Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
wahenga walisema,Kama kusingekuwa na Wizi wa kura unaofanywa na NEC kwa usimamizi wa vyombo vya ulinzi na Usalama,ikiwa kila chama kikasimamisha mgombea wake Chama pendwa hakiwezi kushinda uchaguzi.
kuungana ni kawaida tu na inawezekana. Mbona NLD waliungana na Chadema pamoja na ACT....Kwa hiyo mleta mada unadhani kwa mfano CHADEMA ikaungana na TLP, NCCR, CUF, CHAUSTA, UMD, UDP itakuwa na nguvu ya kushinda kuliko ikisimama yenyewe?
Yaani vyama rafiki na CCM ndio unataka viunganishwe na chama kikuu cha upinzani ili kuitoa CCM madarakani?
Embu tafari upya.
Nitakuwa maskani nasikilizia mcheleWakati unasubiri wakubaliane , wewe unakuwa wapi ukifanya nini ?
ukizira, ukisusa, ukigoma au vinginevyo haitakusaidia chochote wewe pamoja na wenye upeo kama wako 🐒Hakuna uchaguzi Tanzania bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mtu mjinga tu, au anayefaidika binafsi ndio atajitokeza kushiriki hizo chaguzi za kishenzi kwa mazingira yanayopigiwa kelele kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.
Uchaguzi wa 2020 chini ya dhalimu Magufuli ulikuja kuweka mpaka wa kutoendelea kushiriki hizi chaguzi za kishenzi. Bila mabadiliko ya kweli ni upuuzi kama upuuzi mwingine kuendelea kushiriki hizo chaguzi za kihayawani.
JF ni zaidi ya shule au darasa la siasa ukiwa serious kujifunza 🐒Chama Cha Mapinduzi kipo imara zaidi kwa sasa kuliko nyakati nyinngine zozote zilizopita
Kaka chama chako kipo imara Sasa huwa unawashwawashwa na Nini kuhusu upinzani?
Hii inaonesha ndani ya ccm mambo hayapo sawa.
acha upotoshaji...
Tanzania,
kuna vyama vya kisiasa zaidi ya 22 vyenye usajili wa kudumu 🐒
Ulijibu, ni nje ya mada uliyoleta🙏kibaraka anataka kumshtaki Rais eti kwasababu amepiga picha nzuri sana na Mbowe na viongozi wa baraza la wanawake yeye akiwa hayupo 🤣
hii unaizungumziaje kamanda 🐒
Hata CCM inaangalia maslahi ya kikundi chake kidogo kikiongozwa na mungu mtu waoApo kila chama kinaangalia maslahi yake hawapo kwa maslahi ya uma wala taifa
CCM ni kusanyiko la majangili ya mali za ummaHata CCM inaangalia maslahi ya kikundi chake kidogo kikiongozwa na mungu mtu wao
Well said..vyama vya siasa hapa Tanganyika ni Ccm na Chadema tu.
msije kunilaumu sikushauri 🐒Wape ushauri CCM namna ya kuiba kura zaidi, ya wapinzani hayakuhusu.
Uliwahi kusikia shetani anatoa ushauri kwa muumini, halafu ukapokelewa?