Uchaguzi mkuu ujao tutatumia katiba hii hii. Amini, usiamini

Uchaguzi mkuu ujao tutatumia katiba hii hii. Amini, usiamini

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Katiba mpya ikishaundwa na kukamilika haianzi kutumika mpk pale sheria na kanuni zitakapobadilishwa ili kuendana na katiba hiyo.

Ikiwa mpk Sasa katiba haijaanza kuundwa kukiwa kumebaki miezi michache tuingie kwenye uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa na baadaye uchaguzi mkuu, hiyo katiba itakamilika lini na sheria/kanuni zake zitatungwa lini?

Nitoe mifano miwili tu.
1. Endapo katiba mpya itasema matokeo ya urais yahojiwe mahakamani maana yake sheria na kanuni za uteuzi wa majaji lazima zibadilishwe (wasireuliee na rais) na majaji wapatikane wapya.

2. Endapo katiba mpya itataka kuwe na tume huru ya uchaguzi basi lazima sheria na kanuni za muundo na upatikanaji wa viongozi wa tume zibadilishwe na viongozi wa tume wapatikane wapya.

Sasa kwa muda uliobaki kabla ya uchaguzi mkuu tunaweza kuyafanya haya na mengine yote?
 
Ndio hatutaki katiba la kukimbizana ,tutulie tuunde katiba Bora sio kisa Kuna mazumbukuku wanaharaka wanataka vyeo basi tukimbizane

USSR
 
Andiko lako zuri kabisa.
Inawezekana sana. Templates zipo nyingi ni kiasi cha kubadili "is" and "was"......... We do not have to invent the wheel.

Hata sheria za sasa ni copy and paste za Indian laws borrowed from England! wanasheria wanaita "parimateria"...vifungu vinafanana

Unasemaje.
 
Tuiwekee viraka vya marekibisho hii hii Katiba ya zamani halafu mchakato mzima uanze baada Uchaguzi ili tuepuke Uchafuzi.
 
Katiba mpya ikishaundwa na kukamilika haianzi kutumika mpk pale sheria na kanuni zitakapobadilishwa ili kuendana na katiba hiyo.

Sasa kwa muda uliobaki kabla ya uchaguzi mkuu tunaweza kuyafanya haya na mengine yote?
Muda uliopo hautoshi kupata katiba mpya bora, ila muda uliobaki unatosha kubadili sheria na kuunda tume huru ya uchaguzi Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!
P
 
Katiba mpya ikishaundwa na kukamilika haianzi kutumika mpk pale sheria na kanuni zitakapobadilishwa ili kuendana na katiba hiyo.

Ikiwa mpk Sasa katiba haijaanza kuundwa kukiwa kumebaki miezi michache tuingie kwenye uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa na baadaye uchaguzi mkuu, hiyo katiba itakamilika lini na sheria/kanuni zake zitatungwa lini?

Nitoe mifano miwili tu.
1. Endapo katiba mpya itasema matokeo ya urais yahojiwe mahakamani maana yake sheria na kanuni za uteuzi wa majaji lazima zibadilishwe (wasireuliee na rais) na majaji wapatikane wapya.

2. Endapo katiba mpya itataka kuwe na tume huru ya uchaguzi basi lazima sheria na kanuni za muundo na upatikanaji wa viongozi wa tume zibadilishwe na viongozi wa tume wapatikane wapya.

Sasa kwa muda uliobaki kabla ya uchaguzi mkuu tunaweza kuyafanya haya na mengine yote?
Katiba mpya ni ngonjera tu
 
Kumbe watu mnataka katiba mpya Kwa ajili ya uchaguzi tu??.Duuuuh siasa hizi kila mtu anaangalia tumbo lake
Kwa uchafuzi uliofanyika 2020 katiba mpya ni hitaji na takwa la haraka mno. Kwa hujui kuwa kuchagua na kuchaguliwa ni HAKI ya kiraia? Na haki haitakiwi kucheleweshwa
 
Kwa hiyo hata uchaguzi ujao mkurugenzi wa Halmashauri (mteule wa CCM mwenye shati la CCM) ndo tutegemee atamtangaza mshindi wa nafasi ya udiwani na ubunge kutoka upinzani?
 
Mbona umechelewa sana kushtuka mkuu?, hilo jambo lipo wazi kabisa.
Nasubiri nione kama wataweza kugomea uchaguzi wapishane na mabilioni ya ruzuku.
 
Kumbe watu mnataka katiba mpya Kwa ajili ya uchaguzi tu??.Duuuuh siasa hizi kila mtu anaangalia tumbo lake
Au tuahirishe Uchaguzi na kuunda Serikali ya mpito mpaka katiba mpya itakapopatikana.
 
