoyote
 
Usiandike maneno matupu bila uthibitisho wa kisayansi na utafiti.

Katika utafiki sampuli(sample) ndogo inaweza kutumika kuwakilisha population kubwa sana. Vivyo hivyo ili gharama ya utafiti iwe ndogo, chukua sample ndogo ya watu 10 au 20 wanaowakilisha makundi yote ya kijamii halafu wapige kura wangapi wanamkubali Rais Magufuli ,naamini utakuja kufuta hiki ulichokiandika.

Kwa kukusaidia tu, Mimi nilifanya utafiti wa sample ndogo ya watu 20 ambayo ni uwakilishi wa population nzima ya Tanzania na matokeo ni watu 17 ambao 85% wanamkubali sana Magufuli, wawili kura ziliharibika na mmoja ndio hamkubali

Natamani kujua vigezo ulivyotumia (sample)
 
Usichokijua ni kwamba ccm hawana hata chembe ya utu wala aibu.

Kwa vyovyote vile wanafanya kila liwezekanalo hata kuua ili tu wapite bila kupingwa.
Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa zaidi CCM kuliko upinzani.

CCM wanateseka hasa kuhusu idadi ya wapiga kura watakaojitokeza kupiga kura hasa ukizingatia kua uchaguzi wa serikali za mitaa ilibidi itumike nguvu ya ziada ya wakuu wa wilaya kutisha wanachi kwenda kupiga kura na kutishia kuwakataa kwenye wilaya zao kama hawakwenda kupiga kura.

CCM wanahofia iwapo itatokea wapiga kura wakajitokeza wachache na kupelekea Mheshimiwa Magufuli kupata kura chache kuliko alizopata mwaka 2015 itaharibu kabisa image ya Mheshimiwa kutokana na kwamba kafanya kazi kubwa kwa miaka 5 halafu akapata kura chache, kwa upande mwingine itaonyesha amepoteza ushawishi na hata alichokifanya hakina maana au hakijawashawishi wananchi.

CCM wana kibarua cha kuhakikisha wananchi wanaenda kupiga kura ila sasa zile mbinu kama za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa haazitatumika maana huo uchaguzi una waangalizi wa kimataifa, pia itafanya uchaguzi uonekane haukua huru na haki.

Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa sana CCM. Tusubiri tuone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa zaidi CCM kuliko upinzani.

CCM wanateseka hasa kuhusu idadi ya wapiga kura watakaojitokeza kupiga kura hasa ukizingatia kua uchaguzi wa serikali za mitaa ilibidi itumike nguvu ya ziada ya wakuu wa wilaya kutisha wanachi kwenda kupiga kura na kutishia kuwakataa kwenye wilaya zao kama hawakwenda kupiga kura.

CCM wanahofia iwapo itatokea wapiga kura wakajitokeza wachache na kupelekea Mheshimiwa Magufuli kupata kura chache kuliko alizopata mwaka 2015 itaharibu kabisa image ya Mheshimiwa kutokana na kwamba kafanya kazi kubwa kwa miaka 5 halafu akapata kura chache, kwa upande mwingine itaonyesha amepoteza ushawishi na hata alichokifanya hakina maana au hakijawashawishi wananchi.

CCM wana kibarua cha kuhakikisha wananchi wanaenda kupiga kura ila sasa zile mbinu kama za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa haazitatumika maana huo uchaguzi una waangalizi wa kimataifa, pia itafanya uchaguzi uonekane haukua huru na haki.

Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa sana CCM. Tusubiri tuone.
Kwa asilimia atashinda 99% kwa idadi kura kiduchu.....namba hazidanganyi. Tutaona tu.
 
Usiandike maneno matupu bila uthibitisho wa kisayansi na utafiti.

Katika utafiki sampuli(sample) ndogo inaweza kutumika kuwakilisha population kubwa sana. Vivyo hivyo ili gharama ya utafiti iwe ndogo, chukua sample ndogo ya watu 10 au 20 wanaowakilisha makundi yote ya kijamii halafu wapige kura wangapi wanamkubali Rais Magufuli ,naamini utakuja kufuta hiki ulichokiandika.

Kwa kukusaidia tu, Mimi nilifanya utafiti wa sample ndogo ya watu 20 ambayo ni uwakilishi wa population nzima ya Tanzania na matokeo ni watu 17 ambao 85% wanamkubali sana Magufuli, wawili kura ziliharibika na mmoja ndio hamkubali
Sampling yako ilizingatia nini kuzuia biasness? Halafu inaelekea hujui masuala ya statistics and probabulity.

Basic knowledge: utambue kuwa "the lerger the sample the more reliability". Hiyo yako ya watu 20, ni upuuzi. Kuna mambo ulitakiwa uzingatie kama umri, sex, elimu, eneo, activities, imani, mlengo wa kisiasa, etc.

