Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kwa hiyo mleta mada unadhani kwa mfano CHADEMA ikaungana na TLP, NCCR, CUF, CHAUSTA, UMD, UDP itakuwa na nguvu ya kushinda kuliko ikisimama yenyewe?
Yaani vyama rafiki na CCM ndio unataka viunganishwe na chama kikuu cha upinzani ili kuitoa CCM madarakani?
Embu tafari upya.
Yaani vyama rafiki na CCM ndio unataka viunganishwe na chama kikuu cha upinzani ili kuitoa CCM madarakani?
Embu tafari upya.