Katiba mpya ikishaundwa na kukamilika haianzi kutumika mpk pale sheria na kanuni zitakapobadilishwa ili kuendana na katiba hiyo.

Ikiwa mpk Sasa katiba haijaanza kuundwa kukiwa kumebaki miezi michache tuingie kwenye uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa na baadaye uchaguzi mkuu, hiyo katiba itakamilika lini na sheria/kanuni zake zitatungwa lini?

Nitoe mifano miwili tu.
1. Endapo katiba mpya itasema matokeo ya urais yahojiwe mahakamani maana yake sheria na kanuni za uteuzi wa majaji lazima zibadilishwe (wasireuliee na rais) na majaji wapatikane wapya.

2. Endapo katiba mpya itataka kuwe na tume huru ya uchaguzi basi lazima sheria na kanuni za muundo na upatikanaji wa viongozi wa tume zibadilishwe na viongozi wa tume wapatikane wapya.

Sasa kwa muda uliobaki kabla ya uchaguzi mkuu tunaweza kuyafanya haya na mengine yote?
Kwani katiba hiiii inashida ganiii
 
Kwani katiba hiiii inashida ganiii
Duuh! Uko serious hujui matatizo ya katiba tulio nayo?

Hukuona namna jiwe alivyokuwa analinajisi nchi hii?

Basi alipata nguvu ya kufanya hivyo kupitia katiba hii mbovu.
 
Katiba mpya ikishaundwa na kukamilika haianzi kutumika mpk pale sheria na kanuni zitakapobadilishwa ili kuendana na katiba hiyo.

Ikiwa mpk Sasa katiba haijaanza kuundwa kukiwa kumebaki miezi michache tuingie kwenye uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa na baadaye uchaguzi mkuu, hiyo katiba itakamilika lini na sheria/kanuni zake zitatungwa lini?

Nitoe mifano miwili tu.
1. Endapo katiba mpya itasema matokeo ya urais yahojiwe mahakamani maana yake sheria na kanuni za uteuzi wa majaji lazima zibadilishwe (wasireuliee na rais) na majaji wapatikane wapya.

2. Endapo katiba mpya itataka kuwe na tume huru ya uchaguzi basi lazima sheria na kanuni za muundo na upatikanaji wa viongozi wa tume zibadilishwe na viongozi wa tume wapatikane wapya.

Sasa kwa muda uliobaki kabla ya uchaguzi mkuu tunaweza kuyafanya haya na mengine yote?
Wanadai mda hautoshi ndio maana kina Zito wao wanataka Tume huru kwanza ndio hizo story ziendelee.
 
Duuh! Uko serious hujui matatizo ya katiba tulio nayo?

Hukuona namna jiwe alivyokuwa analinajisi nchi hii?

Basi alipata nguvu ya kufanya hivyo kupitia katiba hii mbovu.
Katiba Haina shida kabisaa, ila chanzo Cha nyinyi kung'ang'ania katiba mpya ni kuituhumu hii iliyopo eti haiwapii ushindi, ndio maana mumekazana katiba mpyaaa katiba mpyaaa eti ndio mta shinda uchaguziiii. Hatuwezi kubadilisha katiba kisa eti nyinyi hamshindi uraisi. Kumbukueni KERO ya watanzania sio nyinyi kwenda ikuluu. Katiba iliyopo Iko vizuriii saaana na ndio maaana mheshimiwa raisi ameiheshimu na kuruhusu mikutano ifanyike kama mnavyofany mpaka Sasa. Kwahiyo katiba iliyopo inatosha, nyie nadini sera zenu Kwa wananchi wakiwa elewa mtaingia ikulu Kwa katiba hiii hiiii.
 
Wanadai mda hautoshi ndio maana kina Zito wao wanataka Tume huru kwanza ndio hizo story ziendelee.
Tume haiwezi kuwa huru bila kuyapunguza madaraka ya rais. Anaweza kuamuru RPC asimamishe zoezi la kuhesabu kura kwa kisingizio cha tishio la usalama halafu kura mamluki zikaingizwa kwenye masanduku.

Katiba bora ndiyo huzaa tume huru.
 
Tume haiwezi kuwa huru bila kuyapunguza madaraka ya rais. Anaweza kuamuru RPC asimamishe zoezi la kuhesabu kura kwa kisingizio cha tishio la usalama halafu kura mamluki zikaingizwa kwenye masanduku.

Katiba bora ndiyo huzaa tume huru.
Basi nyie chadomo gomeni tuu sawa
 
Back
Top Bottom