Sampling nayo ni Science, siyo kila mtu anaaweza kufanya.
 
Natamani kujua vigezo ulivyotumia (sample)
Huyu inaonekana hajui kabisa maana ya samlping and components of influence.

Kwa mtu anayeelewa, alitakiwa kutelambua components of infiuence kama vile maeneo ambako kuna miradi iliyoanzishwa na serikali hii kama hospitali, barabara, n.k. Halafu aende maeneo ambako sera za awamu hii zimewapa machungu kama wanakolima korosho, mbaazi, mahindi, miti ya mbao, n.k. Halafu aulize makundi yaliyonufaika na utawala huu kama vile wafanyakazi walioajiriwa awamu hii. Azungumze na wafanyakazi waliokosa kuongezwa mishahara kwa miaka 4. Azungumze pia na wale waliokuwa wanatarajia ajira lakini wamekosa, waliofukuzwa kazi kwa sababu mbalimbali, n.k. Azungumze na wafanyabiashara na wanaoendesha maisha ya kubangaiza.

Ukiweka response ya hao wote pamoja, ndiyo utasema umefanya utafiti. Siyo huo upuuzi wa kuzungumza na watu wa familia moja ya watu 20.
 
Km hamna tume huru ushindi wa ccm hautegemea wapiga kura..... Fanya rejea mauchafu ya ccm kwenye chaguzi zote zilizopita
 
Tume huru ya uchaguzi is not option...habari ndiyo hiyo CCM kaeni mkao wa kula mtake msitake
 
Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa zaidi CCM kuliko upinzani.

CCM wanateseka hasa kuhusu idadi ya wapiga kura watakaojitokeza kupiga kura hasa ukizingatia kua uchaguzi wa serikali za mitaa ilibidi itumike nguvu ya ziada ya wakuu wa wilaya kutisha wanachi kwenda kupiga kura na kutishia kuwakataa kwenye wilaya zao kama hawakwenda kupiga kura.

CCM wanahofia iwapo itatokea wapiga kura wakajitokeza wachache na kupelekea Mheshimiwa Magufuli kupata kura chache kuliko alizopata mwaka 2015 itaharibu kabisa image ya Mheshimiwa kutokana na kwamba kafanya kazi kubwa kwa miaka 5 halafu akapata kura chache, kwa upande mwingine itaonyesha amepoteza ushawishi na hata alichokifanya hakina maana au hakijawashawishi wananchi.

CCM wana kibarua cha kuhakikisha wananchi wanaenda kupiga kura ila sasa zile mbinu kama za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa haazitatumika maana huo uchaguzi una waangalizi wa kimataifa, pia itafanya uchaguzi uonekane haukua huru na haki.

Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa sana CCM. Tusubiri tuone.
NEC ni yao,
Polisi ni yao,
Wasimamizi ni wao,
Wagombea wote wa udiwani ni wao,
Wagombea wote wa ubunge ni wao,
Mgombea wa urais ni wao,
Wamwogope nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Silahaa za mwisho za CCM!
tapatalk_jpeg_1582962299761.jpeg
masoudkipanya_B9GSmqxjtws.jpeg
masoudkipanya_B9A_6OMDjZT.jpeg
 
Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa zaidi CCM kuliko upinzani.

CCM wanateseka hasa kuhusu idadi ya wapiga kura watakaojitokeza kupiga kura hasa ukizingatia kua uchaguzi wa serikali za mitaa ilibidi itumike nguvu ya ziada ya wakuu wa wilaya kutisha wanachi kwenda kupiga kura na kutishia kuwakataa kwenye wilaya zao kama hawakwenda kupiga kura.

CCM wanahofia iwapo itatokea wapiga kura wakajitokeza wachache na kupelekea Mheshimiwa Magufuli kupata kura chache kuliko alizopata mwaka 2015 itaharibu kabisa image ya Mheshimiwa kutokana na kwamba kafanya kazi kubwa kwa miaka 5 halafu akapata kura chache, kwa upande mwingine itaonyesha amepoteza ushawishi na hata alichokifanya hakina maana au hakijawashawishi wananchi.

CCM wana kibarua cha kuhakikisha wananchi wanaenda kupiga kura ila sasa zile mbinu kama za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa haazitatumika maana huo uchaguzi una waangalizi wa kimataifa, pia itafanya uchaguzi uonekane haukua huru na haki.

Uchaguzi wa mwaka huu unawatesa sana CCM. Tusubiri tuone.
Wewe na wajinga wengine bila kujua ndio mnaoifanya CCM ishinde kila uchaguzi.
 
Back
Top Bottom